Waumini wa Kanisa Katoliki ni wavumilivu sana

Waumini wa Kanisa Katoliki ni wavumilivu sana

🤣🤣🤣 hizo madhehebu ya kikristo ni kama tuition centers. Sababu wanahangaika ila wanaishi ukatoliki. Maana wanazunguuka mwisho wa siku utakuta wanasherekea pasaka, Christmas, Valentines day and so many ambazo hata hawajui origin yake
Hapa ndipo wengi walipofeli na wachache sana ndio wameweza kuukwepa huu mtego
 
... sasa ikawaje katoliki wawe na vitabu 72 wengine 66? Na kwanini kwenye bible ya kikatoliki wameiondoa amri ya pili inayokataza kuabudu sanamu??
Weka Biblia ya Kikatoliki uonyeshe tofauti ya amri ya pili iko wapi. Hivyo vitabu kupungua kutoka 72 hadi 66 wasiulizwe Wakatoliki, waulizwe waliovipunguza, ambao ni Waprotestant.

Pengine ungekuwa unajua hilo usingejikaanga kwa mafuta yako mwenyewe
 
Akili Yako ndogo sana alisoma kitabu kama kitabu cha Nabii Isaya

Hiyo kazi ya kukusanya vitabu vyote na kuwa pamoja na kuitwa Biblia ni kazi ya Kanisa Katoliki

Zipo injili zaidi ya nne, je unafikiri kwanini hazikuwekwa hizo zingine

Zipo nyaraka nyingi tu ambazo hazipo humo kwenye Biblia
Katoliki nyie si hua mna biblia yenu ambayo imebadilishwa badilishwa baadhi ya vipengele ili kuwapumbaza?

Chukua biblia ya kikatoliki soma amri kumi za Mungu alafu linganisha na nyingine.

Amri za Mungu zimegeuzwa
 
16 Kwa hiyo, hatukati tamaa. Ingawa miili yetu inachakaa, utu wetu wa ndani unafanywa upya kila siku.
Maskini unatumia biblia gani

Wakolosai 4:16 BHN

Mkisha soma barua hii, hakikisheni kwamba inasomwa na Wakristo wa Laodikea; na nyinyi fanyeni mpango mpate kuisoma barua waliyoipata wao
 
Weka Biblia ya Kikatoliki uonyeshe tofauti ya amri ya pili iko wapi. Hivyo vitabu kupungua kutoka 72 hadi 66 wasiulizwe Wakatoliki, waulizwe waliovipunguza, ambao ni Waprotestant. Pengine ungekuwa unajua hilo usingejikaanga kwa mafuta yako mwenyewe
Kwa nini awaulize waprostentanti wakati wakatoliki ndio hua wanaitumia hio biblia?

Siku wakatoliki wakishtuka wanaabudishwa sanamu lazima walete noma kudanganywa miaka yote
 
Kwa vigezo vipi unasema vimejaa ushetani
Au unabwabwaja tu.

Ata wewe waweza muomba akuombee na ukafanikiwa, maana kazi ya watakatifu ni kutuombea Uf 8:4, 5:8
Hakuna mtakatifu mwenye authority ya kuwaonbea wanadamu zaidi ya Yesu Kristo mwana wa Mungu Aliyehai yeye ndy aliyemwaga damu yake kwa ajili yetu huyo peke yake ndy mwenye hati miliki ya kutuombea ninyi endeleeni na huyo maria wenu na misanamu yenu ya kuchonga hiyo
 
Katoliki nyie si hua mna biblia yenu ambayo imebadilishwa badilishwa baadhi ya vipengele ili kuwapumbaza?

Chukua biblia ya kikatoliki soma amri kumi za Mungu alafu linganisha na nyingine.

Amri za Mungu zimegeuzwa
Haya kwaiyo unataka kusemakuwa nyie kanisa lenu lilianza tena mkiwa na biblia yenu ambayo baadae kanisa katoliki wakaibadili [emoji23][emoji23][emoji23]

Hamna mahali kanisa katoliki limebadili amri

Nashukuru kwakuwa bado unaamini kazi ya kanisa katoliki kwa kutumia Biblia
 
Kwa nini awaulize waprostentanti wakati wakatoliki ndio hua wanaitumia hio biblia?

Siku wakatoliki wakishtuka wanaabudishwa sanamu lazima walete noma kudanganywa miaka yote
Biblia ilikuwa na vitabu 72. Wakatoliki wameendelea kuwa na vitabu 72 ila Waprotestanti kupitia Martin Luther wakavipunguza (kwa maslahi yao) na kubaki vitabu 66. Kwa akili yako walau ya kuvukia barabara, ni yupi anastahili aulizwe hapo?

Halafu inawezekana ninajadili na mtu ambaye hata hajui dhehebu lake limeanzishwa namna gani (tena pia limeanzishwa na mchungaji gani)
 
Hakuna mtakatifu mwenye authority ya kuwaonbea wanadamu zaidi ya Yesu Kristo mwana wa Mungu Aliyehai yeye ndy aliyemwaga damu yake kwa ajili yetu huyo peke yake ndy mwenye hati miliki ya kutuombea ninyi endeleeni na huyo maria wenu na misanamu yenu ya kuchonga hiyo
Basi kwaiyo hayo maandiko Yohana alikosea au
 
Hakuna mtakatifu mwenye authority ya kuwaonbea wanadamu zaidi ya Yesu Kristo mwana wa Mungu Aliyehai yeye ndy aliyemwaga damu yake kwa ajili yetu huyo peke yake ndy mwenye hati miliki ya kutuombea ninyi endeleeni na huyo maria wenu na misanamu yenu ya kuchonga hiyo
Yesu ni Mungu.
Anakuombea Kwa Mungu yupi?
Acheni kukariri maandiko.
 
Back
Top Bottom