Waumini wa Kanisa Katoliki ni wavumilivu sana

Waumini wa Kanisa Katoliki ni wavumilivu sana

Ukiamini katika kuhudumiwa na roho vitu kama madhehebu haviwezi kukusumbua ktk imani yako,ukiona unahama kanisa ujue upo very poor,Mungu yupo kila mahali hata shimoni,ni vile wewe utakavyoenenda na mdundo uliopo
never, Mungu hayupo kila mahali. Mungu anakaa mahali patakatifu. sasa kwa mfano, Mungu atakuwepoje katoliki wakati mnakataa kumpoke Roho kwa kujazwa na kunena kwa lugha, mnakataa uponyaji, badala ya kuomba kwa Jina la Yesu mnaomba kwa maria na wafu wengine? Mungu hayupo kwenye michanganyo kama hiyo ya dini. kumbuka, walipo wawili watatu wamekusanyika kwa Jina langu, mimi nipo papopapo katikati yao, the phrase "kwa Jina langu"ni muhimu sana. ninyi mnakutanika kwa majina ya wafu waliokufa na hawana lolote, mnakutanika kwa majina ya kina yosefu, kina Maria n.k, sio kwa Jina la Yesu. ndio maana Mung hayupo katikati yenu na hamtakuja kumwona mtakuwa mnamsikia tu.
 
binafsi huwa nashangaa sana nikihudhuria misiba, padre au askofu akiwa pale mbele akianza kuhubiri, hakuna hata tone la nguvu za Mungu, hata harufu tu ya uwepo wa Mungu haipo, mahubiri makavuuuu yasiyookoa. kusali dini inahitaji uvumilivu sana na ni kifungo kikubwa mno.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unataka uone moto na amsha amsha za zumaridi na mwamposa? Wewe lazima ni mlokole!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mnaongea hivyo kwasababu hamuwezi kufanya muujiza hata wa kuponya unywele tu,mnamkataa Mungu na nguvu zake ili mfuate maagizo ya dini. Agizo kuu la Yesu ni kwenda kote ulimwenguni kuhubiri injili,pia kupooza wagonjwa,kufufua wadu na kuwaweka watu huru. Ukiona dinibyako haifanyi hayo kimbia,you are at the wrong place.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukristo sio dini. Mtu m-Kristo ni yule mwenye Kristo ndani yake. Ukatoliki ni mchanganyiko wa upagani wa Roma na hali kidogo ya Kristo. Wamejaa hekima za ulimwengu huu, ni watu wanaomwabudu Mungu kupitia nafsi (akili, utashi, hisia)' kamwe huwa hawafiki rohoni. Mungu huabudiwa katika roho (intuition, conscience, communion).

"Mungu ni Roho na wote wamwabuduo imeawapasa kumwabudu katika roho na kweli"

"Watu hawa ni watu wanaoniabudu kwa midomo yao, huku mioyo yao ikiwa mbali nami, nao waniabudu bure wakifundisha mafundisho ya wanadamu"


JESUS IS CHRIST!
 
Ukristo sio dini. Mtu m-Kristo ni yule mwenye Kristo ndani yake. Ukatoliki ni mchanganyiko wa upagani wa Roma na hali kidogo ya Kristo. Wamejaa hekima za ulimwengu huu, ni watu wanaomwabudu Mungu kupitia nafsi (akili, utashi, hisia)' kamwe huwa hawafiki rohoni. Mungu huabudiwa katika roho (intuition, consience, communion).

"Mungu ni Roho na wote wamwabuduo imeawapasa kumwabudu katika roho na kweli"

"Watu hawa ni watu wanaoniabudu kwa midomo yao, huku mioyo yao ikiwa mbali nami, nao waniabudu bure wakifundisha mafundisho ya wanadamu"


JESUS IS CHRIST!
sahihi kabisa. na kama Mungu ni Roho, wamwabuduo imewapasa kumwabudu katika Roho na kweli. ukimwabudu kimwili kamwe hautamwona kwasababu Mungu haonekani kimwili, na hata hivyo mwili ndio adui mkubwa wa roho.
 
my friend, uwepo wa Mungu unawez akuuhisi kama upo, uwepo wa mashetani pia. uwepo wa Mungu ni kitu kizuri sana ambacho kama ungekuwa uliwahi kukutana nacho wala usingeuliza hili swali. mtafute Mungu maadamu anapatikana.
Acha mambo mengi chief na usiufanye moyo wako kuwa mgumu, njoo kanisani ukiwa na imani tusali utauona uwepo wa Mungu. Ukiona imani yako ni kwa Mwamposa, kwa Zumaridi, Gwajima au msikitini wewe nenda hatujakuvuta shati, la msingi tu imani yako iwe kwa Mungu utabarikiwa. Sisi wote ni wa Mungu na kwa Mungu tutarejea.

Ajabu ni kuwa mnauponda ukatoliki lakini Mungu mnayetuchomea kwake anatubariki na kujibu maombi yetu kila siku.

Kuna kwaya moja nimeisahau kwa jina iliimba wimbo (ya kikatoliki, maana ya kisabato haiwezi kuthubutu) baadhi ya maneno yake ni haya... 'dini safi ni ipi? Ni kuwatunza wagonjwa na wafungwa gerezani...' ndo maana charities nyingi za kikatoliki.

Pia 'amri mpya nawapa, nawapa mpendane, kama mimi nilivyowapenda ninyi mpendane vivyo hivyo...'

Sisi tunawapenda wote, no matter mnatuchukia aje, tunaamini hamjui mlitendalo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha mambo mengi chief na usiufanye moyo wako kuwa mgumu, njoo kanisani ukiwa na imani tusali utauona uwepo wa Mungu. Ukiona imani yako ni kwa Mwamposa, kwa Zumaridi, Gwajima au msikitini wewe nenda hatujakuvuta shati, la msingi tu imani yako iwe kwa Mungu utabarikiwa. Sisi wote ni wa Mungu na kwa Mungu tutarejea.

Ajabu ni kuwa mnauponda ukatoliki lakini Mungu mnayetuchomea kwake anatubariki na kujibu maombi yetu kila siku.

Kuna kwaya moja nimeisahau kwa jina iliimba wimbo (ya kikatoliki, maana ya kisabato haiwezi kuthubutu) baadhi ya maneno yake ni haya... 'dini safi ni ipi? Ni kuwatunza wagonjwa na wafungwa gerezani...' ndo maana charities nyingi za kikatoliki.

Pia 'amri mpya nawapa, nawapa mpendane, kama mimi nilivyowapenda ninyi mpendane vivyo hivyo...'

Sisi tunawapenda wote, no matter mnatuchukia aje, tunaamini hamjui mlitendalo.

Sent using Jamii Forums mobile app
sijawahi kusali kwa mwamposa, wala zumaridi and the likes. what determines wewe kumwona Mungu katika dini yako pia ni misingi ya dini iliyowekwa, namna mnavyoendesha ibada n.k, kama mnaendesha ibada kipagani hata ufanyeje hautamwona Mungu. ndio maana siwezi kusali katoliki.
 
kitu kimenishindaga tabia kwa wakatoliki ni salamu maria utuombee kwa mungu hivi huwa mna sahau kuwa maria ni binadamu kama ninyi? Japo ali mzaa Yesu kristo. Mimi hapo ndipo ninapo pataga ukakasi kwa sababu naonaga ni kama vile kumkosea heshima Mungu kwanini msimuombe Mungu mwenyewe, why Maria? Ninacho jua mimi Maria ni mwanamke aliye barikiwa kuliko wanawake wote basi na ndio maana alimzaa Yesu. naomba wanao jua zaidi waje wanikosoe hapa na kunielimisha zaidi kuhusu hili.
 
kitu kimenishindaga tabia kwa wakatoliki ni salamu maria utuombee kwa mungu hivi huwa mna sahau kuwa maria ni binadamu kama ninyi? Japo ali mzaa Yesu kristo. Mimi hapo ndipo ninapo pataga ukakasi kwa sababu naonaga ni kama vile kumkosea heshima Mungu kwanini msimuombe Mungu mwenyewe, why Maria? Ninacho jua mimi Maria ni mwanamke aliye barikiwa kuliko wanawake wote basi na ndio maana alimzaa Yesu. naomba wanao jua zaidi waje wanikosoe hapa na kunielimisha zaidi kuhusu hili.
mitume wote 12 hata wale walioanzisha ukristo, hakuna hata mmoja aliwahi hata kumtaja tu maria. kwenye nyaraka zao zooote kuanzia Paulo, Petro, Yuda, Yakobo n.k, hawajawahi hata kumtaja tu. ila wakatoliki wakaamua kulianzisha wanalolijua wao. hata biblia haifundishi hivyo sehemu yeyote kwamba tuombe kwa njia ya maria. Yesu mwenyewe alisema tuombe kwa Jina lake Yesu tu sio Maria.
 
sijawahi kusali kwa mwamposa, wala zumaridi and the likes. what determines wewe kumwona Mungu katika dini yako pia ni misingi ya dini iliyowekwa, namna mnavyoendesha ibada n.k, kama mnaendesha ibada kipagani hata ufanyeje hautamwona Mungu. ndio maana siwezi kusali katoliki.
Nina imani na uwepo wa Mungu na ananibariki siku akinitendea yaliyo makuu, hapa nilipo pananitosha kabisa. Kila mtu abaki alipo, wala nisibishane nawe maana hatutofika mwisho.

Uwe na usiku ulio mwema.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
never, Mungu hayupo kila mahali. Mungu anakaa mahali patakatifu. sasa kwa mfano, Mungu atakuwepoje katoliki wakati mnakataa kumpoke Roho kwa kujazwa na kunena kwa lugha, mnakataa uponyaji, badala ya kuomba kwa Jina la Yesu mnaomba kwa maria na wafu wengine? Mungu hayupo kwenye michanganyo kama hiyo ya dini. kumbuka, walipo wawili watatu wamekusanyika kwa Jina langu, mimi nipo papopapo katikati yao, the phrase "kwa Jina langu"ni muhimu sana. ninyi mnakutanika kwa majina ya wafu waliokufa na hawana lolote, mnakutanika kwa majina ya kina yosefu, kina Maria n.k, sio kwa Jina la Yesu. ndio maana Mung hayupo katikati yenu na hamtakuja kumwona mtakuwa mnamsikia tu.
Heee,kwa hyo hapo ulipo sasa hv unaamini Mungu hayupo hata kama ni Bar?
 
mitume wote 12 hata wale walioanzisha ukristo, hakuna hata mmoja aliwahi hata kumtaja tu maria. kwenye nyaraka zao zooote kuanzia Paulo, Petro, Yuda, Yakobo n.k, hawajawahi hata kumtaja tu. ila wakatoliki wakaamua kulianzisha wanalolijua wao. hata biblia haifundishi hivyo sehemu yeyote kwamba tuombe kwa njia ya maria. Yesu mwenyewe alisema tuombe kwa Jina lake Yesu tu sio Maria.
Hata mimi ndivyo nijuavyo,sasa hii Maria hawa wakatoliki aliye waambia waombe kupitia Maria ni nani? au anaye fahamu hili aje atujuze na sisi tuelewe leo.
 
mitume wote 12 hata wale walioanzisha ukristo, hakuna hata mmoja aliwahi hata kumtaja tu maria. kwenye nyaraka zao zooote kuanzia Paulo, Petro, Yuda, Yakobo n.k, hawajawahi hata kumtaja tu. ila wakatoliki wakaamua kulianzisha wanalolijua wao. hata biblia haifundishi hivyo sehemu yeyote kwamba tuombe kwa njia ya maria. Yesu mwenyewe alisema tuombe kwa Jina lake Yesu tu sio Maria.
Hapo ndipo wakatoliki wanapowazidi,ina maana kama hao mitume hawajamtaja nyie binadam wa leo hamuwezi kuona kama alistahili heshima kwa kuwazalia mkombozi wenu?
 
Sijàwahi kusikia kanisa la padre Fulani na Wala sijàwahi kusikia msikiti wa shehe Fulani.

Sasa njoo kwenye makanisa ya mabati na maspika utakuta mengine ni ya aki na dada wako mbele wamepaka make up, akiingia kwenye siku za heshima siku ya jumamosi jioni kesho yake ni mwendo wa kwaya tu na kutoa sadaka.
 
Back
Top Bottom