Waumini wa Kanisa Katoliki ni wavumilivu sana

Kwa hiyo hapo ndio ibada ya Sanamu?

Ndivyo ulivyofundishwa na mchungaji wako?
 
IWapi Allah alitengeneza masanamu? Hapa hii aya haujibu mpaka unakufa. Na ukileta andiko la uongo linapingwa hapa.
Kuwa makini Sana kijana waislamu huwa Wana chinja mtu akipinga maandiko

Yani Koran unasema ni andiko la uongo na unalipinga ?


Koran 64:13. Walikuwa wakimfanyia alipendalo, kama mihrabu, na masanamu, na madeste makubwa kama mahodhi, na masufuria makubwa yasiyo ondolewa mahala pake. Enyi watu wa Daudi! Fanyeni kazi kwa kushukuru. Ni wachache katika waja wangu wanao shukuruo

Jibu swali kwa nini Allah alitengeneza masanamu na kuyaweka msikitini
 
Halafu Roman Catholic ni kwaajili ya Italy tu. Mmakonde, Mmachinga, Mmsai, Mchagga au Mnyakyusa na Catholic wapi na wapi !.Umewahi kuona au kusikia Pope Mwafrika au Mungu wa wa Catholic ni Mungu kwaajili ya wazungu pekee yake.
Sielewi una maana gani kusema Ukatoliki ni kwa ajili ya Italia tu wakati unafahamu fika hata Tanzania Kanisa hilo lipo. Neno 'catholic' maana yake 'universal'. Kanisa hili lipo mabara yote na nchi zote za ulimwengu. Hakuna dini iliyosambaa ulimwenguni kuzidi Kanisa Katoliki.
Kuhusu Mapapa, wamekuwepo Mapapa wanne kutoka Afrika ya Kaskazini: Papa Victor wa Kwanza aliyekuwa Papa wa 14 Mwaka 189-199; Papa Miltiades aliyekuwa Papa wa 32 Mwaka 311-314; na Papa Gelasius aliyekuwa Papa wa 49 mwaka 492-496.
 
Jibu kwa nini Allah aliweka masanamu msikitini?
 
Jibu kwa nini Allah aliweka masanamu msikitini?
Lete andiko hilo. Makafiri wenzako wote wanakushangaa.



1 Wakorintho

25 Kwa maana huu upumbavu wa Mungu una hekima zaidi kuliko hekima ya wanadamu, na ’udhaifu’ wa Mungu una nguvu ipitayo nguvu ya wanadamu.
 
Ule sio ukumbusho tu. Bali ni mwili wake na damu yake kweli.
Hahahaaaaaa ila wee jamaaa
Hahahaa. Umenikumbusha na kale kawimbo ka..aaulaaaaye mwiiiiliii waaanguu..naakuiiinywa daaamu yaanguu aseema Bwaaana huuukaaaa ndaaaaniii yangu nnaaaami hukaaaaa aa ndaaani yakeee. Waumini hapo wanafunga mikono kupokea sakramenti. Hii kitu iko sawaa lakini mambo mengine mengi yamebadilishwa na kuongezwa kama tulivyo jadili. Lakini ibada na imani bado ni uamuzi wa mtu husika
 
Wapi Allah alitengeneza masanamu? Unioneshe hiyo sehemu we kafiri


1 Wakorintho

25 Kwa maana huu upumbavu wa Mungu una hekima zaidi kuliko hekima ya wanadamu, na ’udhaifu’ wa Mungu una nguvu ipitayo nguvu ya wanadamu.
 
Nimegundua shida Yako ni kukariri.

Nikuachie homework.

Kama Mungu aliruhusu ibada ya Sanamu enzi za Musa,baadae akaikataa anashindwa Nini kuziruhusu Tena?.

Huyu mungu wako anayegeuza geuza maamuzi unamwamini vipi hawezi kubadili maamuzi na kutuhitaji tuabudu Tena Sanamu?
 
Lete andiko hilo. Makafiri wenzako wote wanakushangaa.



1 Wakorintho

25 Kwa maana huu upumbavu wa Mungu una hekima zaidi kuliko hekima ya wanadamu, na ’udhaifu’ wa Mungu una nguvu ipitayo nguvu ya wanadamu.
Hili hapa
Koran 64:13. Walikuwa wakimfanyia alipendalo, kama mihrabu, na masanamu, na madeste makubwa kama mahodhi, na masufuria makubwa yasiyo ondolewa mahala pake. Enyi watu wa Daudi! Fanyeni kazi kwa kushukuru. Ni wachache katika waja wangu wanao shukuruo

Na huyu ni Suleiman Allah alituma majini yamtengeneze masanamu wayaweke msikitini
 
Poor you, walibadili taratibu ipi ya ibada? Naomba mfano mmoja! Tena naomba usiruke mada ili watu wajifunze. Toa mfano mmoja tu unatosha tena kwa ufupi sana. Nakusubiri
Mfano kusali Jumapili alibadilisha mfalme Kostantino. Mwanzoni walisali Jumamosi ila Jumapili walikutana kuumega mkate. Hata Yesu alienda ibada Jumamosi. Mimi siyo msabato lakini huwa nasali Jpili kwa maana siku zote ni za Bwana.
Unasemaje ktk hilo
 
Allah alisharuhusu masanamu yawekwe msikitini , na hajawahi kukataza ,ndio tujiulize ?

Koran 64:13. Walikuwa wakimfanyia alipendalo, kama mihrabu, na masanamu, na madeste makubwa kama mahodhi, na masufuria makubwa yasiyo ondolewa mahala pake. Enyi watu wa Daudi! Fanyeni kazi kwa kushukuru. Ni wachache katika waja wangu wanao shukuru
 
Ni kosa kuombewa na wafu. Lango ni moja tuu nalo ni Yesu
 
Ule ni mwili wake kweli.
Someni maandiko vizuri.

Luka 22:19-38
Halafu akatwaa mkate, akashukuru, akaumega, akawapa akisema,

“Huu ni mwili wangu unaotolewa kwa ajili yenu.

Fanyeni hivi kwa kunikumbuka.”
 
Ufafanuzi wa haya umetoa wapi? Weka hata chanzo cha uongo.


1 Wakorintho

25 Kwa maana huu upumbavu wa Mungu una hekima zaidi kuliko hekima ya wanadamu, na ’udhaifu’ wa Mungu una nguvu ipitayo nguvu ya wanadamu.
 
Hahahaaaa duu
 
Mfano kusali Jumapili alibadilisha mfalme Kostantino. Mwanzoni walisali Jumamosi ila Jumapili walikutana kuumega mkate. Hata Yesu alienda ibada Jumamosi. Mimi siyo msabato lakini huwa nasali Jpili kwa maana siku zote ni za Bwana.
Unasemaje ktk hilo
Kuna sehemu Mungu alisema watu wasali Jumamosi?.
 
Jua kwamba mti wenye matunda ndio unaotupiwa mawe.
 
Ni kosa kuombewa na wafu. Lango ni moja tuu nalo ni Yesu
Ni kweli Kabisa.
Ni kosa kuombewa na wafu maana wafu hawajui chochote.
Wakristo sio wafu Kwa hiyo ni halali kuombeana.
Kuna madhehebu ni wafu na hawastahili kuombea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…