Natty Bongoman
JF-Expert Member
- Oct 10, 2008
- 403
- 191
dini tuliletewa potofu ... wengine hatutaki kukubali tumepotoshwa eti unatetea dini. Jamani tumekua watu wazima na kule kubatizwa utotoni haikuwa ubatizo. Ubatizo ni pale unapoelewa na kukubali kwa hiari YAKO. Ndio maana Yahsua alibatizwa ukubwani, na kwa kuzamishwa...
Hivi mtawa ambae ameishi kuendana na sheria... akifariki atakuwa mtakatifu wa kuabudiwa na kuaminika amekaa karibu na Mungu kutuombea? Jamani mantiki wapi? Maria wa biblia alikuwa kama mfano wa huyu mtawa - binadamu alieishi vizuri mbele ya Mungu... yaani wale tunawaita walokole siku hizi.
HAPA CHINI NI AMRI ZA MUNGU KUTOKA BIBLIANI
Exodus (Kutoka) 20:3-17
3 Usiwe na miungu mingine ila mimi.
4 Usijifanyie sanamu ya kuchonga, wala mfano wa kitu chochote kilicho juu mbinguni, wala kilicho chini duniani, wala kilicho majini chini ya dunia.
5 Usivisujudie wala kuvitumikia; kwa kuwa mimi, BWANA, Mungu wako, ni Mungu mwenye wivu; nawapatiliza wana maovu ya baba zao, hata kizazi cha tatu na cha nne cha wanichukiao,
6 nami nawarehemu maelfu wanipendao, na kuzishika amri zangu.
7 Usilitaje bure jina la BWANA, Mungu wako, maana BWANA hatamhesabia kuwa hana hatia mtu alitajaye jina lake bure.
8 Ikumbuke siku ya Sabato uitakase.
9 Siku sita fanya kazi, utende mambo yako yote;
10 lakini siku ya saba ni Sabato ya BWANA, Mungu wako, siku hiyo usifanye kazi yoyote, wewe, wala mwana wako, wala binti yako, wala mtumwa wako, wala mjakazi wako, wala mnyama wako wa kufuga, wala mgeni aliye ndani ya malango yako.
... SASA kweli, kama sote wakristo biblia ni moja, mwenzangu mkatoliki kweli huoni mstari wa 3 - 5 unatuambia rozari, sanamu za maria, uabudu wa maria hauendani na ukristo halisia??? mstari wa 8 - 10 hamuoni sabato ilikuwa ni amri ya kutobadilishwa ?
Hivi mtawa ambae ameishi kuendana na sheria... akifariki atakuwa mtakatifu wa kuabudiwa na kuaminika amekaa karibu na Mungu kutuombea? Jamani mantiki wapi? Maria wa biblia alikuwa kama mfano wa huyu mtawa - binadamu alieishi vizuri mbele ya Mungu... yaani wale tunawaita walokole siku hizi.
HAPA CHINI NI AMRI ZA MUNGU KUTOKA BIBLIANI
Exodus (Kutoka) 20:3-17
3 Usiwe na miungu mingine ila mimi.
4 Usijifanyie sanamu ya kuchonga, wala mfano wa kitu chochote kilicho juu mbinguni, wala kilicho chini duniani, wala kilicho majini chini ya dunia.
5 Usivisujudie wala kuvitumikia; kwa kuwa mimi, BWANA, Mungu wako, ni Mungu mwenye wivu; nawapatiliza wana maovu ya baba zao, hata kizazi cha tatu na cha nne cha wanichukiao,
6 nami nawarehemu maelfu wanipendao, na kuzishika amri zangu.
7 Usilitaje bure jina la BWANA, Mungu wako, maana BWANA hatamhesabia kuwa hana hatia mtu alitajaye jina lake bure.
8 Ikumbuke siku ya Sabato uitakase.
9 Siku sita fanya kazi, utende mambo yako yote;
10 lakini siku ya saba ni Sabato ya BWANA, Mungu wako, siku hiyo usifanye kazi yoyote, wewe, wala mwana wako, wala binti yako, wala mtumwa wako, wala mjakazi wako, wala mnyama wako wa kufuga, wala mgeni aliye ndani ya malango yako.
... SASA kweli, kama sote wakristo biblia ni moja, mwenzangu mkatoliki kweli huoni mstari wa 3 - 5 unatuambia rozari, sanamu za maria, uabudu wa maria hauendani na ukristo halisia??? mstari wa 8 - 10 hamuoni sabato ilikuwa ni amri ya kutobadilishwa ?