Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo ndugu yangu unataka serikali iajili tu watu hata kama watumishi wanatosha ili iruhusu watu kuhama? nazani unajua kitu kinaitwa ikama?Suala la upungufu wa watumishi si la mtumishi , ni la serikali kwa maana ndio yenye kuajiri. Mimi nimeshatumikia zaidi ya miaka 7 kituo fulani. Kuhama kwenda mahala ninapostahili ni haki yangu.
Waambie wanaohusika nadhani baridi ya njombe inakudhuru korodani.kama Umechoka kazi ONDOKA, kuna kundi la watanzania wengi mtaani wanaweza kufanya kazi hiyo kwa mshahara huohuo
Duh!kama Umechoka kazi ONDOKA, kuna kundi la watanzania wengi mtaani wanaweza kufanya kazi hiyo kwa mshahara huohuo
Mkishapata credit za kurisiti za civics na kiswahili mnajiona wasomiiiiii......Afikirivyo mtu ndivyo alivyo.
Unaweza kukuta hakuna mtu anayekuona unavyohisi, acha kujistukia......ila watumishi siyo ng'ombe na wala siyo mfano huo.
Lakini hii haizuii wewe ukiwaona wengine ng'ombe kwa sababu ndivyo unavyo katika Dunia yako.
Mnajua kudai mishahara tu ila kazi hamfanyi pumbaf kabisa, sasa wewe unadhani s/kali inapata wapi mishahara ya kuwalipa na hali hii ya kiuchumi.Waam
Waambie wanaohusika nadhani baridi ya njombe inakudhuru korodani.
Tumia wewe akili yako kutoa ajira na kupandisha mishahara kwa wafanyakazi wako ili tufike tunakotarajiaDuh!
Kwa akili kama hizi, Sijui kama tutafika tunakotarajia.
Mnajua kudai mishahara tu ila kazi hamfanyi pumbaf kabisa, sasa wewe unadhani s/kali inapata wapi mishahara ya kuwalipa na hali hii ya kiuchumi.
Ngoja nikudharau tu, ndo maana moderator nyuzi zako wanazifuta sababu washajua wewe ni kilaza...endelea kuota ndoto zako za asubuhi ila kumbuka kushuka usijikojoleePumbavu mama yako hapo njombe
Ngoja nikudharau tu, ndo maana moderator nyuzi zako wanazifuta sababu washajua wewe ni kilaza...endelea kuota ndoto zako za asubuhi ila kumbuka kushuka usijikojolee