Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 301,221
- 1,172,274
Ukristo ni mali ya Mwenyezi Mungu. Kabla ya wakatoliki ukristo ulikuwepo. Hizo unazoziita tamaduni za kale baadhi wanazo wayahudi hadi wa leo na wao hawamuamini Yesu kama mmoja wa watakatifu,pasaka na Christmas kwao ni siku za kawaida
Sitetei ukatoliki ila 99% ya ishu za kikristo ziliwekwa na wakatoliki nao walizitoa kwenye tamaduni za jamii za kale. Kwahiyo kwa ujumla ukristo ni mali ya wakatoliki labda niconclude hivyo