Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeshanga hata mimiWeeee bwana! Unajua faida ya laki 2 hadi 3 kwa siku? Nenda ukalale!
Endeleeni kushangaa tu watu wanapiga pesa! kuna jamaa pale Mwanza Uhuru dampo anauza chips mauzo ya million 1.5 kwa siku day and night sasa kwa mauzo hayo anakosaje hiyo faida kwa mfano.Nimeshanga hata mimi
Ova
Mauzo ya 1.5mil kwa bei sahani ya 2,000/= utakuwa umehudumia watu 750 kwasiku! Hao watu utawapata wapi? Sehemu zenye msongamano na uwezo wa kununua Mwanza??? Labda umechukua tenda ya kulisha shule! Lakini sio kila siku! Ujasiriamali unapata hela ya kujimudu tu!Endeleeni kushangaa tu watu wanapiga pesa! kuna jamaa pale Mwanza Uhuru dampo anauza chips mauzo ya million 1.5 kwa siku day and night sasa kwa mauzo hayo anakosaje hiyo faida kwa mfano.
Unataka kuconclude kwamba watumishi ni bora kuliko wajasiliamaliHeading na Content ni Maji na Mafuta.....
Heading (Watumishi Wengi wanazidiwa kimaisha na Wajasiriamali Wadogo) Content; (Kuna wajasiriamali wadogo wanawazidi kimaisha Watumishi Wengi) !!!!
Ukishaweka kuna; wapo hata watu wasiofanya kazi yoyote na wanamzidi kimaisha hata baadhi ya marais wa nchi..., Ukishaweka kuna, technically anything is possible..., Ila kufahamu ni vipi maisha ni magumu kwa majority wewe leo achia kazi yako yenye security(income na pension at the end of retirement) uone ni hao so called wajasiriamali wadogo watapambana wachukue hio kazi yako ili wapunguze madeni ya Vikoba (The Grass is Always Greener on the other Side)
Kwenye karatasi upo sawa kabisa.Kama anauza sahani moja ya ugali nyama choma Tsh 5000 na anaweza kuuza angalau sahani 80 na kuendelea kwa siku, huenda akalaza hiyo faida ya 200,000 -300,000 akitoa na gharama za uendeshaji.
Ubora ni nini ? na Watumishi ni Watu gani na Wajasiliamali ni watu gani....Unataka kuconclude kwamba watumishi ni bora kuliko wajasiliamali
Acha ubishi wa kijinga wewe! unapajua Uhuru dampo kwanza? yule mwamba chips haziishi pale unazikuta kwenye kabati kama chapati.Mauzo ya 1.5mil kwa bei sahani ya 2,000/= utakuwa umehudumia watu 750 kwasiku! Hao watu utawapata wapi? Sehemu zenye msongamano na uwezo wa kununua Mwanza??? Labda umechukua tenda ya kulisha shule! Lakini sio kila siku! Ujasiriamali unapata hela ya kujimudu tu!
kumbe kaongea huo upupuWeeee bwana! Unajua faida ya laki 2 hadi 3 kwa siku? Nenda ukalale!
Lete gharama Kwa siku analipa hao wafanyakazi wote ,gharama za manunuzi ya vyakula ,Usafiri wa hivyo vyakula,gharama za kupika za umeme au gesi ,gharama za kupanga jengo yote Kwa mwezi shilingi ngapi nk weka gharama zote Kwa mwezi Kisha tupe je sahani anauza bei Gani Kisha tuache hesabu tutapiga wenyewe kujua faida anapata bei Gani kabla ya Kodi za serikaliAcha ubishi wa kijinga wewe! unapajua Uhuru dampo kwanza? yule mwamba chips haziishi pale unazikuta kwenye kabati kama chapati.
1.Anawafanyakazi wanashift mchana na usiku.
2.kuna watu kazi yao ni kumenya viazi tu.
3.kuna watu kazi yao ni kuandaa Mishikaki tu.
4.kuna watu kazi yao ni kuandaa kuku tu.
5.kuna watu kazi yao ni kukaanga viazi tu.
6.kuna watu kazi yao ni kuchoma chips tu.
7.kuna mtu kazi yake ni kuhudumia vinywaji tu.
8.Ana watu 3 kazi yao ni kupokea pesa tu.
9.Anabajaji 2 zimepaki kwaajili ya kufata mkaa stoo ukiisha.
Tembea uone acha ubishi wa hovyo! yule jamaa ananyumba 3 amejenga, watu wanachukua take away pale kama hawana akili nzuri.
Amepanga uchochoro kati ya nyumba na nyumba analipa laki 1 kwa mwezi.Lete gharama Kwa siku analipa hao wafanyakazi wote ,gharama za manunuzi ya vyakula ,Usafiri wa hivyo vyakula,gharama za kupika za umeme au gesi ,gharama za kupanga jengo yote Kwa mwezi shilingi ngapi nk weka gharama zote Kwa mwezi Kisha tupe je sahani anauza bei Gani Kisha tuache hesabu tutapiga wenyewe kujua faida anapata bei Gani kabla ya Kodi za serikali
Analeta story za Matikiti hahahaWeeee bwana! Unajua faida ya laki 2 hadi 3 kwa siku? Nenda ukalale!