Patra31
JF-Expert Member
- Apr 24, 2020
- 6,918
- 13,885
Hapa ndipo wengi walipofeli na wachache sana ndio wameweza kuukwepa huu mtego🤣🤣🤣 hizo madhehebu ya kikristo ni kama tuition centers. Sababu wanahangaika ila wanaishi ukatoliki. Maana wanazunguuka mwisho wa siku utakuta wanasherekea pasaka, Christmas, Valentines day and so many ambazo hata hawajui origin yake