Ukristo sio dini. Mtu m-Kristo ni yule mwenye Kristo ndani yake. Ukatoliki ni mchanganyiko wa upagani wa Roma na hali kidogo ya Kristo. Wamejaa hekima za ulimwengu huu, ni watu wanaomwabudu Mungu kupitia nafsi (akili, utashi, hisia)' kamwe huwa hawafiki rohoni. Mungu huabudiwa katika roho (intuition, consience, communion).
"Mungu ni Roho na wote wamwabuduo imeawapasa kumwabudu katika roho na kweli"
"Watu hawa ni watu wanaoniabudu kwa midomo yao, huku mioyo yao ikiwa mbali nami, nao waniabudu bure wakifundisha mafundisho ya wanadamu"
JESUS IS CHRIST!