Nyamagondo
JF-Expert Member
- Mar 28, 2018
- 648
- 765
Mkuu asante kwa mawazo yako. Naamini umejifunza kitu. Na mimi pia nimejifunza kitu kutoka kwakoACHA kukariri.
Nani kakudanganya ukipiga magoti kilichopo mbele Yako unakiabudu kuwa ndio Mungu?
Akili za wapi hizo?
Kwa hiyo nyie mkiwa katika kusali chochote kilichopo mbele yenu mnakiabudu na kukigeuza kuwa Mungu wenu?
Mungu haabudiwi kwa kukariri.