Waumini wa Kanisa Katoliki ni wavumilivu sana

Waumini wa Kanisa Katoliki ni wavumilivu sana

Kanisa la Roma lina miaka 2000 toka limeanzishwa.
Hivi mtu mwenye umrinwa miaka 2000 atabishana nini na mtu aliyeanzisha karne ya 20?

Kanisa la Roma limewekeza kwenye
elimu ndo maana wana shule na vyuo vikuu vya kutosha nchi nzima.
Afya
Kanisa la Roma lina hospital na dispensary nchi nzima.

Fedha
Kanisa la Roma lina Mkombozi bank.
Kanisa la Roma ni taasisi imara na kongwe kabisa.

Waumini wake ni sehemu ya taasisi kwa hiyo hawana muda wa kuanza kujibizana na walokole ni kupoteza energy.
Na akil pi inachangia mkuu.. weng wana akil.. sio mapopoma yanayoamin kwenye wachungaj na manabiii.. yaan mtu anamuamin pastor kuliko hata Mungu.. mapopoma ya mwamposa au shila. Au joe davie
 
Kuwepo kwa sanamu katika nyumba za ibada kulianza hata kabla ya kuja kwa Yesu
Rejea waamuzi 17&18


Haya rejea tena[emoji116][emoji116][emoji116]

18 Nawe fanya makerubi mawili ya dhahabu; uyafanye ya kazi ya kufua, katika hiyo miisho ya kiti cha rehema, huku na huku. 19 Weka kerubi moja mwisho mmoja, na kerubi la pili mwisho wa pili; fanya hayo makerubi ya kitu kimoja na kiti cha rehema, mwisho huku na mwisho huku.20 Na hayo makerubi yatainua mabawa yao juu, na kukifunika hicho kiti cha rehema kwa mabawa yao, na nyuso zao zitaelekeana hili na hili; nyuso za hayo makerubi zitaelekea kiti cha rehema. 21 Weka kiti cha rehema juu ya hilo sanduku, kisha utie huo ushuhuda nitakaokupa ndani ya sanduku. 22 Nami nitaonana nawe hapo, na kuzungumza nawe pale nilipo juu ya kiti cha rehema, katikati ya hayo makerubi mawili yaliyo juu ya sanduku la ushuhuda, katika mambo yote nitakayokuagiza kwa ajili ya wana wa Israeli. (Kutoka 25 :18-22.)“

Ukipata mda tena rejea tena wakati sulemani alipokuwa akijenga hekalu mbona masanamu yalikuwepo 2Nyak 3&4

Na wakati wa kubariki hilo Hekalu, Mungu alilibariki likiwa na sanamu humo ndani
Nakubaliana na wewe lakini tulikatazwa kuabudu sanamu kwa Musa katika amri kumi.

Halafu kumbuka sisi ni wa agano jipya.

Mwisho utasema sasa ni halali kufanya sadaka za kuteketeza leo kisa zamani zilifanywa
 
Watakwambia hiyo ilikuwa agano la kale.
Kwamba agano la kale Mungu alikuwa anakubali Sanamu ziabudiwe.
Ndio maana wakatoliki wanawapuuza na kuamua kukaa kimya.
Mkuu kama unakubali hizo ibada za kale basi chinjeni kabisa kondoo kanisani mteketeze kwa moto. Ndivyo ibada za kale waliruhusiwa
 
Mbona wao wakatolik hawawashutum hao wengn.. wako kimya tuu na wapole.. kwa akil ya kawaida unaona din ya kwel hapo ni ipi.. ile ya kusimanga wengne au?.. hahah.. ila pia akil.. wakatolik weng wana akil
Washaona bia tamu, wanaendeleza maisha yao
 
Wote wanaakili ndogo. Wanakubali vipi kuwekwa Masanamu kwenye nyumba Ibada, hali ya kuwa tunajua fika hayadhuru wala hayanufaishi ?

Akili iheshimiwe.
Waislamu walikuwa wanayaangalia masanamu ya malaika , mitume na watumishi watiifu ili wamuabudu allah
Koran 34:13. Walikuwa wakimfanyia alipendalo, kama mihrabu, na masanamu, ...........
Ibn Abbas, Koran 34:13 They made for him what he willed: synagogues and statues of angels, prophets and other righteous servants so that people look at them and follow their example of worshipping Allah,

Haya masanamu allah aliyaweka kwenye msikiti wa suleimani wake , je unaweza kuniambia lini allah alikuja kukataza kuweka masanamu msikitini?
 
Waislamu siwezi kuwasemea lakini Wakristo wengine wanawashutumu Wakatoliki kwa sababu wanafundisha mambo ambayo ni unbiblical na mambo ambayo yalirithiwa kutoka katika desturi za Dini za Kipagani za Kirumi na Kiyunani
Bible is not biblical
 
Imani sahihi ni kumuabudu Mungu katika roho na kweli huku ukijiepusha na ibada za sanamu.

Kuwa na masanamu yaliyojaa makanisani mwenu ni ibada ya kishetani.

Kumuamini Mariam ni ibada ya kishetani. Mariam anaitwa Malkia wa Mvinguni katika Ukatoliki. Hii title ya Malkia wa Ulimwengu imekatazwa kutumika katika Biblia.

Yeremia 7:18
[18]Watoto huokota kuni, na baba zao huwasha moto, na wanawake hukanda unga, ili kumfanyizia mikate malkia wa mbinguni, na kuwamiminia miungu mingine sadaka za kinywaji, wapate kunikasirisha mimi.

Vile vile ukisoma Yeremia 44 :17-19

17 Lakini bila shaka tutalitimiza kila neno lililotoka katika vinywa vyetu, kumfukizia uvumba malkia wa mbinguni, na kummiminia sadaka za kinywaji, kama tulivyotenda sisi, na baba zetu, na wafalme wetu, na wakuu wetu, katika miji ya Yuda, na katika njia kuu za Yerusalemu; maana wakati huo tulikuwa na chakula tele, na kufanikiwa, wala hatukuona mabaya. 18Lakini tulipoacha kumfukizia uvumba malkia wa mbinguni, na kummiminia sadaka za kinywaji, tumepungukiwa na vitu vyote; na kuangamizwa kwa upanga, na kwa njaa. 19 Nasi tulipomfukizia uvumba malkia wa mbinguni, na kummiminia sadaka za kinywaji, je! Tulimwandalia mikate, ili kumwabudu, na kummiminia mimiminiko, waume zetu wasipokuwapo?

Hizo ndizo ibada za sanamu zinazokatazwa.
Rubbish
 
🤣🤣🤣 hizo madhehebu ya kikristo ni kama tuition centers. Sababu wanahangaika ila wanaishi ukatoliki. Maana wanazunguuka mwisho wa siku utakuta wanasherekea pasaka, Christmas, Valentines day and so many ambazo hata hawajui origin yake
 
Mkuu hizo sherehe mbona hazina ukatoliki ndani yake. Yesu kristo sio mali ya wakatoliki pekee. Mwenyezi Mungu ni wa wote. Valentine ni udabwi udabwi tu wa kuongeza ka kibwagizi katika maisha.

Ungetaja sherehe za watakatifu wa kikatoliki zinazovamiwa na madhehebu mengine hapo ungeeleweka
🤣🤣🤣 hizo madhehebu ya kikristo ni kama tuition centers. Sababu wanahangaika ila wanaishi ukatoliki. Maana wanazunguuka mwisho wa siku utakuta wanasherekea pasaka, Christmas, Valentines day and so many ambazo hata hawajui origin yake
 
Mkuu hizo sherehe mbona hazina ukatoliki ndani yake. Yesu kristo sio mali ya wakatoliki pekee. Mwenyezi Mungu ni wa wote. Valentine ni udabwi udabwi tu wa kuongeza ka kibwagizi katika maisha.

Ungetaja sherehe za watakatifu wa kikatoliki zinazovamiwa na madhehebu mengine hapo ungeeleweka
Sitetei ukatoliki ila 99% ya ishu za kikristo ziliwekwa na wakatoliki nao walizitoa kwenye tamaduni za jamii za kale. Kwahiyo kwa ujumla ukristo ni mali ya wakatoliki labda niconclude hivyo
 
Waislamu walikuwa wanayaangalia masanamu ya malaika , mitume na watumishi watiifu ili wamuabudu allah
Koran 34:13. Walikuwa wakimfanyia alipendalo, kama mihrabu, na masanamu, ...........
Ibn Abbas, Koran 34:13 They made for him what he willed: synagogues and statues of angels, prophets and other righteous servants so that people look at them and follow their example of worshipping Allah,

Haya masanamu allah aliyaweka kwenye msikiti wa suleimani wake , je unaweza kuniambia lini allah alikuja kukataza kuweka masanamu msikitini?
Unaweka maandiko kihuni na nusu nusu, nithibitishie kama hao walikuwa Waislamu.

Kingine onyesha katika hayo maneno ya Ibn Abbas wapi kawataja Waislamu ?
 
Back
Top Bottom