Uko dunia gani? Marekani kulikuwa na lockdown na kulikuwa na utitiri wa watu baada ya mauaji ya Floyd.Kumbe nawe dada kichwani mweupeee! Hujamsikia Waziri mkuuwa Uingereza Boris Johnson katangaza Lock down ya kuanzia kesho 2/11/ hadi 5/12/2020 au unasema London ya Runzewe?
Sasa wahakiki kura hewa, kama anajiamini.Uhakiki wa wafanya kazi hewa kuanza tena
Atupe tu haki zetu kulingana na Sheria..Acheni Mzee Apumzike Mtamuua Kwa Pressure
Ila haya maumivu yake yana internal damage sanaa.Andika maumivu
Wamezimwa ziiii. HAWA thaminiki tenaa.Tutajuta kuzaliwa Tanzania. Halafu akina Ndugai wanabadili katiba 2024 ili Jiwe aendelee baada ya 2025! Mashujaa wale waliomtoa Karume madarakani 1972 sijui walikwenda wapi?
Bro siombi favour.Acha Kazi
Tulifosiwa na waliogopa vibarua vyao vitaota nyasi.Mimi naomba Magufuli awamu hii apunguze hadi mishahara ya watumishi wa umma!
Inaonekana ni mikubwa sana...ndio maana wanamuunga mkono na wamemsaidia kupora kura!
Apunguze hata kwa nusu akajengee uwanja wa mpira Chato.
Nina uhakika bado watumishi umma wataendelea kumwona mungu
Amen na iwe hivyo.Maandamano yasiyo na ukomo yameanza London, Paris, Sweden
Dictator on the movement.Ni yuleyule alieiba kura na kujitangaza.
Ni yuleyule ambae tumeona kura zinazagaa kwenye mabegi, vikapu,mifuko
Ni yuleyule ambae anafisadi nchi
Ni yuleyule wabunge wa ccm wanamuogopa kuliko shetaniView attachment 1617319
Nan akupende wakat ww mwenyew hujipendi?
Relax. Fata taratibu pale unapoona Haki zako hazifatwi ndio maana Kuna Labor Law na Ile ya Code of G Conduct na zingine nyingi, umejaribu kuzisoma?
Umechukua hatua Gani?
Pili, mkuu kasema ataongeza Mishahara, tulia
Nyie muendelee kuumia tu, wala sioni haja ya kututangazia hapa.Aliyeshinda uchaguzi ni
1. Ni yuleyule raisi aliyesema hana mpango wowote na Human resource encourange (Hawezi kuongeza mshahara)
2. Ni yule yule Raisi aliyeamua kugoma kupandisha maadaraja watumishi wotee walioajiriwa kuanzia 2014
3. Ni yuleyule raisi aliamua kuvunja Sheria ya "Annual Increment". Na hakuongeza chochote kama Sheria ilivyomtaka.
4. Ni yuleyule raisi aliyewafukuza watumishi wa mahakama walioajiriwa 2016 kisa waliajiriwa kipindi cha uhakiki.
5. Ni yuleyule ambae alikuta baadhi ya sekta katika utumishi wa umma zinasomesha watumishi wake Eg. Mahakama.
Ila alipoingia yeye kwenye Law day alitoa tamko, mahakama iache kusomesha watumishi wake.
Mtu aliyekuwa chuoni akijua analipiwa ada ilimbidi aache kwanza chuo akajipange ili kurudi tena. Maana ufadhili ulikatwa katikati ya masomo.
6. Ni yule yule ambae amevifanya vyama vya wafanyakazi visiwe na sauti.
7. Ni mengi aisee nikiandika yotee siwezi maliza.
KIFUPI KWA MIAKA HII 5 KADHULUMU SANAA WATUMISHI WA UMMA.
Eti ameshinda tenaa..
Yaani miaka mengine mitano ya kuvunja Sheria za utumishi na kutowajali watumishi.
TUENDELEE KUVUMILIA ila usisahau in every action there is an equal and opposite reaction.
Wameamua kutudhulumu pesa as our resource.
Sasa ni wakati wa kudhulumu muda.
Take their time to do your things on your favour as they have take your money for their favour.
YOU HAVE MOUTH TO FEED.
#YNWA
Wanyimwe mshahara kabisa.Mimi naomba Magufuli awamu hii apunguze hadi mishahara ya watumishi wa umma!
Inaonekana ni mikubwa sana, ndio maana wanamuunga mkono na wamemsaidia kupora kura!
Apunguze hata kwa nusu akajengee uwanja wa mpira Chato.
Nina uhakika bado watumishi umma wataendelea kumwona mungu
Unawaonea bure watumishi wa uma.Mimi naomba Magufuli awamu hii apunguze hadi mishahara ya watumishi wa umma!
Inaonekana ni mikubwa sana, ndio maana wanamuunga mkono na wamemsaidia kupora kura!
Apunguze hata kwa nusu akajengee uwanja wa mpira Chato.
Nina uhakika bado watumishi umma wataendelea kumwona mungu
Rais Wetu Yule PaleHujasema kama:
1. yule yule aliyekomesha Rushwa ns Ucheleweshaji wa kesi Mahakamani.
2. Ni yule yule anayesomesha bure watanzania kutoka darasa LA kwanza hadi kidato cha NNE
3. Ni yule yule aliyekarabati shule Kongwe ambazo ukifika utadhania ni vyuo vikuu
4. Ni yule yule aliyekomesha mgao wa umeme
5. Ni yule yule aliyeboresha sekta ya afya kwa kujenga Hospitali, zahanati mpya na kuongeza vifaa
6. Ni yule yule anayejenga SGR na Stiglers Gorge
7. Ni yule yule aliyepitia mikataba ya madini na sasa nchi inanufaika na madini yetu
8. Ni yule yule aliyedhibiti biashara haramu za pembe za ndovu na dawa za kulevya
9. Ni yule yule jembe LA afrika ambaye Mabeberu wasikiapo jina lake wsnatetemeka
Acha ubinafsi, Watumishi wa umma ni laki tano tu kati ya watanzania mil 50, Wapo wakulima, wafugaji, wafanyaboashara, wavuvi n.k, wote wanamwangalia Mheshimiwa Rais.
Nyie ww kuwalaumu ni VIONGOZI wa vyama vya Wafanyakazi.. na si vinginevyoOff course!! Ndiyo kanuni iliyo wazi Tanzania kwa sasa, jipende mwenyewe ya mwingine hayakuhusu! Limekukumba pambana mwenyewe!! Nime relax!
Unaelewa mtu anaposema kakosa "haki" zake? Maana yake ni kwamba kwa miaka mitano watu wamefuata taratibu zinazotakiwa kuchukua na hakuna mafanikio!
Kana sijakosea keshalitamka hilo neno mara ya nne sasa katika miaka tofauti! Kampeni 2015, May Mosi Moshi, May Mosi Iringa, kampeni 2020! Wacha tuendelee kunywa mtori....!!
Hailipiki kamwee...Hiyo ni milioni 100 au milioni 10? Kama milioni mia hailipiki hiyo
Sent from my TECNO KD6 using JamiiForums mobile app