Usiweke vitu havipo. Angalia kwenye Link uelewe
Nimeangalia Haina majibu kwa nini mnabusu jiwe
Why are you kissing the stone?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usiweke vitu havipo. Angalia kwenye Link uelewe
Ulisikiliza hiyo debate.Huyu uthaman juzi juzi alisema Muhammad sio abrahamic , Muhammad alikuwa mpagani,
Huyo jamaa ni muongo sana
Akadanganya jibril alimsalimia muhammad walivyo onana kwa mara ya kwanza , wakati inajulikana wazi alimkaba bila salamu
Nimekuwekea video hapo. Imezungumziwa 'weak hadith' uliyokuwa unang'ang'ania.Nimeangalia Haina majibu kwa nini mnabusu jiwe
Why are you kissing the stone?
makkah-madinah.accor.com
Yani naona huelewi swaliNimekuwekea video hapo. Imezungumziwa 'weak hadith' uliyokuwa unang'ang'ania.
Maelezo yapo hapo chini. Unaweza kubusu au kuacha sio lazima.
![]()
Story & Symbolism of the Black Stone | Makkah & Madinah Blog
Discover the story and symbolism of the Black Stone, a sacred relic in Islam built into Kaaba in Makkah for pilgrims to kiss and touch it. Read our blog now.makkah-madinah.accor.com
Ewaa...tukimaliza hapo ni kawine na kitimoto Rost hatuna habariSisi waumini wa kanisa katoliki tunafundishwa tusipoteze muda kubishana.
Kwetu kanisa ninsehemu ya maisha.
Nikihitaji shule bora kwa mwanangu nitampeleka shule ya kanisa.
Naumwa nitakwenda Bugando hospital na nitapata huduma bora za matibabu.
Nikihitaji hudumaa za kibank kwa ajili ya akiba yangu nifungua account mkombozi bank.
Nahitaji ujirani mwema.kupitia jumuiya nitajumuika na waumini wenzangu kupata social service.
Hivi ndivyo ambavyo kanisa Catholic linavyo deal na waumini wake ndo maana hatuna muda wa kuanza kujibizana na muumini wa dhehebu lingine.
Kama uko sahihi ni sawa.
Kama unajua sana biblia ni sawa.
Kama wewe ni mtakatifu ni sawa.
Kama utaenda mbinguni ni sawa pia.
Hatuna muda wa kuanza kuonyeshana nani yupo sahihi na nani hayupo sahihi.
Na kutokubishana na waumini wa madhehebu mengine ndo sababu ya kwanini kanisa hili bado lina nguvu na linawaumini miaka yote.
Haujaona au unafanya kusudi?Yani naona huelewi swali
Ni kwa Nini unabusu jiwe ?
Ile sio weak Hadith imekuwa grade kama Good
makkah-madinah.accor.com
Nimesoma , wanaelezea jiwe halina maana , na kwamba Umar ndio yupo sawa Kuliko muhammad , alipo sema jiwe halina maana yoyoteHaujaona au unafanya kusudi?
Kumeweka hadi reference na hakuna commentaries za link uliyonitumia ambayo hakuna jibu
![]()
Story & Symbolism of the Black Stone | Makkah & Madinah Blog
Discover the story and symbolism of the Black Stone, a sacred relic in Islam built into Kaaba in Makkah for pilgrims to kiss and touch it. Read our blog now.makkah-madinah.accor.com
Nenda YouTube kam search uthaman akisema Muhammad hakuwa abrahamic na walikuwa wapaganiHaujaona au unafanya kusudi?
Kumeweka hadi reference na hakuna commentaries za link uliyonitumia ambayo hakuna jibu
![]()
Story & Symbolism of the Black Stone | Makkah & Madinah Blog
Discover the story and symbolism of the Black Stone, a sacred relic in Islam built into Kaaba in Makkah for pilgrims to kiss and touch it. Read our blog now.makkah-madinah.accor.com
Nimekuambia ujifunze. Hadith zote zinakusanywa. Usibebe kichwa kichwa kila unayoiona ukadhani sahihi.
Angalia hiyo debate David Wood, Sam na Anton wakiwa peke yao wanadanganya watu. Walivyochemka debate na mtu mmoja Kwa kuvamia fani sio yao.
BhambieWaislamu siwezi kuwasemea lakini Wakristo wengine wanawashutumu Wakatoliki kwa sababu wanafundisha mambo ambayo ni unbiblical na mambo ambayo yalirithiwa kutoka katika desturi za Dini za Kipagani za Kirumi na Kiyunani
Limewekeza katika biashara na mambo ya Dunia hii.Kanisa la Roma lina miaka 2000 toka limeanzishwa.
Hivi mtu mwenye umrinwa miaka 2000 atabishana nini na mtu aliyeanzisha karne ya 20?
Kanisa la Roma limewekeza kwenye elimu ndo maana wana shule na vyuo vikuu vya kutosha nchi nzima.
Afya
Kanisa la Roma lina hospital na dispensary nchi nzima.
Fedha
Kanisa la Roma lina Mkombozi bank. Kanisa la Roma ni taasisi imara na kongwe kabisa.
Waumini wake ni sehemu ya taasisi kwa hiyo hawana muda wa kuanza kujibizana na walokole ni kupoteza energy.
Sina hakika kama wataelewa. Wenzetu hawa wamepigwa upofu wa kiroho.Imani sahihi ni kumuabudu Mungu katika roho na kweli huku ukijiepusha na ibada za sanamu.
Kuwa na masanamu yaliyojaa makanisani mwenu ni ibada ya kishetani.
Kumuamini Mariam ni ibada ya kishetani. Mariam anaitwa Malkia wa Mvinguni katika Ukatoliki. Hii title ya Malkia wa Ulimwengu imekatazwa kutumika katika Biblia.
Yeremia 7:18
[18]Watoto huokota kuni, na baba zao huwasha moto, na wanawake hukanda unga, ili kumfanyizia mikate malkia wa mbinguni, na kuwamiminia miungu mingine sadaka za kinywaji, wapate kunikasirisha mimi.
Vile vile ukisoma Yeremia 44 :17-19
17 Lakini bila shaka tutalitimiza kila neno lililotoka katika vinywa vyetu, kumfukizia uvumba malkia wa mbinguni, na kummiminia sadaka za kinywaji, kama tulivyotenda sisi, na baba zetu, na wafalme wetu, na wakuu wetu, katika miji ya Yuda, na katika njia kuu za Yerusalemu; maana wakati huo tulikuwa na chakula tele, na kufanikiwa, wala hatukuona mabaya. 18Lakini tulipoacha kumfukizia uvumba malkia wa mbinguni, na kummiminia sadaka za kinywaji, tumepungukiwa na vitu vyote; na kuangamizwa kwa upanga, na kwa njaa. 19 Nasi tulipomfukizia uvumba malkia wa mbinguni, na kummiminia sadaka za kinywaji, je! Tulimwandalia mikate, ili kumwabudu, na kummiminia mimiminiko, waume zetu wasipokuwapo?
Hizo ndizo ibada za sanamu zinazokatazwa.
Yes. Roman Catholic= Uroma kwa ajili ya watu wote. Sasa wewe mroma?Naisi watu wengi hawajajua maana ya neno "Catholic " it's UNIVERSAL .
Shukrani.Hili nimemaliza na ibn abas aliweka sawa na kusema yaliwekwa msikitini tena ni masanamu ya mitume na malaika
Koran 34:13. Hao majini wakifanya atakacho Suleiman, kama misikiti kwa ajili ya ibada, na masanamu,....
Wanaona aibu kuita na kuandika Roman siku hiziCatholic ni kwa ajil ya watu wote sio kwa waroma peke yao.Ukiangalia official badge zao au ukikuta post zinazonyesha sehemu makanisa yao yalipo utakuta wameandika " kanisa katoliki parokia ya ......." Hutakuta neno Roma
Kisai hili la masanamu ya Allah alimuwekea Suleiman muislamu tumemalizaShukrani.
Watakuwaje na akili ndogo wakati wanamtumikia Mungu wa Dunia hii? Mbona hujiulizi mlokole au msabato wa kweli anajua maandiko sawasawa kuzidi askofu mwenye PhD wa Roma ?? Ni mgawanyo tu. Wa mbiguni Wana wana tunu za mbiguni na Wa Dunia Wana tunu za duniani.Ushawahi kuona mkatoliki mwenye akili ndogo?
Shukrani.Kisai hili la masanamu ya Allah alimuwekea Suleiman muislamu tumemaliza
Umemuona sheikh mkubwa duniani uthman kasema muhammad hakuwa abrahamic na alikuwa mpagani?
Nenda kamsome ni moja ya mashehe wakubwa Sana kwa sasa , Kuna zakirinaiki na uthamanShukrani.
Uthman simjui.
Muwe mnaelewaWatakuwaje na akili ndogo wakati wanamtumikia Mungu wa Dunia hii? Mbona hujiulizi mlokole au msabato wa kweli anajua maandiko sawasawa kuzidi askofu mwenye PhD wa Roma ?? Ni mgawanyo tu. Wa mbiguni Wana wana tunu za mbiguni na Wa Dunia Wana tunu za duniani.