Mtumishi kaa kwa kutuliaJambo lao kama jambo lao, hahaaaaa yaani mtu anaongezewa Tsh 3,500/= mwingine buku mbili , kwenye mshahara anashangiliiiia kweli wajinga ndio waliwao, siku zote nawaambiaga utumishi wa umma wa watanzania ni UTUMWA.
Jambo lao kama jambo lao, hahaaaaa yaani mtu anaongezewa Tsh 3,500/= mwingine buku mbili , kwenye mshahara anashangiliiiia kweli wajinga ndio waliwao, siku zote nawaambiaga utumishi wa umma wa watanzania ni UTUMWA.
kwani wewe hujui wanaongezwaga shilingi ngapi? au na wewe mmoja wao? mwaka huu hamna kitu ndugu ndiomaana jiwe aliwakalisha miaka sita nil nilHiyo hela imeongezwa lini?
We jamaa muongo Sana...haiwezi kutokea maajabu ya namna hiyo...Mwl wa TGTS F jiandae kwΓ 280,000
Ongezeko ni elfu 20 kwa taasisi na elfu 50 kwa Serikali kuu na Serikali za mitaa. Ikiwa tofauti na hivi mniuweeeeMtumishi leo hadi kesho HR wako atakuwa na.majibu kwasababu payrolls zitakuwa zimetoka.
Unapatikana wapi tuanze kunoa mapangaOngezeko ni elfu 20 kwa taasisi na elfu 50 kwa Serikali kuu na Serikali za mitaa. Ikiwa tofauti na hivi mniuweeee
Elfu 20 tenaOngezeko ni elfu 20 kwa taasisi na elfu 50 kwa Serikali kuu na Serikali za mitaa. Ikiwa tofauti na hivi mniuweeee
Jamani ππππ!!Ongezeko ni elfu 20 kwa taasisi na elfu 50 kwa Serikali kuu na Serikali za mitaa. Ikiwa tofauti na hivi mniuweeee
Antonnia wewe ndo uliitwa huku sasa mkuu π€Έπ€Έπ€ΈYaniii Naamini tutacheka kwa ku kukenua meno kidogo walau rafiki......!!
Vipi huko mshapata majibu yanayoendana naile inayotrend mitandaoni rafiki???π€π€π€
Ndio mkuu!! Mama afanye wonders Jamani !! Tunamuamini asituangishe asee!!Antonnia wewe ndo uliitwa huku sasa mkuu π€Έπ€Έπ€Έ
Ila 23% nyongeza kwa wote haiwezekani. Hii ni kwa wale wa kima cha chini tu ambao ni wachacheHapo ni kicheko tu,Sasa kulia nini kitakuliza? Umeacha kulia enzi za Jiwe uje utulilie sasa hivi kama sio uchawi ni nini?
Hakuna Kitu kama hicho.nyongeza haiwez Kuwa kubwa hivyo. Tatizo watu 23 wanapiga flat rateMwl wa TGTS F jiandae kwΓ 280,000
Ongezeko likizidi 30,000 kabla ya makato, itakua miujizaNdio mkuu!! Mama afanye wonders Jamani !! Tunamuamini asituangishe asee!!
πππππππOngezeko likizidi 30,000 kabla ya makato, itakua miujiza
Kumbe walimu Wana mishahara mizuriπ³π³Mwl wa TGTS F jiandae kwΓ 280,000
Ulikiwa hujui??Kumbe walimu Wana mishahara mizuri[emoji15][emoji15]