Waumini wa Kanisa Katoliki ni wavumilivu sana

Waumini wa Kanisa Katoliki ni wavumilivu sana

Huyu uthaman juzi juzi alisema Muhammad sio abrahamic , Muhammad alikuwa mpagani,
Huyo jamaa ni muongo sana

Akadanganya jibril alimsalimia muhammad walivyo onana kwa mara ya kwanza , wakati inajulikana wazi alimkaba bila salamu
Ulisikiliza hiyo debate.
 
Nimeangalia Haina majibu kwa nini mnabusu jiwe

Why are you kissing the stone?
Nimekuwekea video hapo. Imezungumziwa 'weak hadith' uliyokuwa unang'ang'ania.

Maelezo yapo hapo chini. Unaweza kubusu au kuacha sio lazima.


 
Nimekuwekea video hapo. Imezungumziwa 'weak hadith' uliyokuwa unang'ang'ania.

Maelezo yapo hapo chini. Unaweza kubusu au kuacha sio lazima.


Yani naona huelewi swali

Ni kwa Nini unabusu jiwe ?

Ile sio weak Hadith imekuwa grade kama Good
 
Sisi waumini wa kanisa katoliki tunafundishwa tusipoteze muda kubishana.

Kwetu kanisa ninsehemu ya maisha.
Nikihitaji shule bora kwa mwanangu nitampeleka shule ya kanisa.

Naumwa nitakwenda Bugando hospital na nitapata huduma bora za matibabu.

Nikihitaji hudumaa za kibank kwa ajili ya akiba yangu nifungua account mkombozi bank.

Nahitaji ujirani mwema.kupitia jumuiya nitajumuika na waumini wenzangu kupata social service.


Hivi ndivyo ambavyo kanisa Catholic linavyo deal na waumini wake ndo maana hatuna muda wa kuanza kujibizana na muumini wa dhehebu lingine.

Kama uko sahihi ni sawa.
Kama unajua sana biblia ni sawa.
Kama wewe ni mtakatifu ni sawa.
Kama utaenda mbinguni ni sawa pia.
Hatuna muda wa kuanza kuonyeshana nani yupo sahihi na nani hayupo sahihi.

Na kutokubishana na waumini wa madhehebu mengine ndo sababu ya kwanini kanisa hili bado lina nguvu na linawaumini miaka yote.
Ewaa...tukimaliza hapo ni kawine na kitimoto Rost hatuna habari
 
Yani naona huelewi swali

Ni kwa Nini unabusu jiwe ?

Ile sio weak Hadith imekuwa grade kama Good
Haujaona au unafanya kusudi?
Kumeweka hadi reference na hakuna commentaries za link uliyonitumia ambayo hakuna jibu
 
Haujaona au unafanya kusudi?
Kumeweka hadi reference na hakuna commentaries za link uliyonitumia ambayo hakuna jibu
Nimesoma , wanaelezea jiwe halina maana , na kwamba Umar ndio yupo sawa Kuliko muhammad , alipo sema jiwe halina maana yoyote

Kwenye hili Mimi nampinga Umar na namaupport Muhammad kwamba jiwe linamaana
Tukikubali halina maana tunampinga mpaka Allah alielishusha
 
Haujaona au unafanya kusudi?
Kumeweka hadi reference na hakuna commentaries za link uliyonitumia ambayo hakuna jibu
Nenda YouTube kam search uthaman akisema Muhammad hakuwa abrahamic na walikuwa wapagani

Na history ya jiwe imeanza kwa wapagani
 
Nimekuambia ujifunze. Hadith zote zinakusanywa. Usibebe kichwa kichwa kila unayoiona ukadhani sahihi.
Angalia hiyo debate David Wood, Sam na Anton wakiwa peke yao wanadanganya watu. Walivyochemka debate na mtu mmoja Kwa kuvamia fani sio yao.





Uthaman kachomoa betri, Kuna msemo unasema , ukesema ukweli hautaji kuwa na kumbukumbu

Ila ukiwa unaongea uongo kumbukumbu inatakiwa iwe juu Sana ndio kilichomkumba uthaman
 
Waislamu siwezi kuwasemea lakini Wakristo wengine wanawashutumu Wakatoliki kwa sababu wanafundisha mambo ambayo ni unbiblical na mambo ambayo yalirithiwa kutoka katika desturi za Dini za Kipagani za Kirumi na Kiyunani
Bhambie
 
Kanisa la Roma lina miaka 2000 toka limeanzishwa.

Hivi mtu mwenye umrinwa miaka 2000 atabishana nini na mtu aliyeanzisha karne ya 20?

Kanisa la Roma limewekeza kwenye elimu ndo maana wana shule na vyuo vikuu vya kutosha nchi nzima.

Afya
Kanisa la Roma lina hospital na dispensary nchi nzima.

Fedha
Kanisa la Roma lina Mkombozi bank. Kanisa la Roma ni taasisi imara na kongwe kabisa.

Waumini wake ni sehemu ya taasisi kwa hiyo hawana muda wa kuanza kujibizana na walokole ni kupoteza energy.
Limewekeza katika biashara na mambo ya Dunia hii.
 
Imani sahihi ni kumuabudu Mungu katika roho na kweli huku ukijiepusha na ibada za sanamu.

Kuwa na masanamu yaliyojaa makanisani mwenu ni ibada ya kishetani.

Kumuamini Mariam ni ibada ya kishetani. Mariam anaitwa Malkia wa Mvinguni katika Ukatoliki. Hii title ya Malkia wa Ulimwengu imekatazwa kutumika katika Biblia.

Yeremia 7:18
[18]Watoto huokota kuni, na baba zao huwasha moto, na wanawake hukanda unga, ili kumfanyizia mikate malkia wa mbinguni, na kuwamiminia miungu mingine sadaka za kinywaji, wapate kunikasirisha mimi.

Vile vile ukisoma Yeremia 44 :17-19

17 Lakini bila shaka tutalitimiza kila neno lililotoka katika vinywa vyetu, kumfukizia uvumba malkia wa mbinguni, na kummiminia sadaka za kinywaji, kama tulivyotenda sisi, na baba zetu, na wafalme wetu, na wakuu wetu, katika miji ya Yuda, na katika njia kuu za Yerusalemu; maana wakati huo tulikuwa na chakula tele, na kufanikiwa, wala hatukuona mabaya. 18Lakini tulipoacha kumfukizia uvumba malkia wa mbinguni, na kummiminia sadaka za kinywaji, tumepungukiwa na vitu vyote; na kuangamizwa kwa upanga, na kwa njaa. 19 Nasi tulipomfukizia uvumba malkia wa mbinguni, na kummiminia sadaka za kinywaji, je! Tulimwandalia mikate, ili kumwabudu, na kummiminia mimiminiko, waume zetu wasipokuwapo?

Hizo ndizo ibada za sanamu zinazokatazwa.
Sina hakika kama wataelewa. Wenzetu hawa wamepigwa upofu wa kiroho.
 
Hili nimemaliza na ibn abas aliweka sawa na kusema yaliwekwa msikitini tena ni masanamu ya mitume na malaika
Koran 34:13. Hao majini wakifanya atakacho Suleiman, kama misikiti kwa ajili ya ibada, na masanamu,....
Shukrani.
 
Catholic ni kwa ajil ya watu wote sio kwa waroma peke yao.Ukiangalia official badge zao au ukikuta post zinazonyesha sehemu makanisa yao yalipo utakuta wameandika " kanisa katoliki parokia ya ......." Hutakuta neno Roma
Wanaona aibu kuita na kuandika Roman siku hizi
 
Ushawahi kuona mkatoliki mwenye akili ndogo?
Watakuwaje na akili ndogo wakati wanamtumikia Mungu wa Dunia hii? Mbona hujiulizi mlokole au msabato wa kweli anajua maandiko sawasawa kuzidi askofu mwenye PhD wa Roma ?? Ni mgawanyo tu. Wa mbiguni Wana wana tunu za mbiguni na Wa Dunia Wana tunu za duniani.
 
Shukrani.

Uthman simjui.
Nenda kamsome ni moja ya mashehe wakubwa Sana kwa sasa , Kuna zakirinaiki na uthaman
Muangalie kidogo hapa , ila najua kingereza kwako ni shida jitaidi tafuta mtu akufanyie translation

 
Watakuwaje na akili ndogo wakati wanamtumikia Mungu wa Dunia hii? Mbona hujiulizi mlokole au msabato wa kweli anajua maandiko sawasawa kuzidi askofu mwenye PhD wa Roma ?? Ni mgawanyo tu. Wa mbiguni Wana wana tunu za mbiguni na Wa Dunia Wana tunu za duniani.
Muwe mnaelewa
Ukristo ni kuamini utatu na kuamini Yesu ni Mungu kinyume Cha hapo sio ukristo

Kwa makanisa huwa tunakiri Imani ya kikristo kila tukiingia kwenye ibada ,

Namuamini Mungu baba ..
Namuamini Mungu mwana ...
Namuamini roho mtakatifu...

Zote baba ,mwana ,na Roho mtakatifu ni divine

Usipo amini hivyo wewe sio mkristo
 
Back
Top Bottom