Sasa unafikiri Yesu na Mitume waliacha Biblia ?
Je unafikiri kuwa hivyo vitabu vilivyopo kwenye biblia ndio hivyo tu au kuna zaidi?
Na kama vipo zaidi kwanini havikuwekwa ??
Au Biblia ilishuka tu toka Mbinguni
Akili Yako ndogo sana alisoma kitabu kama kitabu cha Nabii IsayaUyahudi na ndipo biblia ilipokuwspo. Hata Yesu aliikuta akasoma neno kwenye sinagogi
Hii inaitwa fallacy of Generalization, ni kitu kibaya Sana mkuu huwezi kuhukumu jumuiya nzima sababu ya mtu mmoja au wawiliHivi katoliki ndy ina maaskofu wanaowalawiti watoto wa kiume mpaka papa wao aliomba radhi??
Akili Yako ndogo sana alisoma kitabu kama kitabu cha Nabii Isaya
Hiyo kazi ya kukusanya vitabu vyote na kuwa pamoja na kuitwa Biblia ni kazi ya Kanisa Katoliki
Zipo injili zaidi ya nne, je unafikiri kwanini hazikuwekwa hizo zingine
Zipo nyaraka nyingi tu ambazo hazipo humo kwenye Biblia
Tuambie hiyo injili iko wapi.Yesu ni wa ulimwengu kumbe sio wa wakatoliki wala muasisi wa dini ya ukatoliki
Ukatoliki ni kundi tu la watu walikaa wakaunda dini, yaani ni kama vile watu wanavounda vyama vya siasa na kutengenezea falsafa ambazo watu watazifuata na kuamini
Ila sio kwamba ni dini iliyoanzishwa na Mungu au Yesu
Yesu alipokuja duniani hakusema watu wakakae ndani ya ukatoliki au ndio dini yake ya kwanza
Ila alileta injili ya kweli wanadamu waiamini
Sawa naona Biblia ilishuka toka MbinguniAkili kubwa umebaki kiruka ruka na kubwabwaja.
Katoliki hamna umiliki wa biblia wa ukristo wote
Utumbo mtupu unauleta humu eti kazi ya kukusanya vitabu vyote kuwa kimoja imefanywa na katoliki sasa ikawaje katoliki wawe na vitabu 72 wengine 66?Akili Yako ndogo sana alisoma kitabu kama kitabu cha Nabii Isaya
Hiyo kazi ya kukusanya vitabu vyote na kuwa pamoja na kuitwa Biblia ni kazi ya Kanisa Katoliki
Zipo injili zaidi ya nne, je unafikiri kwanini hazikuwekwa hizo zingine
Zipo nyaraka nyingi tu ambazo hazipo humo kwenye Biblia
Kumbe unajua kuwa Yesu ni wa ulimwengu sasa kwani maana ya katoliki ni nini [emoji23][emoji23]Yesu ni wa ulimwengu kumbe sio wa wakatoliki wala muasisi wa dini ya ukatoliki
Ukatoliki ni kundi tu la watu walikaa wakaunda dini, yaani ni kama vile watu wanavounda vyama vya siasa na kutengenezea falsafa ambazo watu watazifuata na kuamini
Ila sio kwamba ni dini iliyoanzishwa na Mungu au Yesu
Yesu alipokuja duniani hakusema watu wakakae ndani ya ukatoliki au ndio dini yake ya kwanza
Ila alileta injili ya kweli wanadamu waiamini
Sawa naona Biblia ilishuka toka Mbinguni
Kumbe unajua kuwa Yesu ni wa ulimwengu sasa kwani maana ya katoliki ni nini [emoji23][emoji23]
Hiyo ni kazi ya Martin Luther ambaye aliviengua hivo vitabuUtumbo mtupu unauleta humu eti kazi ya kukusanya vitabu vyote kuwa kimoja imefanywa na katoliki sasa ikawaje katoliki wawe na vitabu 72 wengine 66? Na kwanini kwenye bible ya kikatoliki wameiondoa amri ya pili inayokataza kuabudu sanamu?? Hebu nendeni huko na kanisa lenu la kisheta hilo
Kama unajua leo poleWee jamaa kapimwe akili kwa hio kwako ulimwengu maana yake katoliki aiseee
Haya twambie ilishukia wapi maana manual scripts zipo kule RomaNdio kama amri kumi zilishuka hata biblia ilishuka pia maana kabla ya adam na eva hakukua na binadamu aliyefahamu walipotokea na dunia ilivyoumbwa
Baada ya kugundua kuwa vimejaa ushetani msingi akaviengua mkabaki navyo ninyi mnaoipigia magoti sanamu ya mnaemwita bikira mpaka Leo eti awaombee foolishnessHiyo ni kazi ya Martin Luther ambaye aliviengua hivo vitabu
Haya twambie ilishukia wapi maana manual scripts zipo kule Roma
Kama unajua leo pole
Kwa vigezo vipi unasema vimejaa ushetaniBaada ya kugundua kuwa vimejaa ushetani msingi akaviengua mkabaki navyo ninyi mnaoipigia magoti sanamu ya mnaemwita bikira mpaka Leo eti awaombee foolishness
We si umesema zilishukaKerubi wa kiitalia hizo manual scripts zilitokea wapi
Kol 4:16 soma afu uje hapaAiseee milembe inakuhusu