Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 301,221
- 1,172,274
Hujajibu unaongelea agano lipi mkuu?Na vitabu vipi?
Sasa unafikiri Yesu na Mitume waliacha Biblia ?
Je unafikiri kuwa hivyo vitabu vilivyopo kwenye biblia ndio hivyo tu au kuna zaidi?
Na kama vipo zaidi kwanini havikuwekwa ??
Au Biblia ilishuka tu toka Mbinguni