Waumini wa Kanisa Katoliki ni wavumilivu sana

Labda unihakikishi kama Musa aliingia na wafuasi wake kuabudu hekaluni maana wasisitiza ibada na hekalu
 
Unipe hiyo reference ya masanamu kujengwa msikitini enzi za Sulaiman. Kama hauna, useme ndivyo nimefundishwa Sunday schools

1 Wakorintho

25 Kwa maana huu upumbavu wa Mungu una hekima zaidi kuliko hekima ya wanadamu, na ’udhaifu’ wa Mungu una nguvu ipitayo nguvu ya wanadamu.
 
Jibu basi tufunge mada , kwa nini Allah alituma majini yamtengeneze masanamu Suleiman na wayaweke msikitini?

Kitabu chako kipo wazi kimeongea kwa uwazi kabisa bila kuficha chochote kinachokufanya wewe ukipinge ni nini?
 
Koran 64:13. Walikuwa wakimfanyia alipendalo, kama mihrabu, na masanamu, na madeste makubwa kama mahodhi, na masufuria makubwa yasiyo ondolewa mahala pake. Enyi watu wa Daudi! Fanyeni kazi kwa kushukuru. Ni wachache katika waja wangu wanao shukuru

Tumalize mada sema hauamini Koran na neno masanamu halipo na neno synagogue maana yake sio msikitini
 
Jibu basi tufunge mada , kwa nini Allah alituma majini yamtengeneze masanamu Suleiman na wayaweke msikitini?

Kitabu chako kipo wazi kimeongea kwa uwazi kabisa bila kuficha chochote kinachokufanya wewe ukipinge ni nini?
Nipe hiyo aya kwa kubold kama hivi ikiwa unasema kweli. Unachoshindwa nini? Masanamu yakiwekwa msikitini. Mi kwenye kanisa nakupa reference hadi ya picha.


1 Wakorintho

25 Kwa maana huu upumbavu wa Mungu una hekima zaidi kuliko hekima ya wanadamu, na ’udhaifu’ wa Mungu una nguvu ipitayo nguvu ya wanadamu.
 
Ni vizuri nijue uelewa wako maana umesha mpinga binadamu yake muhammad na kumuita muongo,

Ayo masanamu Allah alitengeneza akayaweka wapi?
 
Tunaomba wakristo wenzetu watuombee Kwa sababu Mkristo hafi.
 
Nimekuambia lete reference kwa ulichosema kwa kubold masanamu yalijengwa kwenye msikiti. Mbona unabadilika we kafiri.
Hili bandiko hautaki kulijibu. Au kitabu hakieleweki
1 Wakorintho

25 Kwa maana huu upumbavu wa Mungu una hekima zaidi kuliko hekima ya wanadamu, na ’udhaifu’ wa Mungu una nguvu ipitayo nguvu ya wanadamu.
 
Ni vizuri nijue uelewa wako maana umesha mpinga binadamu yake muhammad na kumuita muongo,

Ayo masanamu Allah alitengeneza akayaweka wapi?

Kwenye biblia inawezekana aliyajenga.

1 Wakorintho

25 Kwa maana huu upumbavu wa Mungu una hekima zaidi kuliko hekima ya wanadamu, na ’udhaifu’ wa Mungu una nguvu ipitayo nguvu ya wanadamu.
 
Mkuu mnajikuta wapishi wa Mungu?

Yaani wewe ni mtoto pendwa wa Mungu kiasi amekupa uwezo akisimama kiumbe kama wewe mbele yako akawa anasema neno kumuhusu Mungu unajua hapa pana Mungu hapa hamna Mungu?

Hongereni sana ila kiasi mnachojikweza ndicho hicho hicho kitakachowashusha,jitazameni upya!!!
 
Lazima uone fahari Kwa msalaba uliotumika kukukomboa.

Galatians 6:14 .
But God forbid that I should boast
except in the
cross of our Lord Jesus Christ,
by whom the world has been crucified to me, and I to the world.
Mkuu msalaba uzungumziwao hapo siyo kipande cha mti cha kuchongwa na kusimamishwa mbele na kupigiwa magoti na kuinamiwa, hii ni sawa na wanaomwinamia mfalme Zumalidi na kumpigia magoti. Msalaba uzungumziwao ni ukaao moyoni kwa kufikiria mateso ya Yesu pale msalabani. Tatizo mpo physically saana and not spiritual ndo maana akina Mwamposa wakawaiga maji ya baraka wakayaita ya upako na akina nabii Tito pombe, mavitu physical. We should cast our minds to Calvary where Jesus bled for us baasi. Mungu atizama moyo, angekua physical namna hiyo swala la kujikana mwenyewe na kuubeba msalaba bass kila mtu angejitwika kipande cha mbao begani
 
Ni vizuri nijue uelewa wako maana umesha mpinga binadamu yake muhammad na kumuita muongo,

Ayo masanamu Allah alitengeneza akayaweka wapi?
We kuelewa kwako kukoje? Hii aya ina miezi mingapi umeshindwa kufafanua?

1 Wakorintho

25 Kwa maana huu upumbavu wa Mungu una hekima zaidi kuliko hekima ya wanadamu, na ’udhaifu’ wa Mungu una nguvu ipitayo nguvu ya wanadamu.
 
Ni vizuri unaanja kukiri , huyu sulaiman sehemu yake ya kuabudia lazima ilikuwa msikitini maana ni muislamu ,

Jibu kwa nini Allah alitengeneza masanamu akayaweka sehemu ya kuabudia ya sulaiman
?
Unakubaliana na Paulo? Jibu ndio au hapana. Kufafanua umeshindwa

1 Wakorintho

25 Kwa maana huu upumbavu wa Mungu una hekima zaidi kuliko hekima ya wanadamu, na ’udhaifu’ wa Mungu una nguvu ipitayo nguvu ya wanadamu.
 
Labda unihakikishi kama Musa aliingia na wafuasi wake kuabudu hekaluni maana wasisitiza ibada na hekalu
Nimetaja hekalu kama kiwakilishi Cha sehemu rasmi ya ibada.
Pale mtini alipotundikwa Nyoka hapakuwa sehemu rasmi ya ibada wala makuhani hawakuwa wanapatumia kuondolea watu dhambi.

Yesu ni kuhani mkuu anayefanya kwa mfano wa makuhani wa enzi za kale Kwa kuwaondolea watu dhambi.

Kusema Mungu aliruhusu ibada ya Sanamu ndio maana akatoa nyoka wa Shaba enzi za Musa ni uthibitisho wa wazi Kabisa kwamba maandiko yamewapiga chenga.
Narudia Tena.
Mungu hajawahi kuushirikisha utukufu wake na Sanamu.
Acheni mihemuko.
 
Kwenye biblia inawezekana aliyajenga.

1 Wakorintho

25 Kwa maana huu upumbavu wa Mungu una hekima zaidi kuliko hekima ya wanadamu, na ’udhaifu’ wa Mungu una nguvu ipitayo nguvu ya wanadamu.
Biblia sio kitabu Cha Allah
Allah kasema wazi kwenye kitabu chake kawatuma mapepo kutengeneza masanamu
Koran 64:13. Walikuwa wakimfanyia alipendalo, kama mihrabu, na masanamu, na madeste makubwa kama mahodhi, na masufuria makubwa yasiyo ondolewa mahala pake. Enyi watu wa Daudi! Fanyeni kazi kwa kushukuru. Ni wachache katika waja wangu wanao shukuru

Kwa nini Allah katengeneza masanamu na kuyaweka msikitini?
 
Hakuna lililobadilishwa ila wewe ma mchungaji wako ndio mmebadilisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…