Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Masikini kafiri naona unapambana kulazimisha kwenye hadith. Brian Deacon ameshabeba dhambi zote hakuna haja ya kwenda kubusuSio Mimi niliesema jiwe linafuta dhambi , unajua unapambana unafikiri Mimi ndio nimetunga maandiko yenu , Alie sema jiwe linasamehe na Lita hukumu ni Muhammad Mimi sihusiki kabisa
Jiwe jeusi kutoa hukumu siku ya mwisho likisaidiana na allah
Muhammad alisema juu ya Jiwe: "Na Allah, Allah Atalileta jiwe hiyo Siku ya Kiyama, na jiwe litakuwa na macho mawili na ambayo yanaona na mdomo ambao utaongea , na jiwe litashuhudia kwa wale walioigusa kwa moyo wa kweli. "Narrated by al-Tirmidhi, 961; Ibn Maajah, 2944
Jiwe linafuta dhambi likiguswa kwa moyo wa kweli
....."Ewe Abu abdur-Rahman, kwanini nikuone tu ukigusa hizi pembe mbili?" Alisema: "Muhammad alisema: Kuzigusa zinafuta dhambi...." Sunan an-Nasa'i 2919
Jiwe jeusi lina fyonza dhambi za waislamu
Muhammad alisema: "Jiwe jeusi liliteremka kutoka Peponi, na lilikuwa jeupe zaidi kuliko maziwa, kisha likatiwa weusi na dhambi za watoto wa Adamu." Jami` at-Tirmidhi 877
Huyu aliyetukanwa hapi ni yupi katika watatu?Muhammad anasema wazi jiwe lilikuwa jeupe , dhambi za waislamu wanaoligusa likalifanya kuwa jeusi
Muhammad alisema: "Jiwe jeusi liliteremka kutoka Peponi, na lilikuwa jeupe zaidi kuliko maziwa, kisha likatiwa weusi na dhambi za watoto wa Adamu." Jami` at-Tirmidhi 877
Na limebakia kwa sasa vikokoto
Waislamu wangapi wanaenda kubusu jiwe ?Mi sitoi maneno matupu. Natoa reference
View attachment 2151561
Kwa nini unasema hakuna haha ya kubusu jiwe? Show respect kwa mtume wako kijanaMasikini kafiri naona unapambana kulazimisha kwenye hadith. Brian Deacon ameshabeba dhambi zote hakuna haja ya kwenda kubusu
Mungu yupi katika wale watatu?Waislamu wangapi wanaenda kubusu jiwe ?
Ndio ujue jiwe linauwezo wa kukumbuka kila Alie libusu na siku ya mwisho litaongea likishuhudia , na linamacho ukilibishia sijui litafanyaje
Muhammad alisema juu ya Jiwe: "Na Allah, Allah Atalileta jiwe hiyo Siku ya Kiyama, na jiwe litakuwa na macho mawili na ambayo yanaona na mdomo ambao utaongea , na jiwe litashuhudia kwa wale walioigusa kwa moyo wa kweli. "Narrated by al-Tirmidhi, 961; Ibn Maajah, 2944
Kafiri mbona unaziruka aya za biblia. Mtafute msabato kidogo akuelekeze. Wao kidogo wanajitahidiKwa nini unasema hakuna haha ya kubusu jiwe? Show respect kwa mtume wako kijana
Uislamu haupo kama hakuna Allah ,Jiwe na Muhammad, dah so sadHuyu aliyetukanwa hapi ni yupi katika watatu?
1 Wakorintho
25 Kwa maana huu upumbavu wa Mungu una hekima zaidi kuliko hekima ya wanadamu, na udhaifu wa Mungu una nguvu ipitayo nguvu ya wanadamu.
Kwa nini unasema hakuna haha ya kubusu jiwe? Show respect kwa mtume wako kijana
We jifurahishe nafsi. Makafiri siku zote hakuna hojaUislamu haupo kama hakuna Allah ,Jiwe na Muhammad, dah so sad
1 WakorinthoUislamu haupo kama hakuna Allah ,Jiwe na Muhammad, dah so sad
Hapo ulipo jiwe limeshajua unalipinga , subiria siku ya mwisho litakuweka unapostahiliWe jifurahishe nafsi. Makafiri siku zote hakuna hoja
1 Wakorintho
25 Kwa maana huu upumbavu wa Mungu una hekima zaidi kuliko hekima ya wanadamu, na udhaifu wa Mungu una nguvu ipitayo nguvu ya wanadamu.
Maneno ya Paulo hayana staha. Hapa nahisi alikuwa amelewa. Hii verse haijapingwa wala kutolewa ufafanuzi. Ichunguze kama nimeongeza maneno au nimepunguzaHapo ulipo jiwe limeshajua unalipinga , subiria siku ya mwisho litakuweka unapostahili
Muhammad alisema juu ya Jiwe: "Na Allah, Allah Atalileta jiwe hiyo Siku ya Kiyama, na jiwe litakuwa na macho mawili na ambayo yanaona na mdomo ambao utaongea , na jiwe litashuhudia kwa wale walioigusa kwa moyo wa kweli. "Narrated by al-Tirmidhi, 961; Ibn Maajah, 2944
Huu mstari kwenye biblia haujapingwa kama uongo au ufafanuzi hadi sasa.Hapo ulipo jiwe limeshajua unalipinga , subiria siku ya mwisho litakuweka unapostahili
Muhammad alisema juu ya Jiwe: "Na Allah, Allah Atalileta jiwe hiyo Siku ya Kiyama, na jiwe litakuwa na macho mawili na ambayo yanaona na mdomo ambao utaongea , na jiwe litashuhudia kwa wale walioigusa kwa moyo wa kweli. "Narrated by al-Tirmidhi, 961; Ibn Maajah, 2944
Tumalize la kuabudu jiwe , kwa nini mnafanya hivyoManeno ya Paulo hayana staha. Hapa nahisi alikuwa amelewa. Hii verse haijapingwa wala kutolewa ufafanuzi. Ichunguze kama nimeongeza maneno au nimepunguza
1 Wakorintho
25 Kwa maana huu upumbavu wa Mungu una hekima zaidi kuliko hekima ya wanadamu, na udhaifu wa Mungu una nguvu ipitayo nguvu ya wanadamu.
Huu mstari sijajibiwa kwamba ni ukweli au uongo? Sijui kuna shida gani?Tumalize la kuabudu jiwe , kwa nini mnafanya hivyo
Tumeona kuanzia Suleiman Allah anampa masanamu , kama haitoshi Allah akashusha jiwe , ili libusiwe
Mi nataka ufafanuzi hapa. We ushatufafanulia kwa ilivyoelewa akili yako. Umeuliza swali na kujijibu.Tumalize la kuabudu jiwe , kwa nini mnafanya hivyo
Tumeona kuanzia Suleiman Allah anampa masanamu , kama haitoshi Allah akashusha jiwe , ili libusiwe
Ingia kwenye 18 Zetu,ndiyo utaelewa tunasahau wapi ubongoLinapokuja swala la Dini waislamu sjui wanasahaugu ubongo wapi