Lete ushahidi wa hayo maandiko unaoyasema!?Kumbe?? Tupe ushahidi ukristo uliruhusu ushoga??
Broo una funza kichwani sio bure, hata tukisema tusitumie hao kuwahukumu tukienda kweny maandiko yenu na Pedophile wenu mnaemuita mtume bado tutarudi palepale kwamba usilamu sio dini bali ni movement yenye malengo flani.
Unataka kusema unajua uislam kuliko sisi wenyewe tulousoma!?
Kumbe nazungumza na mtu asiyeng'amua kauli!?
Kuna makanisa yameruhusu ndoa za jinsia moja Afrika kusini na UK/ENGLAND.
Je kwasababu hayo makanisa ya kiAnglican yameruhusu ufungaji wa ndoa za jinsia moja ndio tuhukumu DINI NZIMA YA UKRISTU!??
👆👆👆👆
Hii point irudishe katika uislam.
Je kisa kundi la watu wanaofanya mambo yao kinyume na uislam wakijinasibisha kuwa waislam inafaa kuutusi uislam wote!?
NASUBIRI HAYO MAANDIKO YA KIISLAM ULIOSEMA.
NA olewako usiyalete.