😂😂😂😂😂katoliki unajua lilivyoanzishwa?unajua kilichopo nyuma ya upapa/ukatolikiBiblia ilikuwa na vitabu 72. Wakatoliki wameendelea kuwa na vitabu 72 ila Waprotestanti kupitia Martin Luther wakavipunguza (kwa maslahi yao) na kubaki vitabu 66. Kwa akili yako walau ya kuvukia barabara, ni yupi anastahili aulizwe hapo?
Halafu inawezekana ninajadili na mtu ambaye hata hajui dhehebu lake limeanzishwa namna gani (tena pia limeanzishwa na mchungaji gani)
Mkristo yupo hai siku zote.Nimekosea lakini point yangu si ipo wazi? Wewe uliye hai ushindwe kujiombea halafu uombewe na marehemu? Embu amkeni achezi uzwazwa. Haya ni matumizi mabovu ya akili
Kanisa Katoliki Takatifu la Mitume lipo, kwa kuwa Neno alikuwapo. Haya mengine ndio yameanzishwa na wachungaji. Kwani wee mwenzetu unaabudu kwa mchungaji nani?😂😂😂😂😂katoliki unajua lilivyoanzishwa?unajua kilichopo nyuma ya upapa/ukatoliki
Kama unaweza kujiombea mwenyewe basi usiende kanisani kwa mtume na nabii wakoNimekosea lakini point yangu si ipo wazi? Wewe uliye hai ushindwe kujiombea halafu uombewe na marehemu? Embu amkeni achezi uzwazwa. Haya ni matumizi mabovu ya akili
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]katoliki unajua lilivyoanzishwa?unajua kilichopo nyuma ya upapa/ukatoliki
Kanisa Katoliki lilianzishwa na Mitume Kwa Maelekezo ya Yesu.😂😂😂😂😂katoliki unajua lilivyoanzishwa?unajua kilichopo nyuma ya upapa/ukatoliki
Maandiko ya biblia hayamilikiwi na ukatoliki,mitume walioandika biblia hawakua wakatoliki,akina nabii musa hawakua wakatoliki.Haya kwaiyo unataka kusemakuwa nyie kanisa lenu lilianza tena mkiwa na biblia yenu ambayo baadae kanisa katoliki wakaibadili [emoji23][emoji23][emoji23]
Hamna mahali kanisa katoliki limebadili amri
Nashukuru kwakuwa bado unaamini kazi ya kanisa katoliki kwa kutumia Biblia
Hiyo ni elimu kubwa sana kwake mkuu muache utamfanya achanganyikiwe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]katoliki unajua lilivyoanzishwa?unajua kilichopo nyuma ya upapa/ukatoliki
Ona huyu mbumbumbuKanisa Katoliki lilianzishwa na Mitume Kwa Maelekezo ya Yesu.
Mtume Petro ndie Papa wa Kwanza na alifia na Kuzikwa Vatican yalipo makao makuu ya Kanisa.
Leteni hizo hadithi zenu za kubumba.Kila siku hamuachi kujenga makanisa yenu mmekaza shingo na Catholic Church.Hiyo ni elimu kubwa sana kwake mkuu muache utamfanya achanganyikiwe
Muelekeze lilianzishwa na nani?Ona huyu mbumbumbu
Aisee yani Mtume petro yule aliekua mwanafunzi wa Yesu alikua ni papa🙉?Kanisa Katoliki lilianzishwa na Mitume Kwa Maelekezo ya Yesu.
Mtume Petro ndie Papa wa Kwanza na alifia na Kuzikwa Vatican yalipo makao makuu ya Kanisa.
ila walikuwa Waprotestanti ! 🤣🤣🤣Maandiko ya biblia hayamilikiwi na ukatoliki,mitume walioandika biblia hawakua wakatoliki,akina nabii musa hawakua wakatoliki.
Kwa nini sasa walokole mlipunguza maandiko?Maandiko ya biblia hayamilikiwi na ukatoliki,mitume walioandika biblia hawakua wakatoliki,akina nabii musa hawakua wakatoliki.
Jielimishe.Maandiko ya biblia hayamilikiwi na ukatoliki,mitume walioandika biblia hawakua wakatoliki,akina nabii musa hawakua wakatoliki.
Wala waandishi wa biblia waliokusanya maandishi ya mitume huko kutoka kwenye sehemu mbalimbali huko mashariki ya kati Egypt,Turkey, israel etc hawakusema wao ni wakatoliki
Kanisa Katoliki lilianzishwa na Mitume Kwa Maelekezo ya Yesu.Maandiko ya biblia hayamilikiwi na ukatoliki,mitume walioandika biblia hawakua wakatoliki,akina nabii musa hawakua wakatoliki.
Wala waandishi wa biblia waliokusanya maandishi ya mitume huko kutoka kwenye sehemu mbalimbali huko mashariki ya kati Egypt,Turkey, israel etc hawakusema wao ni wakatoliki
Hayo unayosema ni mmekaririshwa tu ili msijue agenda zilizofichika nyuma ya upapanism
Jua injili iliyoasisiwa na kristo,inayohubiri masuala ya upendo na kuacha dhambiKwa nini sasa walokole mlipunguza maandiko?
😂😂😂😂😂vile vitabu vichache mlivyo edit edit ili kuendana na tabia zenu?Jielimishe.
Upo too low.
Biblia ni mkusanyiko wa vitabu vichache vilivyokubaliwa na Kanisa Katoliki kwamba viwe kama nyenzo ya kufundisha.
Nyaraka nyingine nyingi zilionekana zisiwekwe wazi Kwa sababu zinaweza kuwavuruga wenye uwelewa mdogo.
Kijana punguza mihemko, bishana na hoja, usitumie matusi na kashfa kuipa nguvu hoja zako.Harafu wanalawitiana wenyewe kwa wenyewe sijui papa kapona kubabduliwa kweli?? Maana ushoga Roman ni kama uji na mgonjwa
Hapa inaonyesha na imetafsiri kuwa ni kweli mpo low sana kwenye arguiment.Nikweli
Kanisa ni moja tu, lile linaloruhushu mashoga kuwa ma padre