Song of Solomon
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 2,752
- 5,609
Ninyi waroma acheni kuabudu miungu ya kike someni biblia unanichosha na maswali ya kipagani mimiKwa hiyo Yesu (Mungu)unayemwamini hawezi kukutimizia Ombi lako mpaka nae aombe Kwa Baba yake?
Aliyempitisha maria kuwa mtakatifu ninani?? Na akiwa hapa duniani alifanya kazi ipi ya kumfanya awe mtakatifu??Maria ni mtakatifu kama watakatifu wengine ambao kazi yao ni kutuombea Uf 8:4, 5:8
Hahahaaaa nimecheka kwa sautiWewe ni mfuasi wa Mfalme Zumaridi?
Kwaiyo Yesu hawezi kutatua matatizo yako ??Hakuna mtakatifu mwenye authority ya kuwaonbea wanadamu zaidi ya Yesu Kristo mwana wa Mungu Aliyehai yeye ndy aliyemwaga damu yake kwa ajili yetu huyo peke yake ndy mwenye hati miliki ya kutuombea ninyi endeleeni na huyo maria wenu na misanamu yenu ya kuchonga hiyo
Nimekuuliza.Ninyi waroma acheni kuabudu miungu ya kike someni biblia unanichosha na maswali ya kipagani mimi
Hawa jamaa wanatia aibu sanaAcha ujinga wewe
Na wewe unakubali kabisa kwamba mtu aliyekufa anaweza kukuombea?
Hizi ni akili au matope
Jibu swaliNinyi waroma acheni kuabudu miungu ya kike someni biblia unanichosha na maswali ya kipagani mimi
Heeeee,kwa hiyo kwa kusema hyo hata enzi za kumb kumb ya torati alikuwepo???
Nani kakwambia kuwa Mtu akimuamini Yesu hufa ????Acha ujinga wewe
Na wewe unakubali kabisa kwamba mtu aliyekufa anaweza kukuombea?
Hizi ni akili au matope
Haya jibu swali biblia ilishuka wapiKwaio kwasababu manual scripts zipo roma ndo udhibitisho?
Kichwa cha mkwawa kiliwahi kuwa ujerumani, ndo kusema aliuawa ujerumani au aliishi huko?
Kuna watu mna akili za kijinga sana. Ila siwalaumu. Kama baadhi ya ma padre wenu ni mashoga na kanisa limekubali tutasema nini tena sisi
Ndio ni uthibitisho tosha kuwa wao ndio walioamua kuviweka baadhi ya vitabu kwenye biblia ambayo wewe leo unatumiaKwaio kwasababu manual scripts zipo roma ndo udhibitisho?
Kichwa cha mkwawa kiliwahi kuwa ujerumani, ndo kusema aliuawa ujerumani au aliishi huko?
Kuna watu mna akili za kijinga sana. Ila siwalaumu. Kama baadhi ya ma padre wenu ni mashoga na kanisa limekubali tutasema nini tena sisi
Wanaandika matakataka utadhani ubongo wao umejaa makamasi eti wananiuliza mimi Yesu hawezi kukusaidia mpaka amuombe baba yake,nilipoona swali hilo nikaachana nao ni weupe mno kichwaniWakatoliki wengi huwa wana akili.
Ila wa kwenye huu uzi ni wakatoliki wasiotumia akili kabisa duniani.
Eti Biblia ni mali yenu? Na ukristo ni mali yenu?
Kauli za kijinga kabisa kuwahi kuonekana tangu jamiiforums izaliwe.
Nimewadharau sana nyie jamaa. Tubuni sasa muache huo ufala
Kwani umekatazwa kutumia biblia ?Wakatoliki wengi huwa wana akili.
Ila wa kwenye huu uzi ni wakatoliki wasiotumia akili kabisa duniani.
Eti Biblia ni mali yenu? Na ukristo ni mali yenu?
Kauli za kijinga kabisa kuwahi kuonekana tangu jamiiforums izaliwe.
Nimewadharau sana nyie jamaa. Tubuni sasa muache huo ufala
Hahahaaaa huyo ni mtupu mnooooNini hiki umeongea hapa sasa?
Wakuu mmemwelewa huyu?
Labda ashakunywa K Vant maana ndo kinywaji chenu
Karibu unywe maana hakuna kitachomwingia mtu kitamtia unajisiNini hiki umeongea hapa sasa?
Wakuu mmemwelewa huyu?
Labda ashakunywa K Vant maana ndo kinywaji chenu
Aliyefariki miaka mingi ijayo.Mkuu mtu anayeamini kwamba marehemu aliyekwisha fariki miaka mingi ijayo anaweza kumuombea huyo mtu jua akili yake ina mushkeli
Kanisa halifundishi hivyo.Kwahiyo hata ushoga wanaoufanya mapadri wenu sio unajisi?
Haya nawewe nikupe assignment uje utuambie biblia ilitoka wapi au Yesu na mitume wake walituachia ?Wakatoliki waliandaa biblia. Aisee wewe ni bonge moja ya pario.
Ukatoliki unajua ulianza lini? Na unajua ulitumikaje? Nikupe tu assignment wewe kichwa maji.
Nenda kasome Great Roman Empire halafu ukishasoma vizuri uje hapa tujadiliane.
Nenda kaone hilo lidini lenu lilivyoua mamilioni ya watu kipindi cha roman empire.
Jinga kweli jamaa
Roman iliua wakristo wengi sana waliopingana na mafundisho yao ya kishetani,hivi mkuu ushawahi kuhudhuria ibada za waroma sana sana za mazishi??Wakatoliki waliandaa biblia. Aisee wewe ni bonge moja ya pario.
Ukatoliki unajua ulianza lini? Na unajua ulitumikaje? Nikupe tu assignment wewe kichwa maji.
Nenda kasome Great Roman Empire halafu ukishasoma vizuri uje hapa tujadiliane.
Nenda kaone hilo lidini lenu lilivyoua mamilioni ya watu kipindi cha roman empire.
Jinga kweli jamaa
Kunywa kwakiasi kila kitu fanya kwa kiasi hamna madhara.Ona huu ujinga mnalishanaga.
Unajua ndoa ngapi zimevunjika kisa pombe?
Unafahamu watoto wangapi wanaishi kiholela mtaani bila malezi kwasababu tu wazazi wao ni walevi?
Akili huna wewe pario