Hapa ndipo wengi walipofeli na wachache sana ndio wameweza kuukwepa huu mtego🤣🤣🤣 hizo madhehebu ya kikristo ni kama tuition centers. Sababu wanahangaika ila wanaishi ukatoliki. Maana wanazunguuka mwisho wa siku utakuta wanasherekea pasaka, Christmas, Valentines day and so many ambazo hata hawajui origin yake
We si umesema zilishuka
Weka Biblia ya Kikatoliki uonyeshe tofauti ya amri ya pili iko wapi. Hivyo vitabu kupungua kutoka 72 hadi 66 wasiulizwe Wakatoliki, waulizwe waliovipunguza, ambao ni Waprotestant.... sasa ikawaje katoliki wawe na vitabu 72 wengine 66? Na kwanini kwenye bible ya kikatoliki wameiondoa amri ya pili inayokataza kuabudu sanamu??
Kol 4:16 soma afu uje hapa
Katoliki nyie si hua mna biblia yenu ambayo imebadilishwa badilishwa baadhi ya vipengele ili kuwapumbaza?Akili Yako ndogo sana alisoma kitabu kama kitabu cha Nabii Isaya
Hiyo kazi ya kukusanya vitabu vyote na kuwa pamoja na kuitwa Biblia ni kazi ya Kanisa Katoliki
Zipo injili zaidi ya nne, je unafikiri kwanini hazikuwekwa hizo zingine
Zipo nyaraka nyingi tu ambazo hazipo humo kwenye Biblia
Maskini unatumia biblia gani16 Kwa hiyo, hatukati tamaa. Ingawa miili yetu inachakaa, utu wetu wa ndani unafanywa upya kila siku.
Kwa nini awaulize waprostentanti wakati wakatoliki ndio hua wanaitumia hio biblia?Weka Biblia ya Kikatoliki uonyeshe tofauti ya amri ya pili iko wapi. Hivyo vitabu kupungua kutoka 72 hadi 66 wasiulizwe Wakatoliki, waulizwe waliovipunguza, ambao ni Waprotestant. Pengine ungekuwa unajua hilo usingejikaanga kwa mafuta yako mwenyewe
Hakuna mtakatifu mwenye authority ya kuwaonbea wanadamu zaidi ya Yesu Kristo mwana wa Mungu Aliyehai yeye ndy aliyemwaga damu yake kwa ajili yetu huyo peke yake ndy mwenye hati miliki ya kutuombea ninyi endeleeni na huyo maria wenu na misanamu yenu ya kuchonga hiyoKwa vigezo vipi unasema vimejaa ushetani
Au unabwabwaja tu.
Ata wewe waweza muomba akuombee na ukafanikiwa, maana kazi ya watakatifu ni kutuombea Uf 8:4, 5:8
Sijaona hiyo 'ajabu' uliyoitaja kwenye kichwa.
[/QUOTE
Uvumilivu ndio dini yenyewe
Haya kwaiyo unataka kusemakuwa nyie kanisa lenu lilianza tena mkiwa na biblia yenu ambayo baadae kanisa katoliki wakaibadili [emoji23][emoji23][emoji23]Katoliki nyie si hua mna biblia yenu ambayo imebadilishwa badilishwa baadhi ya vipengele ili kuwapumbaza?
Chukua biblia ya kikatoliki soma amri kumi za Mungu alafu linganisha na nyingine.
Amri za Mungu zimegeuzwa
Biblia ilikuwa na vitabu 72. Wakatoliki wameendelea kuwa na vitabu 72 ila Waprotestanti kupitia Martin Luther wakavipunguza (kwa maslahi yao) na kubaki vitabu 66. Kwa akili yako walau ya kuvukia barabara, ni yupi anastahili aulizwe hapo?Kwa nini awaulize waprostentanti wakati wakatoliki ndio hua wanaitumia hio biblia?
Siku wakatoliki wakishtuka wanaabudishwa sanamu lazima walete noma kudanganywa miaka yote
Basi kwaiyo hayo maandiko Yohana alikosea auHakuna mtakatifu mwenye authority ya kuwaonbea wanadamu zaidi ya Yesu Kristo mwana wa Mungu Aliyehai yeye ndy aliyemwaga damu yake kwa ajili yetu huyo peke yake ndy mwenye hati miliki ya kutuombea ninyi endeleeni na huyo maria wenu na misanamu yenu ya kuchonga hiyo
Yohana alisema maria atuombee??Basi kwaiyo hayo maandiko Yohana alikosea au
Yesu ni Mungu.Hakuna mtakatifu mwenye authority ya kuwaonbea wanadamu zaidi ya Yesu Kristo mwana wa Mungu Aliyehai yeye ndy aliyemwaga damu yake kwa ajili yetu huyo peke yake ndy mwenye hati miliki ya kutuombea ninyi endeleeni na huyo maria wenu na misanamu yenu ya kuchonga hiyo
Yesu ni Mungu mwana yeye hutuombea kwa Mungu BabaYesu ni Mungu.
Anakuombea Kwa Mungu yupi?
Acheni kukariri maandiko.
Ukivuka viwango vya kukariri umepona.Yohana alisema maria atuombee??
Mimi sio msabato acha kukariri wewe muabudu misanamu ya kikeUkivuka viwango vya kukariri umepona.
Wewe Yohana alikwambia uombewe na Ellen White?
Kwa hiyo Yesu (Mungu)unayemwamini hawezi kukutimizia Ombi lako mpaka nae aombe Kwa Baba yake?Yesu ni Mungu mwana yeye hutuombea kwa Mungu Baba
Wewe ni mfuasi wa Mfalme Zumaridi?Mimi sio msabato acha kukariri wewe muabudu misanamu ya kike
Maria ni mtakatifu kama watakatifu wengine ambao kazi yao ni kutuombea Uf 8:4, 5:8Yohana alisema maria atuombee??