Watumishi tunapoelekea Mei Mosi tumwambie nini Rais Samia?

Watumishi tunapoelekea Mei Mosi tumwambie nini Rais Samia?

Ngoja nikudharau tu, ndo maana moderator nyuzi zako wanazifuta sababu washajua wewe ni kilaza...endelea kuota ndoto zako za asubuhi ila kumbuka kushuka usijikojolee
Hakika anaweza akawa bado yupo usingizini mpaka saa hizi.
 
Aruhusu mikopo kwenye pension ya mtumishi.. Hii naombeni iwe ajenda namba moja
Wewe kula pensheni taratibu unataka uikopee ili ufanye nini na miaka 60?

Au unamaana gani hapa
 
Ni jumapili ya tarehe moja kila mfanyakazi macho na masikio ni kwa mama yetu mpendwa Rais Samia kuona Kama atawakumbuka wafanyakazi kwenye nyongeza ya mshahara,siku hazigandi pia uvumilivu hulipa.
 
Mwaka wa neema kwa wafanyakazi.mama anaenda kuongeza kima cha chini cha mshahara.baada ya kusota kwa muda mrefu atimaye watumishi wataneemeka kwa kiasi..kongole mama
 
Mwaka wa neema kwa wafanyakazi.mama anaenda kuongeza kima cha chini cha mshahara.baada ya kusota kwa muda mrefu atimaye watumishi wataneemeka kwa kiasi..kongole mama
anaweza weka asilimia 30 kweli
 
Walimu ni watu wapuuzi sana, alafu walimu sio watumishi wa umma
 
Walimu ni watu wapuuzi sana, alafu walimu sio watumishi wa umma
kaka umekosea sana mama yangu alikuwa mwalimu na amestaafu last year mtumishi mwaminifu na ana maisha mazuri tuu usiwadharau sana walimu mkuu
 
kaka umekosea sana mama yangu alikuwa mwalimu na amestaafu last year mtumishi mwaminifu na ana maisha mazuri tuu usiwadharau sana walimu mkuu
Hao waliostaafu wana akili, tatizo ni kwa Hawa vijana wa Sasa.
Fuatilia vizuri post zao na comment humu JF utaelewa.
 
Hao waliostaafu wana akili, tatizo ni kwa Hawa vijana wa Sasa.
Fuatilia vizuri post zao na comment humu JF utaelewa.
walimu waliostaafu kuanzia mwaka jana kurudi nyuma wanaheshima zao tuu na wana maisha mazuri tuu
 
Hao waliostaafu wana akili, tatizo ni kwa Hawa vijana wa Sasa.
Fuatilia vizuri post zao na comment humu JF utaelewa.
hawa wa sasa wanaishi kama sio walimu kuna dada mmoja mlevi anapenda offa na ni mwalimu muda huu navyooandika yuko kwenye vipub pub gani tabata awamjui sasa huyo lazima adharirishe taaluma watu wataona walimu watu wa ovyo
 
Shime shime shime watumishi wenzangu ...asiye na mwana aeleke jiwe.

Tunapoelekea Mei Mosi ya kwanza ya Rais Samia S. Hassan akiwa katimiza mwaka mmoja kazini si vibaya tukatanguliza yale tunayotarajia kusikia toka kwake.

Kama alivyotuahidi nyongeza ya mshahara mwaka huu bila shaka hilo limeisha ila ni wazi haki za watumishi zimekandamizwa kwa muda mrefu sana.

Basi si vibaya tukimueleza Mama nini hasa tungependa toka kwake. Ningependa kusema machache.

1. Haki ya Mtumishi kuhama kituo cha kazi
Hili limekuwa ni tatizo sugu na la muda mrefu sana. Watumishi wa serikali hasa walimu wamekuwa wakipokwa haki yao ya kuhama kwa hiyari. Serikali imekuwa ikitoa kigezo kuwa itasababisha upungufu wa watumishi huko watokako. Sijui hoja hii ina mashiko gani maana wengine wakitoka wengine wanakuja.

Lakini hata sababu ya msingi kabisa ya kwenda unganisha familia watumishi hawasikilizwi hii hupelekea kuibuka kwa matapeli na watumishi wanapigwa sana pesa wanapopigania uhamisho.

Tungependa Mama alitizame hili kwa uzito wake.

2. Fao la uzazi
Nyinyi ni mashahidi nafikiri wengi hapa mnafahamu haki hii ambayo watumishi wamepunjwa. Tungependa Mama alitizame hili pia kwa macho yake mazuri kabisaa.

3. Annual increment
Hapa wala hakuna maneno mengi nafikiri ninyi ni mashahidi Awamu ya tano ilichofanya...ilifutilia mbalii.. hili nalo litizamwe kwa macho yake yootee

... Endeleeni na mapendekezo ni nini Tumwambie Mama.
kuhusu mshahara waziri amesema wanajenga kwanza miundo mbinu
 
Shime shime shime watumishi wenzangu ...asiye na mwana aeleke jiwe.

Tunapoelekea Mei Mosi ya kwanza ya Rais Samia S. Hassan akiwa katimiza mwaka mmoja kazini si vibaya tukatanguliza yale tunayotarajia kusikia toka kwake.

Kama alivyotuahidi nyongeza ya mshahara mwaka huu bila shaka hilo limeisha ila ni wazi haki za watumishi zimekandamizwa kwa muda mrefu sana.

Basi si vibaya tukimueleza Mama nini hasa tungependa toka kwake. Ningependa kusema machache.

1. Haki ya Mtumishi kuhama kituo cha kazi
Hili limekuwa ni tatizo sugu na la muda mrefu sana. Watumishi wa serikali hasa walimu wamekuwa wakipokwa haki yao ya kuhama kwa hiyari. Serikali imekuwa ikitoa kigezo kuwa itasababisha upungufu wa watumishi huko watokako. Sijui hoja hii ina mashiko gani maana wengine wakitoka wengine wanakuja.

Lakini hata sababu ya msingi kabisa ya kwenda unganisha familia watumishi hawasikilizwi hii hupelekea kuibuka kwa matapeli na watumishi wanapigwa sana pesa wanapopigania uhamisho.

Tungependa Mama alitizame hili kwa uzito wake.

2. Fao la uzazi
Nyinyi ni mashahidi nafikiri wengi hapa mnafahamu haki hii ambayo watumishi wamepunjwa. Tungependa Mama alitizame hili pia kwa macho yake mazuri kabisaa.

3. Annual increment
Hapa wala hakuna maneno mengi nafikiri ninyi ni mashahidi Awamu ya tano ilichofanya...ilifutilia mbalii.. hili nalo litizamwe kwa macho yake yootee

... Endeleeni na mapendekezo ni nini Tumwambie Mama.
Erik Ten Haag amepata ajira Old Trafford
 
Shime shime shime watumishi wenzangu ...asiye na mwana aeleke jiwe.

Tunapoelekea Mei Mosi ya kwanza ya Rais Samia S. Hassan akiwa katimiza mwaka mmoja kazini si vibaya tukatanguliza yale tunayotarajia kusikia toka kwake.

Kama alivyotuahidi nyongeza ya mshahara mwaka huu bila shaka hilo limeisha ila ni wazi haki za watumishi zimekandamizwa kwa muda mrefu sana.

Basi si vibaya tukimueleza Mama nini hasa tungependa toka kwake. Ningependa kusema machache.

1. Haki ya Mtumishi kuhama kituo cha kazi
Hili limekuwa ni tatizo sugu na la muda mrefu sana. Watumishi wa serikali hasa walimu wamekuwa wakipokwa haki yao ya kuhama kwa hiyari. Serikali imekuwa ikitoa kigezo kuwa itasababisha upungufu wa watumishi huko watokako. Sijui hoja hii ina mashiko gani maana wengine wakitoka wengine wanakuja.

Lakini hata sababu ya msingi kabisa ya kwenda unganisha familia watumishi hawasikilizwi hii hupelekea kuibuka kwa matapeli na watumishi wanapigwa sana pesa wanapopigania uhamisho.

Tungependa Mama alitizame hili kwa uzito wake.

2. Fao la uzazi
Nyinyi ni mashahidi nafikiri wengi hapa mnafahamu haki hii ambayo watumishi wamepunjwa. Tungependa Mama alitizame hili pia kwa macho yake mazuri kabisaa.

3. Annual increment
Hapa wala hakuna maneno mengi nafikiri ninyi ni mashahidi Awamu ya tano ilichofanya...ilifutilia mbalii.. hili nalo litizamwe kwa macho yake yootee

... Endeleeni na mapendekezo ni nini Tumwambie Mama.

Pia azuie watumishi kuhamishwa bila kulipwa ili jambo limekuwa sugu sana kwa baadhi ya halmashauri mwez huu huko geita walimu wamelazimishwa kuhama bila malipo huu ni unyama ,Mh Raisi azuie jambo hili kwa kweli ni unyanyasaji huu
 
Back
Top Bottom