Waumini wa Kanisa Katoliki ni wavumilivu sana

Waumini wa Kanisa Katoliki ni wavumilivu sana

sio kwa mwaka jana tu, katika historia yote, katoliki alishawahi kutokea mtu akafanya hivyo? hahaha, the vise versa may not be true. cha muhimu ni kuwepo na imani ya aina hiyo kwenye misingi ya dini. na kwa walokole, watu wengi tu wameponywa na wamefufuliwa.
Sio mwaka Jana TU,tufanye Kanisa Takatifu Katoliki la Mitume halina uwezo wa kufufua wafu kama alivyoagiza Yesu,
Nipe rekodi za hilo dhehebu lenu lenye uwepo wa Roho Mtakatifu,mmeshafufua watu wangapi tangu kuanzishwa kwake?
 
Upo sahihi mkuu kuna uwezekano mimi ni mjinga.

Mkuu mimi nimezaliwa na wazazi wanaoabudu kanisa la Roma kwa hiyo kama ni kutumia assets za kiroma basi ndo zimenikuza na kunifikisha hapa nilipo.

Nimezaliwa katika hospital ya Huruma inamilikiwa na shirika la Roman Catholic la ma sister wa st Joseph Rombo.

Nimesoma shule ya st Ritaliza primary school Kilimanjaro.



Secondary nikasoma st Amedeus Kilema Kilimanjaro mpaka advance.



Chuo kikuu nikasoma The Catholic University of Health and Allied Sciences - Bugando (CUHAS-BUGANDO)

Kituo changu cha kazi ni Consolata Hospital Ikonda-Makete.

Mke wangu na yeye alilelewa kituo cha watoto yatima St.Francis Boma Hai.



Kanisa la Roma ni zaidi ya kusali. Ni sehemu ya maisha ya waumini wake.



Kanisa la Roma halina ule utaratibu wa maombi na kununua mafuta.ila ukiumwa utaelekezwa hospital. Na kanisa hili lina hospital za kisasa nchi nzima. Ni kanisa linalosimamia misingi ya sayansi kuliko unavyoweza kufikiria.



Kanisa la Roma pia linaamini sana katika elimu. Kanisa hili limeweza ku survive miaka yote hii kwa sababu ya kuwekeza katika elimu. Ndo maana inavyuo mbalimbali nchi nzima

SAUT, ST.JOHN DODOMA ETC.



Kanisa hili pia halipo nyuma katika financial institutions lina MKOMBOZI BANK.



Kanisa Catholic halikusimamii wewe kwenda mbinguni tu ila linahitaji pia kuhakikisha unapata mahitaji yako muhimu kwa ubora kabisa.

View attachment 2148261
Itatufaa nini tukiwa na fahari ya dunia hii (mfano elimu na utajiri) halafu tuukose uzima wa milele. Uliyoyataja hayo ya dunia hii ni sawa tukiwa nayo lakini bado haitoshi maana Mungu anashida haswa na roho zetu kupona. Au waonaje mkuu
 
sio kwa mwaka jana tu, katika historia yote, katoliki alishawahi kutokea mtu akafanya hivyo? hahaha, the vise versa may not be true. cha muhimu ni kuwepo na imani ya aina hiyo kwenye misingi ya dini. na kwa walokole, watu wengi tu wameponywa na wamefufuliwa.
Hebu tupatie namba ya mtu ambaye hapo kanisani kwenu mlifufua...tuongee naye jambo fulani.
 
Kanisa la Roma lina miaka 2000 toka limeanzishwa.
Hivi mtu mwenye umrinwa miaka 2000 atabishana nini na mtu aliyeanzisha karne ya 20?

Kanisa la Roma limewekeza kwenye
elimu ndo maana wana shule na vyuo vikuu vya kutosha nchi nzima.
Afya
Kanisa la Roma lina hospital na dispensary nchi nzima.

Fedha
Kanisa la Roma lina Mkombozi bank.
Kanisa la Roma ni taasisi imara na kongwe kabisa.

Waumini wake ni sehemu ya taasisi kwa hiyo hawana muda wa kuanza kujibizana na walokole ni kupoteza energy.
Lakini vyote hivyo vyote bado vichwani mwao kumejaa makamasi ya kuamini sanamu la bikira maria linaweza kutatua shida zao,kweli maajabu haya.
 
Mkuu, lango ni moja tuu. Ni Yesu tuu mkuu. Kuomba kwa majina mengine ya wanadamu wenzetu akina Yosefu na Maria sijui na mtakatifu nani mkuu unakua hauna tofauti na wale wanaoomba kwa jina la mfalme Zumaridi. Au una mtazamo gani katika hilo mkuu
 
kitu kimenishindaga tabia kwa wakatoliki ni salamu maria utuombee kwa mungu hivi huwa mna sahau kuwa maria ni binadamu kama ninyi? Japo ali mzaa Yesu kristo. Mimi hapo ndipo ninapo pataga ukakasi kwa sababu naonaga ni kama vile kumkosea heshima Mungu kwanini msimuombe Mungu mwenyewe, why Maria? Ninacho jua mimi Maria ni mwanamke aliye barikiwa kuliko wanawake wote basi na ndio maana alimzaa Yesu. naomba wanao jua zaidi waje wanikosoe hapa na kunielimisha zaidi kuhusu hili.
Ndugu sio Maria tu yani sisi tunaombewa mpaka na watakatifu kina, St. Peter nk.....yani hapo tutakuchanganya zaidi Bora tu ubaki katika Imani yako[emoji23][emoji23][emoji23]
 
kitu kimenishindaga tabia kwa wakatoliki ni salamu maria utuombee kwa mungu hivi huwa mna sahau kuwa maria ni binadamu kama ninyi? Japo ali mzaa Yesu kristo. Mimi hapo ndipo ninapo pataga ukakasi kwa sababu naonaga ni kama vile kumkosea heshima Mungu kwanini msimuombe Mungu mwenyewe, why Maria? Ninacho jua mimi Maria ni mwanamke aliye barikiwa kuliko wanawake wote basi na ndio maana alimzaa Yesu. naomba wanao jua zaidi waje wanikosoe hapa na kunielimisha zaidi kuhusu hili.
Ambacho huelewi ni kwamba Yesu ni Mungu.Bikira Maria alimzaa Mungu.
Ukielewa hapo walau utakuwa umepiga hatua kubwa kiufahamu.
 
20220312_090912.jpg
 
kitu kimenishindaga tabia kwa wakatoliki ni salamu maria utuombee kwa mungu hivi huwa mna sahau kuwa maria ni binadamu kama ninyi? Japo ali mzaa Yesu kristo. Mimi hapo ndipo ninapo pataga ukakasi kwa sababu naonaga ni kama vile kumkosea heshima Mungu kwanini msimuombe Mungu mwenyewe, why Maria? Ninacho jua mimi Maria ni mwanamke aliye barikiwa kuliko wanawake wote basi na ndio maana alimzaa Yesu. naomba wanao jua zaidi waje wanikosoe hapa na kunielimisha zaidi kuhusu hili.
Ndugu sio Maria tu yani sisi tunaombewa mpaka na watakatifu kina, St. Peter nk.....yani hapo tutakuchanganya zaidi Bora tu ubaki katika Imani yako[emoji23][emoji23][emoji23]
 
kwahiyo wanaombea kwa jina la bikira maria na mtu anapona, mtakatifu yosefu mtu anapona, ndio wanakuja kuchanganya na Jina la Yesu sasa wakiamua. kweli kipofu huwa hajioni.

kwahiyo kama maria amebarikiwa, mimi naanzaje kuomba kupitia yeye wakati Yesu Kristo aliyenifia msalabani aliagiza tuombe sio kwa jina lingine ila kwa Jina la Yesu tu. kwani maria ana nguvu gani kunisaidia? alimwaga damu na yeye ili awe tofauti na mimi?
Kwa taaluma ya maandiko kabla ya Yesu kukata roho alimwambia Yohana kwamba "Tazama huyu ni mama yako" na kwa Bikira Maria akamwambia "Tazama huyu ni mwanao". Hili neno unajua maana yake?
 
Kwa taaluma ya maandiko kabla ya Yesu kukata roho alimwambia Yohana kwamba "Tazama huyu ni mama yako" na kwa Bikira Maria akamwambia "Tazama huyu ni mwanao". Hili neno unajua maana yake?
alikuwa anamwelekeza yohana amtunze/amlee. hata kiswahili cha kawaida kabisa hapo kinaeleweka. maria alikuja kufa, hakufufuka hadi leo. Yesu hakuwa anaelekeza tusali kupitia maria, hakumaanisha maria awe mbadala wake.
 
Itatufaa nini tukiwa na fahari ya dunia hii (mfano elimu na utajiri) halafu tuukose uzima wa milele. Uliyoyataja hayo ya dunia hii ni sawa tukiwa nayo lakini bado haitoshi maana Mungu anashida haswa na roho zetu kupona. Au waonaje mkuu
Kama dhehebu lako linakuambia elimu ni changamoto hiyo.

Mkuu elimu niliyoipata imeniweka na Mungu kuliko kitu chochote.

Kupitia elimu hiyo imenipa kazi ya uponyaji kupitia science (MD).

kupitia elimu hij imenipa fedha ambayo kwa kipindi hiki cha kwaresma natenga kiasi kwa ajili ya kusaidia wenye uhitaji. Kanisa la Roma limejenga vituo mbalimbali vya kulea mayatima kila kona ya nchi hii.

Kama dhehebu lako linakusanya tu ile sadaka na halifanyi investment kwenye social services mbalimbali ni tatizo.
hilo.

mkuu mimi kipaumbele changu ni kufanya yaliyo mema na kumpendeza Mungu angali nipo hapa duniani.
Huo uzima wa milele siyo kipaumbele cha muumini yoyote wa Catholic.

tunafundishwa kuishi vyema ktukishika amri ya mpende jirani yako... Then kwenda huko mbinguni ni result.

ndo maana unaona kanisa Catholic ni kanisa la watu wote..
waovu na wasio waovu. Kila mmoja anakaribishwa hapa.
 
USHAWAI MUONA SHETANI AKIJITETEA KWA UOVU WAKE???

JIBU NI HAPANA MAANA UOVU WAKE UMEHALALISHWA.

CATHOLIC NDIYE SHETAN MKUU, NA HAYO MAGENGE MENGINE YA MADHEHEBU NA DINI ZOTE NI VITOTO VYAO, IVYO WACHA WAPAMBANE WAO KWA WAO, AS LONG AS HAWANA UWEZO WA KUMDHURU BABA YAO(CATHOLIC)

.....All religions are evils
FB_IMG_16101840590393473.jpg
 
Ndugu sio Maria tu yani sisi tunaombewa mpaka na watakatifu kina, St. Peter nk.....yani hapo tutakuchanganya zaidi Bora tu ubaki katika Imani yako[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ndugu sio Maria tu yani sisi tunaombewa mpaka na watakatifu kina, St. Peter nk.....yani hapo tutakuchanganya zaidi Bora tu ubaki katika Imani yako[emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa mna tofauti gani na waumini wanaoomba kwa jina la mfalme zumalidi. Maana wote mmewekeza ibada zenu kwa binadamu kama ninyi. Maria ni mtu, Petro ni mtu, Yohana ni mtu. Fungua macho braza
 
Ndugu sio Maria tu yani sisi tunaombewa mpaka na watakatifu kina, St. Peter nk.....yani hapo tutakuchanganya zaidi Bora tu ubaki katika Imani yako[emoji23][emoji23][emoji23]
mbuzi katoliki nyie [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
kwahiyo wanaombea kwa jina la bikira maria na mtu anapona, mtakatifu yosefu mtu anapona, ndio wanakuja kuchanganya na Jina la Yesu sasa wakiamua. kweli kipofu huwa hajioni.
Ndio maana wakatoliki wanawapuuza.
Kama mtu anaenda Kwa mwamposa amwombee Kwa Yesu,unashindwa Nini kwenda Kwa Bikira Maria akuombee Kwa Yesu?
 
Ambacho huelewi ni kwamba Yesu ni Mungu.Bikira Maria alimzaa Mungu.
Ukielewa hapo walau utakuwa umepiga hatua kubwa kiufahamu.
Yesu alipitia tuu kwa Maria ili akae nasi duniani. Yesu alikuwako tangu dahari. Unavoongea Bikira Maria alimzaa Mungu ni utadhani Bikira Maria ndo alimuumba Mungu. Bikira Maria aliipata tuu ile neema ya Yesu kupitia kwake ili aje aishi kwetu lakini Maria hana lingine la ziada kando na hilo la kumzaa Yesu katika kutufikisha Mbinguni. Ni Yesu tuu pekee mwenye kutufikisha Mbinguni maana yeye ni mpatanishi. Wake up brother
 
Back
Top Bottom