Waumini wa Kanisa Katoliki ni wavumilivu sana

Waumini wa Kanisa Katoliki ni wavumilivu sana

Mpaka leo hujui kwa nini unabusu jiwe ? jiwe linamaana gani kwako hujui

hili la masanamu ndio mmeshindwa kabisa kujua sababu ya majini kutengeneza masanamu kwa ajili ya ibada
Jibu kwanini suleiman aliwekewa na Allah masanamu kwa ajili ya ibada
Koran 34:13. Hao majini wakifanya atakacho Suleiman, kama misikiti kwa ajili ya ibada, na masanamu,
Kajifunze kwanza biblia ujue hata agano jipya. Mweupe kichwani. Karne ya 21 bado unaabudu picha ya "Brian Deacon".
 
Mpaka leo hujui kwa nini unabusu jiwe ? jiwe linamaana gani kwako hujui

hili la masanamu ndio mmeshindwa kabisa kujua sababu ya majini kutengeneza masanamu kwa ajili ya ibada
Jibu kwanini suleiman aliwekewa na Allah masanamu kwa ajili ya ibada
Koran 34:13. Hao majini wakifanya atakacho Suleiman, kama misikiti kwa ajili ya ibada, na masanamu,
Umeshakunywa damu ya yesu kwanza au umepata mkate mkavu? Kajifunze kwanza biblia ili ujitahidi uwe kama huyu mtoto.
 
IFAHAMU IDADI NA MAJINA YA MAPAPA (BABA WATAKATIFU) KUTOKA PETRO HADI BABA MTAKATIFU FRANSISKO KATI YA MWAKA 33 A.D - 2022

Orodha ya Mapapa

1. St. Peter (33-67)
2. St. Linus (67-76)
3. St. Anacletus (Cletus) (76-88)
4. St. Clement I (88-97)
5. St. Evaristus (97-105)
6. St. Alexander I (105-115)
7. St. Sixtus I (115-125)
8. St. Telesphorus (125-136)
9. St. Hyginus (136-140)
10. St. Pius I (140-155)
11. St. Anicetus (155-166)
12. St. Soter (166-175)
13. St. Eleutherius (175-189)
14. St. Victor I (189-199)
15. St. Zephyrinus (199-217)
16. St. Callistus I (217-222)
Callistus and the following three popes were opposed by St. Hippolytus, antipope (217-236)

17. St. Urban I (222-230)
18. St. Pontain (230-235)
19. St. Anterus (235-236)
20. St. Fabian (236-250)
21. St. Cornelius (251-253)
Opposed by Novatian, antipope (251)

22. St. Lucius I (253-254)
23. St. Stephen I (254-257)
24. St. Sixtus II (257-258)
25. St. Dionysius (260-268)
26. St. Felix I (269-274)
27. St. Eutychian (275-283)
28. St. Caius (283-296)
29. St. Marcellinus (296-304)
30. St. Marcellus I (308-309)
31. St. Eusebius (309-310)
32. St. Miltiades (311-314)
33. St. Sylvester I (314-335)
34. St. Marcus (336)
35. St. Julius I (337-352)
36. Liberius (352-366)
Opposed by Felix II, antipope (355-365)

37. St. Damasus I (366-84)
Opposed by Ursicinus, antipope (366-367)

38. St. Siricius (384-399)
39. St. Anastasius I (399-401)
40. St. Innocent I (401-417)
41. St. Zosimus (417-418)
42. St. Boniface I (418-422)
Opposed by Eulalius, antipope (418-419)

43. St. Celestine I (422-432)
44. St. Sixtus III (432-440)
45. St. Leo I (the Great) (440-461)
46. St. Hilarius (461-468)
47. St. Simplicius (468-483)
48. St. Felix III (II) (483-492)
49. St. Gelasius I (492-496)
50. Anastasius II (496-498)
51. St. Symmachus (498-514)
Opposed by Laurentius, antipope (498-501)

52. St. Hormisdas (514-523)
53. St. John I (523-526)
54. St. Felix IV (III) (526-530)
55. Boniface II (530-532)
Opposed by Dioscorus, antipope (530)

56. John II (533-535)
57. St. Agapetus I (535-536)
58. St. Silverius (536-537)
59. Vigilius (537-555)
60. Pelagius I (556-561)
61. John III (561-574)
62. Benedict I (575-579)
63. Pelagius II (579-590)
64. St. Gregory I (the Great) (590-604)
65. Sabinian (604-606)
66. Boniface III (607)
67. St. Boniface IV (608-615)
68. St. Deusdedit (Adeodatus I) (615-618)
69. Boniface V (619-625)
70. Honorius I (625-638)
71. Severinus (640)
72. John IV (640-642)
73. Theodore I (642-649)
74. St. Martin I (649-655)
75. St. Eugene I (655-657)
76. St. Vitalian (657-672)
77. Adeodatus II (672-676)
78. Donus (676-678)
79. St. Agatho (678-681)
80. St. Leo II (682-683)
81. St. Benedict II (684-685)
82. John V (685-686)
83. Conon (686-687)
84. St. Sergius I (687-701)
Opposed by Theodore and Paschal, antipopes (687)

85. John VI (701-705)
86. John VII (705-707)
87. Sisinnius (708)
88. Constantine (708-715)
89. St. Gregory II (715-731)
90. St. Gregory III (731-741)
91. St. Zachary (741-752)
Stephen II followed Zachary, but because he died before being consecrated, modern lists omit him

92. Stephen II (III) (752-757)
93. St. Paul I (757-767)
94. Stephen III (IV) (767-772)
Opposed by Constantine II (767) and Philip (768), antipopes (767)

95. Adrian I (772-795)
96. St. Leo III (795-816)
97. Stephen IV (V) (816-817)
98. St. Paschal I (817-824)
99. Eugene II (824-827)
100. Valentine (827)
101. Gregory IV (827-844)
102. Sergius II (844-847)
Opposed by John, antipope

103. St. Leo IV (847-855)
104. Benedict III (855-858)
Opposed by Anastasius, antipope (855)

105. St. Nicholas I (the Great) (858-867)
106. Adrian II (867-872)
107. John VIII (872-882)
108. Marinus I (882-884)
109. St. Adrian III (884-885)
110. Stephen V (VI) (885-891)
111. Formosus (891-896)
112. Boniface VI (896)
113. Stephen VI (VII) (896-897)
114. Romanus (897)
115. Theodore II (897)
116. John IX (898-900)
117. Benedict IV (900-903)
118. Leo V (903)
Opposed by Christopher, antipope (903-904)

119. Sergius III (904-911)
120. Anastasius III (911-913)
121. Lando (913-914)
122. John X (914-928)
123. Leo VI (928)
124. Stephen VIII (929-931)
125. John XI (931-935)
126. Leo VII (936-939)
127. Stephen IX (939-942)
128. Marinus II (942-946)
129. Agapetus II (946-955)
130. John XII (955-963)
131. Leo VIII (963-964)
132. Benedict V (964)
133. John XIII (965-972)
134. Benedict VI (973-974)
135. Benedict VII (974-983)
Benedict VII and John XIV were opposed by Boniface VII, antipope (974; 984-985)

136. John XIV (983-984)
137. John XV (985-996)
138. Gregory V (996-999)
Opposed by John XVI, antipope (997-998)

139. Sylvester II (999-1003)
140. John XVII (1003)
141. John XVIII (1003-1009)
142. Sergius IV (1009-1012)
143. Benedict VIII (1012-1024)
Opposed by Gregory, antipope (1012)

144. John XIX (1024-1032)
145. Benedict IX (1032-1045)
He appears on this list three separate times, because he was twice deposed and restored

146. Sylvester III (1045)
Considered by some to be an antipope

147. Benedict IX (1045)
148. Gregory VI (1045-1046)
149. Clement II (1046-1047)
150. Benedict IX (1047-1048)
151. Damasus II (1048)
152. St. Leo IX (1049-1054)
153. Victor II (1055-1057)
154. Stephen X (1057-1058)
155. Nicholas II (1058-61)
Opposed by Benedict X, antipope (1058)

156. Alexander II (1061-73)
Opposed by Honorius II, antipope (1061-1072)

157. St. Gregory VII (1073-85)
Gregory and the following three popes were opposed by Guibert ("Clement III"), antipope (1080-1100)

158. Blessed Victor III (1086-1087)
159. Blessed Urban II (1088-1099)
160. Paschal II (1099-1118)
Opposed by Theodoric (1100), Aleric (1102) and Maginulf ("Sylvester IV", 1105-1111), antipopes

161. Gelasius II (1118-1119)
Opposed by Burdin ("Gregory VIII"), antipope (1118)

162. Callistus II (1119-1124)
163. Honorius II (1124-1130)
Opposed by Celestine II, antipope (1124)

164. Innocent II (1130-1143)
Opposed by Anacletus II (1130-1138) and Gregory Conti ("Victor IV") (1138), antipopes (1138)

165. Celestine II (1143-1144)
166. Lucius II (1144-1145)
167. Blessed Eugene III (1145-1153)
168. Anastasius IV (1153-1154)
169. Adrian IV (1154-1159)
170. Alexander III (1159-81)
Opposed by Octavius ("Victor IV") (1159-1164), Pascal III (1165-1168), Callistus III (1168-1177) and Innocent III (1178-1180), antipopes

171. Lucius III (1181-1185)
172. Urban III (1185-1187)
173. Gregory VIII (1187)
174. Clement III (1187-1191)
175. Celestine III (1191-1198)
176. Innocent III (1198-1216)
177. Honorius III (1216-1227)
178. Gregory IX (1227-1241)
179. Celestine IV (1241)
180. Innocent IV (1243-1254)
181. Alexander IV (1254-1261)
182. Urban IV (1261-1264)
183. Clement IV (1265-1268)
184. Blessed Gregory X (1271-1276)
185. Blessed Innocent V (1276)
186. Adrian V (1276)
187. John XXI (1276-1277)
188. Nicholas III (1277-1280)
189. Martin IV (1281-1285)
190. Honorius IV (1285-1287)
191. Nicholas IV (1288-1292)
192. St. Celestine V (1294)
193. Boniface VIII (1294-1303)
194. Blessed Benedict XI (1303-1304)
195. Clement V (1305-1314)
196. John XXII (1316-1334)
Opposed by Nicholas V, antipope (1328-1330)

197. Benedict XII (1334-1342)
198. Clement VI (1342-1352)
199. Innocent VI (1352-1362)
200. Blessed Urban V (1362-1370)
201. Gregory XI (1370-1378)
202. Urban VI (1378-1389)
Opposed by Robert of Geneva ("Clement VII"), antipope (1378-1394)

203. Boniface IX (1389-1404)
Opposed by Robert of Geneva ("Clement VII") (1378-1394), Pedro de Luna ("Benedict XIII") (1394-1417) and Baldassare Cossa ("John XXIII") (1400-1415), antipopes

204. Innocent VII (1404-1406)
Opposed by Pedro de Luna ("Benedict XIII")
(1394-1417) and Baldassare Cossa ("John XXIII") (1400-1415), antipopes

205. Gregory XII (1406-1415) Opposed by Pedro de Luna ("Benedict XIII") (1394-1417), Baldassare Cossa ("John XXIII") (1400-1415), and Pietro Philarghi ("Alexander V") (1409-1410), antipopes

206. Martin V (1417-1431)
207. Eugene IV (1431-1447)
Opposed by Amadeus of Savoy ("Felix V"), antipope (1439-1449)

208. Nicholas V (1447-1455)
209. Callistus III (1455-1458)
210. Pius II (1458-1464)
211. Paul II (1464-1471)
212. Sixtus IV (1471-1484)
213. Innocent VIII (1484-1492)
214. Alexander VI (1492-1503)
215. Pius III (1503)
216. Julius II (1503-1513)
217. Leo X (1513-1521)
218. Adrian VI (1522-1523)
219. Clement VII (1523-1534)
220. Paul III (1534-1549)
221. Julius III (1550-1555)
222. Marcellus II (1555)
223. Paul IV (1555-1559)
224. Pius IV (1559-1565)
225. St. Pius V (1566-1572)
226. Gregory XIII (1572-1585)
227. Sixtus V (1585-1590)
228. Urban VII (1590)
229. Gregory XIV (1590-1591)
230. Innocent IX (1591)
231. Clement VIII (1592-1605)
232. Leo XI (1605)
233. Paul V (1605-1621)
234. Gregory XV (1621-1623)
235. Urban VIII (1623-1644)
236. Innocent X (1644-1655)
237. Alexander VII (1655-1667)
238. Clement IX (1667-1669)
239. Clement X (1670-1676)
240. Blessed Innocent XI (1676-1689)
241. Alexander VIII (1689-1691)
242. Innocent XII (1691-1700)
243. Clement XI (1700-1721)
244. Innocent XIII (1721-1724)
245. Benedict XIII (1724-1730)
246. Clement XII (1730-1740)
247. Benedict XIV (1740-1758)
248. Clement XIII (1758-1769)
249. Clement XIV (1769-1774)
250. Pius VI (1775-1799)
251. Pius VII (1800-1823)
252. Leo XII (1823-1829)
253. Pius VIII (1829-1830)
254. Gregory XVI (1831-1846)
255. Blessed Pius IX (1846-1878)
256. Leo XIII (1878-1903)
257. St. Pius X (1903-1914)
258. Benedict XV (1914-1922)
259. Pius XI (1922-1939)
260. Pius XII (1939-1958)
261. St. John XXIII (1958-1963)
262. Paul VI (1963-1978)
263. John Paul I (1978)
264 St. John Paul II (1978-2005)
265. Benedict XVI (2005-2013)
266. Francis (2013 - )
 
Ndiyo maana nilikuuliza hapo mwanzo hayo masanamu yalikuwa yanaabudiwa ? Je yalikuwa msikitini kama unavyo dai ? Sababu masanamu yapo ya sampuli kadha wa kadha, na huwekwa popote. Sasa sijajua kwanini unalazimisha yawepi msikitini na wakati huna ushahidi wa kuonyesha kwamba yapo msikitini ?

Kuna muda nakuona una matatizo ya akili. Kosa unalo fanya wewe ni kulazimisha ushirikina mnao ufanya nyinyi kwamba na sisi tunaufanya.
Kisai inatakiwa nikufundishe dini yako maana mambo mengi hujui nikiweka hapa huwa unastuka sana
ndio maana nakuuliza sababu gani ilimfanya allah kuweka masanamu msikitini unaruka ruka na kurusha mateke bila kuweka majibu yanayoeleweka , umefikia mbali mpaka kupinga aya , umempinga mpaka muhammad unasema jiwe halina maana yoyote

ibn habas kaeleza vizuri na mmempinga pia mna edit Koran kulingana na matakwa yenu na nini mnataka kudanganya
Koran 34:13. Hao majini wakifanya atakacho Suleiman, kama misikiti kwa ajili ya ibada, na masanamu,....

Tanwîr al-Miqbâs min Tafsîr Ibn ‘Abbâs​

Abbas anaeleza majini yalitengeneza msikiti na kuweka masanamu ya malaika , manabii na watumisha watiifu kwa allah , ili waislamu wayaangalie na kuiga mifano ya hayo masanamu jinsi ya kumuabudu allah
Koran 34:13(They made for him what he willed: synagogues and statues) of angels, prophets and other righteous servants so that people look at them and follow their example of worshipping Allah,
 
Umeshakunywa damu ya yesu kwanza au umepata mkate mkavu? Kajifunze kwanza biblia ili ujitahidi uwe kama huyu mtoto.
View attachment 2151260
Mpaka leo hujui kwa nini unabusu jiwe ? jiwe linamaana gani kwako hujui
hili la masanamu ndio mmeshindwa kabisa kujua sababu ya majini kutengeneza masanamu kwa ajili ya ibada
Jibu kwanini suleiman aliwekewa na Allah masanamu kwa ajili ya ibada
Koran 34:13. Hao majini wakifanya atakacho Suleiman, kama misikiti kwa ajili ya ibada, na masanamu,
 
Kajifunze kwanza biblia ujue hata agano jipya. Mweupe kichwani. Karne ya 21 bado unaabudu picha ya "Brian Deacon".
Koran 34:13. Hao majini wakifanya atakacho Suleiman, kama misikiti kwa ajili ya ibada, na masanamu,
 
Ulichojibu kuhusu jiwe , ni kwamba ulimpinga muhammad ukasema jiwe halina maana , je ndio tuchukue kwa ni jibu lako
Sasa kwanini ulikuwa unasema uongo kwamba sikujibu ?

Kingine sijampinga Mtume. Kwani mtume alisema jiwe linadhuru au linanufaisha ukilibusu ?
 
Swali ni kwamba kwa nini msikiti wa suleiman allah aliweka masanamu
Mimi nimekuomba ujibu swali la msingi weka ushahidi kuonyesha kwenye msikiti wa nabii Suleymani kuna masanamu. Hujibu hili swali unaruka ruka.
 
Koran 34:13. Hao majini wakifanya atakacho Suleiman, kama misikiti kwa ajili ya ibada, na masanamu,
Kajifunze biblia kwanza.
images.jpeg
 
Mpaka leo hujui kwa nini unabusu jiwe ? jiwe linamaana gani kwako hujui
hili la masanamu ndio mmeshindwa kabisa kujua sababu ya majini kutengeneza masanamu kwa ajili ya ibada
Jibu kwanini suleiman aliwekewa na Allah masanamu kwa ajili ya ibada
Koran 34:13. Hao majini wakifanya atakacho Suleiman, kama misikiti kwa ajili ya ibada, na masanamu,
Kajifunze biblia Kwanza. Ufafanue hii aya ndiyo uje ulete ubishi.

1 Wakorintho

25 Kwa maana huu upumbavu wa Mungu una hekima zaidi kuliko hekima ya wanadamu, na ’udhaifu’ wa Mungu una nguvu ipitayo nguvu ya wanadamu.[/COLOR]
 
Koran 34:13. Hao majini wakifanya atakacho Suleiman, kama misikiti kwa ajili ya ibada, na masanamu,
Lete ufafanuzi wa verse. Usijifiche kwenye kichaka cha kuabudu picha ya mzungu


1 Wakorintho

25 Kwa maana huu upumbavu wa Mungu una hekima zaidi kuliko hekima ya wanadamu, na ’udhaifu’ wa Mungu una nguvu ipitayo nguvu ya wanadamu.[/COLOR]
 
Koran 34:13. Hao majini wakifanya atakacho Suleiman, kama misikiti kwa ajili ya ibada, na masanamu,....
Misikiti kwa ajiki ya ibada na hayo masanamu kwa ajili ya nini na yaliwekwa wapi ?


Tanwîr al-Miqbâs min Tafsîr Ibn ‘Abbâs​

Abbas anaeleza majini yalitengeneza msikiti na kuweka masanamu ya malaika , manabii na watumisha watiifu kwa allah , ili waislamu wayaangalie na kuiga mifano ya hayo masanamu jinsi ya kumuabudu allah
Koran 34:13(They made for him what he willed: synagogues and statues) of angels, prophets and other righteous servants so that people look at them and follow their example of worshipping Allah,
Kuhusu hii Tafsiri jana niliigusia lakini kwa ujinga wako unarudia rudia tena. Njoo na hoja mpya. Hapa huna hoja tena.

Kingine nitakuuliza hao malaika wali waona wapi mpaka wakaweza kutengeneza masanamu yao ?
 
Muongo ni wewe kama ulishakiri kuhusu hasithi aliyo isimulia swahaba Umar ambayo niliiweka kujibu swali hilo, bila shaka muongo ni wewe. Rejea katika mijadala ya nyuma.

Tarjama ya Ali Muhsin Barwan inasomeka hivi :

13. Walikuwa wakimfanyia alipendalo, kama mihrabu, na masanamu, na madeste makubwa kama mahodhi, na masufuria makubwa yasiyo ondolewa mahala pake. Enyi watu wa Daudi! Fanyeni kazi kwa kushukuru. Ni wachache katika waja wangu wanao shukuru. (Sabai : 13)

Na ukisoma matni ya kiarabu kuna tamko "Mihraab".

Kingine hapo hsionyesi kwamba Masanamu yaliwekwa misikitini. Mimi nataka unipe ushahidi unao onyesha masanamu yaliwekwa midikitini.

Kingine nabii Suleyman alipewa uwezo wa kuwatawala mpaka majini na kuwatumia katika kazi zake, hili siyo tatizo, sababu majini ni viumbe wa Allah kama tulivuo sisi wanadamu, wapo wema na wapo waovu.
Nilikupinga kabisa , kumuweka Umar ampinge Muhammad kuhusu kubusu jiwe , Mfuate Muhammad yeye ndio mtume kwako na sio Umar
Kwa nini Muhammad na wewe mnabusu jiwe?

Nenda kasome commentaries ya Barwan
Koran 34:13. Hao majini wakifanya atakacho Suleiman, kama misikiti kwa ajili ya ibada, na masanamu,....
 
Misikiti kwa ajiki ya ibada na hayo masanamu kwa ajili ya nini na yaliwekwa wapi ?



Kuhusu hii Tafsiri jana niliigusia lakini kwa ujinga wako unarudia rudia tena. Njoo na hoja mpya. Hapa huna hoja tena.

Kingine nitakuuliza hao malaika wali waona wapi mpaka wakaweza kutengeneza masanamu yao ?
Sio kupinga tu tafsir mpaka koran huwa mnapinga
Koran 34:13. Hao majini wakifanya atakacho Suleiman, kama misikiti kwa ajili ya ibada, na masanamu,....
 
Misikiti kwa ajiki ya ibada na hayo masanamu kwa ajili ya nini na yaliwekwa wapi ?



Kuhusu hii Tafsiri jana niliigusia lakini kwa ujinga wako unarudia rudia tena. Njoo na hoja mpya. Hapa huna hoja tena.

Kingine nitakuuliza hao malaika wali waona wapi mpaka wakaweza kutengeneza masanamu yao ?
Swala la kupinga maandiko yenu ambayo mmeweka wenyewe hilo mmi sihusiki kabisa , ni vyema mkakubaliana kuyafuta au mka edit yawe mnavyotaka , ila kwa sasa tunatumia mlivyoandika

Abbas - Tanwîr al-Miqbâs min Tafsîr Ibn ‘Abbâs (They made for him what he willed: synagogues and statues) of angels, prophets and other righteous servants so that people look at them and follow their example of worshipping Allah,
 
Kajifunze biblia kwanza.
View attachment 2151290
Nakufundisha kuhusu ibada ya jiwe , kwa nini mnaabudu jiwe
Soma kwa makini umuhimu wa jiwe
  • Jiwe jeusi kutoa hukumu siku ya mwisho likisaidiana na allah
    • Muhammad alisema juu ya Jiwe: "Na Allah, Allah Atalileta jiwe hiyo Siku ya Kiyama, na jiwe litakuwa na macho mawili na ambayo yanaona na mdomo ambao utaongea , na jiwe litashuhudia kwa wale walioigusa kwa moyo wa kweli. "Narrated by al-Tirmidhi, 961; Ibn Maajah, 2944
  • Jiwe linafuta dhambi likiguswa kwa moyo wa kweli
    • ....."Ewe Abu abdur-Rahman, kwanini nikuone tu ukigusa hizi pembe mbili?" Alisema: "Muhammad alisema: Kuzigusa zinafuta dhambi...." Sunan an-Nasa'i 2919
  • Jiwe jeusi lina fyonza dhambi za waislamu
    • Muhammad alisema: "Jiwe jeusi liliteremka kutoka Peponi, na lilikuwa jeupe zaidi kuliko maziwa, kisha likatiwa weusi na dhambi za watoto wa Adamu." Jami` at-Tirmidhi 877
 
Papa Yohane Paulo II alikua maarufu saana na mwenye heshima saana katika kizazi chetu
 
Nakufundisha kuhusu ibada ya jiwe , kwa nini mnaabudu jiwe
Soma kwa makini umuhimu wa jiwe
  • Jiwe jeusi kutoa hukumu siku ya mwisho likisaidiana na allah
    • Muhammad alisema juu ya Jiwe: "Na Allah, Allah Atalileta jiwe hiyo Siku ya Kiyama, na jiwe litakuwa na macho mawili na ambayo yanaona na mdomo ambao utaongea , na jiwe litashuhudia kwa wale walioigusa kwa moyo wa kweli. "Narrated by al-Tirmidhi, 961; Ibn Maajah, 2944
  • Jiwe linafuta dhambi likiguswa kwa moyo wa kweli
    • ....."Ewe Abu abdur-Rahman, kwanini nikuone tu ukigusa hizi pembe mbili?" Alisema: "Muhammad alisema: Kuzigusa zinafuta dhambi...." Sunan an-Nasa'i 2919
  • Jiwe jeusi lina fyonza dhambi za waislamu
    • Muhammad alisema: "Jiwe jeusi liliteremka kutoka Peponi, na lilikuwa jeupe zaidi kuliko maziwa, kisha likatiwa weusi na dhambi za watoto wa Adamu." Jami` at-Tirmidhi 877
Jitahidi kuzunguka lakini mi ninatoa aya moja tu kuonyesha ulivyokuwa zero kuabudu vitu ambavyo hauvijui misingi yake. Unaabudu picha ya mzungu, mnakunywa damu ya yesu, biblia zipo version mpya kila siku.
Na hakuna anayeweza kujaribu kutoa ufafanuzi sio wewe tu



1 Wakorintho

25 Kwa maana huu upumbavu wa Mungu una hekima zaidi kuliko hekima ya wanadamu, na ’udhaifu’ wa Mungu una nguvu ipitayo nguvu ya wanadamu.
 
Nakufundisha kuhusu ibada ya jiwe , kwa nini mnaabudu jiwe
Soma kwa makini umuhimu wa jiwe
  • Jiwe jeusi kutoa hukumu siku ya mwisho likisaidiana na allah
    • Muhammad alisema juu ya Jiwe: "Na Allah, Allah Atalileta jiwe hiyo Siku ya Kiyama, na jiwe litakuwa na macho mawili na ambayo yanaona na mdomo ambao utaongea , na jiwe litashuhudia kwa wale walioigusa kwa moyo wa kweli. "Narrated by al-Tirmidhi, 961; Ibn Maajah, 2944
  • Jiwe linafuta dhambi likiguswa kwa moyo wa kweli
    • ....."Ewe Abu abdur-Rahman, kwanini nikuone tu ukigusa hizi pembe mbili?" Alisema: "Muhammad alisema: Kuzigusa zinafuta dhambi...." Sunan an-Nasa'i 2919
  • Jiwe jeusi lina fyonza dhambi za waislamu
    • Muhammad alisema: "Jiwe jeusi liliteremka kutoka Peponi, na lilikuwa jeupe zaidi kuliko maziwa, kisha likatiwa weusi na dhambi za watoto wa Adamu." Jami` at-Tirmidhi 877
Makafiri hamjaanza leo kumtukana muumba. Soma kitabu chenu. Ukishaelewa uje kugusa huku
1 Wakorintho

25 Kwa maana huu upumbavu wa Mungu una hekima zaidi kuliko hekima ya wanadamu, na ’udhaifu’ wa Mungu una nguvu ipitayo nguvu ya wanadamu.
 
Nakufundisha kuhusu ibada ya jiwe , kwa nini mnaabudu jiwe
Soma kwa makini umuhimu wa jiwe
  • Jiwe jeusi kutoa hukumu siku ya mwisho likisaidiana na allah
    • Muhammad alisema juu ya Jiwe: "Na Allah, Allah Atalileta jiwe hiyo Siku ya Kiyama, na jiwe litakuwa na macho mawili na ambayo yanaona na mdomo ambao utaongea , na jiwe litashuhudia kwa wale walioigusa kwa moyo wa kweli. "Narrated by al-Tirmidhi, 961; Ibn Maajah, 2944
  • Jiwe linafuta dhambi likiguswa kwa moyo wa kweli
    • ....."Ewe Abu abdur-Rahman, kwanini nikuone tu ukigusa hizi pembe mbili?" Alisema: "Muhammad alisema: Kuzigusa zinafuta dhambi...." Sunan an-Nasa'i 2919
  • Jiwe jeusi lina fyonza dhambi za waislamu
    • Muhammad alisema: "Jiwe jeusi liliteremka kutoka Peponi, na lilikuwa jeupe zaidi kuliko maziwa, kisha likatiwa weusi na dhambi za watoto wa Adamu." Jami` at-Tirmidhi 877
Makafiri sio wa kwanza kuleta mizaha. Hata kitabu chenu Paulo alianza zamani

1 Wakorintho

25 Kwa maana huu upumbavu wa Mungu una hekima zaidi kuliko hekima ya wanadamu, na udhaifu wa Mungu una nguvu ipitayo nguvu ya wanadamu.
 
Back
Top Bottom