Waubani Linyama, dereva wa basi ambaye picha yake ina-trend mtandaoni kwa sasa

Yaani sa 18.31 inakuaje ya tatu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1312][emoji1312][emoji1312][emoji1312]
 
Panga list yako upya according to time
 
Hakuna dereva anaiweza BENZI.
Hakuna dereva anaeiwezs SAULI.

New Force, Golden Deer, Nganga, Majinja, Imani, Happy Nation, AL Saeed na wengine woteee WANASANDA MBELE BENZI.

Tukutane Mbeya Carnival..!!!

#YNWA
Uliza mkuu acha ushabiki wa kuambiwa watu wasingekuwa WANABET maana kila siku wangeshinda SAULI TU.

Huyo jamaa ni balaa
 
Acha kudanganya watu newforce alihamia shikilango muda mrefu tu kabla hata sauli hajaleta basi zake enzi ya
Kisbo dar-mbeya, ilasi newforce bado alikuwa anatokea shekilango
Actually kaanzia shekilango.miaka nenda rudi ndio garage zake zilipo na alikuwa anakunywa mafuta ENGINE FILLING STATION kabla hajahamia sheli ya pale shekilango
 
Shekilango ya wapi unaizungumzia wewe,wengine pale ndio sehemu zetu za kutupatia ridhki mkuu,Newforce ana muda gani Shekilango mkuu?
Mbona unataka tuanze ligi nyingine kabisa?

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Miaka zaidi ya mitano wengine tunaishi hapa mjini ujue
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…