Waumini wa Kanisa Katoliki ni wavumilivu sana

Waumini wa Kanisa Katoliki ni wavumilivu sana

Jua injili iliyoasisiwa na kristo,inayohubiri masuala upendo na kuacha dhambi
masuala ya dini yako ndio ya kwanza,mara cjui dini kubwa ni kufarijiana tu humo kumbe mnaingizwa chaka na kuabudishwa sanamu
Sio injili tu, RC inatumia Biblia yote. Kumbuka injili ina vitabu vinne tu. Isije ikawa na wewe unapunguza vitabu tena kama wengine kutoka 72 hadi vinne
 
Kijana punguza mihemko, bishana na hoja, usitumie matusi na kashfa kuipa nguvu hoja zako.

Hapa inaonyesha na imetafsiri kuwa ni kweli mpo low sana kwenye arguiment.

Hii ni fallacy of generalization.
Mimi nimeshotoka kwenye ujana tafadhari
 
Na wale waliomtesa yesu walikuwa wakina Nani ?? Mana ndio ilikuwa serikali tawala kwa wakati huo. Tukarejee kwenye utawala wa Warumi mpaka kufkia ukomo wake.
Ndio mambo ya kutokuwa na ufahamu hayo. Ni bora ujifunze kwanza ndio uingie kwenye mijadala ya wenye akili zao, maana neno Warumi limeshakuchanganya 🤣🤣🤣
 
Ndio mambo ya kutokuwa na ufahamu hayo. Ni bora ujifunze kwanza ndio uingie kwenye mijadala ya wenye akili zao, maana neno Warumi limeshakuchanganya 🤣🤣🤣
Hongera kwa kujipa rate kuwa una akili 😂😂
 
Kwa nini awaulize waprostentanti wakati wakatoliki ndio hua wanaitumia hio biblia?

Siku wakatoliki wakishtuka wanaabudishwa sanamu lazima walete noma kudanganywa miaka yote
Unajua maana ya kuabudu sanamu.
Nini maana ya ibada ya sanamu
 
Kanisa Katoliki lilianzishwa na Mitume Kwa Maelekezo ya Yesu.
Mtume Petro ndie Papa wa Kwanza na alifia na Kuzikwa Vatican yalipo makao makuu ya Kanisa.
Eeh Yani petro mwanafunzi wa Yesu unasema ndio alikua papa?

Aisee Yaani Yesu ndio alikuja duniani kutoka mbinguni kuja kuwaambia mkaanzishe kanisa litakaloitwa katoliki?


Aisee si comment tena

hatari sana hii
 
Hongera kwa kujipa rate kuwa una akili 😂😂
Ukweli ndio huo. Haiwezekani JF ijiite Home of Great Thinkers, halafu mtu aje kutetea hoja bila ya kuwa na maarifa nayo.

Be informed kwanza, ili ukisema Utawala wa Warumi ndio hao hao Wakatoliki uwe na maelezo, usije ukachanganya serikali na dini 🤣
 
Wanaishi ukatoliki??? How yani unamaanisha wanaishi kunajisi watoto, kuwa na viongozi wa dini ambao ni mashoga, au wanaishi ukatoliki upi

Mnaupambania ukatoliki utadhani ni kitu cha maana kumbe ni shina la uovu.
Ukichunguza vizuri, wewe pia ni zao la huo uovu 😎😎😎 ukitaka ujue ukweli wa hizi dini, fungua akili yako, kuwa free, usiwe fooled na maneno na hao mapastor zenu
 
Ibada ya sanamu ni ile ya kuipigia magoti sanamu ya bikira maria huku ukijua ile ni sanamu haioni wala kusikia huo ni utaahira kabisa
Tafuta majibu juu ya Ili,lipo wazi.
Lilishajibiwa Ili.
Wanaomba kwa jina la Yesu au la sanamu.
 
Kulijua Kanisa Katoliki na kweli inayofundisha ni kwa neema tu! Ukilijua vyema utabaki unashangaa ulimwengu unaolitukana tu. Ndio Kanisa linaloshambuliwa na dini zote!

Hata secret societies tishio lao kuu ni Kanisa Katoliki ndio maana wamejaribu ku penetrate ili kuliharibu lakini over 2000 yrs the church is divinely protected.
 
Kulijua Kanisa Katoliki na kweli inayofundisha ni kwa neema tu! Ukilijua vyema utabaki unashangaa ulimwengu unaolitukana tu. Ndio Kanisa linaloshambuliwa na dini zote!

Hata secret societies tishio lao kuu ni Kanisa Katoliki ndio maana wamejaribu ku penetrate ili kuliharibu lakini over 2000 yrs the church is divinely protected.
Kabisaa na ukiwakuta wanavyotukana ukatoliki utawaonea huruma mishipa ya shingo ilivyowasimama🤣🤣.
 
Sisi waumini wa kanisa katoliki tunafundishwa tusipoteze muda kubishana.

Kwetu kanisa ninsehemu ya maisha.
Nikihitaji shule bora kwa mwanangu nitampeleka shule ya kanisa.

Naumwa nitakwenda Bugando hospital na nitapata huduma bora za matibabu.

Nikihitaji hudumaa za kibank kwa ajili ya akiba yangu nifungua account mkombozi bank.

Nahitaji ujirani mwema.kupitia jumuiya nitajumuika na waumini wenzangu kupata social service.


Hivi ndivyo ambavyo kanisa Catholic linavyo deal na waumini wake ndo maana hatuna muda wa kuanza kujibizana na muumini wa dhehebu lingine.

Kama uko sahihi ni sawa.
Kama unajua sana biblia ni sawa.
Kama wewe ni mtakatifu ni sawa.
Kama utaenda mbinguni ni sawa pia.
Hatuna muda wa kuanza kuonyeshana nani yupo sahihi na nani hayupo sahihi.

Na kutokubishana na waumini wa madhehebu mengine ndo sababu ya kwanini kanisa hili bado lina nguvu na linawaumini miaka yote.
Kwa maelezo yako ingebidi kwa watu wenye busara hii mada iishie hapa tuu maana ushamaliza.
 
Kulijua Kanisa Katoliki na kweli inayofundisha ni kwa neema tu! Ukilijua vyema utabaki unashangaa ulimwengu unaolitukana tu. Ndio Kanisa linaloshambuliwa na dini zote!

Hata secret societies tishio lao kuu ni Kanisa Katoliki ndio maana wamejaribu ku penetrate ili kuliharibu lakini over 2000 yrs the church is divinely protected.
Nilibahatika kusoma katekisimu kubwa ya wakatolic ikanifanya kuapa sitatoka katolic
 
Back
Top Bottom