Waumini wa Kanisa Katoliki ni wavumilivu sana

Waumini wa Kanisa Katoliki ni wavumilivu sana

kitu kimenishindaga tabia kwa wakatoliki ni salamu maria utuombee kwa mungu hivi huwa mna sahau kuwa maria ni binadamu kama ninyi? Japo ali mzaa Yesu kristo. Mimi hapo ndipo ninapo pataga ukakasi kwa sababu naonaga ni kama vile kumkosea heshima Mungu kwanini msimuombe Mungu mwenyewe, why Maria? Ninacho jua mimi Maria ni mwanamke aliye barikiwa kuliko wanawake wote basi na ndio maana alimzaa Yesu. naomba wanao jua zaidi waje wanikosoe hapa na kunielimisha zaidi kuhusu hili.


Nitakujibu kama hivi,Eeh Mungu niongoze.

Kwanza ieleweke wakatoliki hatumuabudu Maria bali tunamuheshimu,mtu asije akadanganya kwamba mama Maria anaabudiwa ndani ya Kanisa Catholic ieleweke haabudiwi.

Sala ya salamu Maria inasaliwa na waamini kama kumuomba yeye atufikishie kwa Mungu sala zetu na toba zetu kutokana na ule ukaribu aliokuwa nao na Mungu toka mwanzo Mungu alipomtuma malaika kumpa taarifa za yeye kuteuliwa kumzaa mkombozi kwa sababu tunaamini kwa dhambi zetu na madhaifu yetu hatujui kusali na kuomba kwa usahihi hata Mungu akatusikia.kwa wenzetu wapo watu wanaojikweza kwamba wanajua kusali sana hili kiimani siyo sahihi tumekatazwa kujikweza hakuna anayejua kuwasiliana na Mungu kisawa sawa sometimes mtu anaweza kujiona anasali kumbe anapiga makelele tu.

Kitendo cha Bikira Maria kubarikiwa na kupewa na Mungu uwezo wa kuileta Nafsi yake ya pili duniani moja kwa moja kinamfanya kuwa Mtakatifu na hata sasa Mama Maria yupo na Mungu so kiimani Catholics tunaamini lolote gumu akilibeba yeye anao uwezo wa kulifikisha kwenye kiti cha enzi na likasikilizwa.

Huu muunganiko unahitaji utulivu na neema kuuelewa na kuuamini.
 
Wewe pia umempinga Ibn abas ambae ni Kati ya tafsir zonazoaminika kuliko tafsir yeyote duniani, hii kwa Sunni ndio number moja ndio uje zingine
Ila jibu swali kwa nini Allah alitengeneza masanamu na kuyaweka msikitini

.Ibn Abbas, Koran 34:13 They made for him what he willed: synagogues and statues of angels, prophets and other righteous servants so that people look at...
Kijana uwe unaelewa kinacho andikwa. Hakuna anaye kataa Tafsiri ya Ibn Abbas, tunakubali Tafsiri ya Ibn Abbas ikiwa imenukuliwa kutoka kwenye vyanzo vya kuaminika, kwa mfano aya ukisoma katika Tafsiri ya Ibn Kathir akimnukuu swahaba Ibn Abbas anasema hivi :

Having mentioned the blessings with which He favored Dawud, Allah follows this by mentioning what He gave to Dawud's son Sulayman (Solomon), may peace be upon them both. He subjugated the wind to him, so that it would carry his carpet one way for a month, then back again the next month. Al-Hasan Al-Basri said, "He set out from Damascus in the morning, landed in Istakhar where he ate a meal, then flew on from Istakhar and spent the night in Kabil.'' Between Damascus and Istakhar is an entire month's travel for a swift rider, and between Istakhar and Kabul is an entire month's travel for a swift rider.

﴿وَأَسَلْنَا لَهُ عَيْنَ الْقِطْرِ﴾​

(And We caused a fount Qitr to flow for him,) Ibn `Abbas, may Allah be plased with him, Mujahid, `Ikrimah, `Ata' Al-Khurasani, Qatadah, As-Suddi, Malik from Zayd bin Aslam, `Abdur-Rahman bin Zayd bin Aslam and others said, "Qitr means copper.'' Qatadah said, "It was in Yemen.'' Allah brought forth all the things that people make for Sulayman, peace be upon him.

﴿وَمِنَ الْجِنِّ مَن يَعْمَلُ بَيْنَ يَدَيْهِ بِإِذْنِ رَبِّهِ﴾​

(and there were Jinn that worked in front of him, by the leave of his Lord.) means, `We subjugated the Jinn to work in front of him,' by the permission of his Lord, i.e., by Allah's decree and subjugation, they built whatever constructions he wanted, and did other work as well.

﴿وَمَن يَزِغْ مِنْهُمْ عَنْ أَمْرِنَا﴾​

(And whosoever of them turned aside from Our command,) means, whoever among them tried to rebel and disobey,

﴿نُذِقْهُ مِنْ عَذَابِ السَّعِيرِ﴾​

(We shall cause him to taste of the torment of the blazing Fire.) which means, burning.

﴿يَعْمَلُونَ لَهُ مَا يَشَآءُ مِن مَّحَـرِيبَ وَتَمَـثِيلَ﴾​

(They worked for him as he desired on Maharib, Tamathil,) Maharib refers to beautiful structures, the best and innermost part of a dwelling. Ibn Zayd said, "This means dwellings.'' With regard to "Tamathil,'' `Atiyah Al-`Awfi, Ad-Dahhak and As-Suddi said that Tamathil means pictures.

Mwisho wa kunukuu.
 
Embu jibu kwa nini unabusu jiwe na kwa nini Allah alituma majini yamtengeneze masanamu Suleiman?
Acheni basi longo longo jibuni
Hili la jiwe nimeshakujibu zaidi ya mara moja.

Bado nasubiri unipe ushahidi unao onyesha Masanamu yalikuwepo sehemu aliyo kuwa anafanya ibada naii Suleyman.
 
Nimeshakujibu alipewa uwezo wa kuyadhibiti anavyotaka yeye. Na sio majini, kuna watu hadi ndege alikuwa anawatumia.

Walikuwa wakimfanyia alipendalo)...
Quran 34:13

Ndiyo maana hapo imeandikwa walikuwa wanamfanyia vitu ambavyo apendavyo. Usipende kupotosha kijana. Na hiyo kubusu kitu kina tatizo gani kwako?
Sasa jibu kwa nini alitengenezewa masanamu
 
We ukifa pia wataweza kukufufua[emoji3][emoji1787][emoji1787]?! Dunia ina wajinga wengi sana
mimi sitakufa kwa Jina la Yesu, nitaishi niyasimulie matendo makuu ya Mungu. Nakuombea Mungu usife ukiwa bado gizani, pengine uokoke uende uzima wa milele kwasababu ukifa hivyo ulivyo unaenda moja kwa moja motoni. maadamu nafasi unayo, tafakari, fanya tafiti why wenzako wanakushauri uokoke kwasababu shetani amekuwekea mtegu akuue kabla hujaokoka uende motoni. worse enough haujui siku wala saa, anaweza kukuvuna any time. uzuri kwa walio na Yesu ni kwamba, uzima na mauti yao kimwili ipo mikononi mwa Mungu, na Kuishi ni Kristo Kufa ni faida. Mungu akusaidie.
 
We unaamini kuna kanisa linaweza kufufua mtu[emoji52][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji16] au kipofu kuona?! Si wakatoliki sio walokole hamna anaeweza hilo please acheni uwo ujinga
shida ni kwamba hamuamini kama Mungu anaweza kufanya mambo yote, hakuna lisilowezekana kwa Mungu. mnafundishwa kwamba yapo baadhi tu Mungu anaweza, mengine hayawezekani. na bado mnaamini mnamwamini na kumwabudu Mungu. Mungu wetu aweza kufanya mambo yote, na makusudi yake hayawezi kuzuilika. Yesu Mwenyewe aliuliza ni jambo gani lililo gumu la kumshinda Mungu? tuambieni ninyi mapadre na maaskofu wa katoliki, ni jambo gani gumu la kumshinda Mungu? taja hata moja tu.
 
Mkuu mnajikuta wapishi wa Mungu?

Yaani wewe ni mtoto pendwa wa Mungu kiasi amekupa uwezo akisimama kiumbe kama wewe mbele yako akawa anasema neno kumuhusu Mungu unajua hapa pana Mungu hapa hamna Mungu?

Hongereni sana ila kiasi mnachojikweza ndicho hicho hicho kitakachowashusha,jitazameni upya!!!
walio wake wanamjua, wasio wake hawamjui. hata sauti tu, Yesu aliwaambia kondoo wangu wananijua na wanaijua sauti yangu. wale kondoo wasio wangu hata hawanijui. huwezi kumjua na kumhisi Mungu kama hayupo maishani mwako. ndio maana tunasema muokoke muache dhambi na kuabudu dini na bikira maria na yosefu na masanamu. hakuna Mungu huko ndio maana mnashangaa kwamba tunaweza kujua kipi cha Kimungu na kipi sio cha Kimungu.
 
Nimeshakujibu alipewa uwezo wa kuyadhibiti anavyotaka yeye. Na sio majini, kuna watu hadi ndege alikuwa anawatumia.

Walikuwa wakimfanyia alipendalo)...
Quran 34:13

Ndiyo maana hapo imeandikwa walikuwa wanamfanyia vitu ambavyo apendavyo. Usipende kupotosha kijana. Na hiyo kubusu kitu kina tatizo gani kwako?
Sijabisha kwamba Allah alimtengenezea Suleiman masanamu ila swali ni kwa nini

Na kwanini Allah anakwambia ubusu jiwe?

Unajua ni muhimu ujibu maana waislamu



Mnadai wakristo wanabusu sanamu na mnapinga Sana
Ila nyie , mnabusu jiwe na kulisujudia na mnaona sawa kabisa

Allah anatengeneza masanamu anaweka msikitini mnaona ni sawa kabisa
 
Hili la jiwe nimeshakujibu zaidi ya mara moja.

Bado nasubiri unipe ushahidi unao onyesha Masanamu yalikuwepo sehemu aliyo kuwa anafanya ibada naii Suleyman.
hujawahi Jibu sababu gani unabusu jiwe na kwa nini unaswali kuelekea jiwe kama umeshajibu embu weka hapo

Pili hakuna muislamu ameshajibu kwa nini Allah alitengeneza masanamu na kuyaweka msikitini kwa Suleiman


Wewe ni mtu mzima embu maliza hii mada

Jibu 1. Kwa nini mnabusu jiwe? ......
Jibu 2. Kwa nini Allah alituma majini yakatengeneza masanamu kwa Suleiman?
Jibu 3. Masanamu yalikuwa ya nini?
 
Kijana uwe unaelewa kinacho andikwa. Hakuna anaye kataa Tafsiri ya Ibn Abbas, tunakubali Tafsiri ya Ibn Abbas ikiwa imenukuliwa kutoka kwenye vyanzo vya kuaminika, kwa mfano aya ukisoma katika Tafsiri ya Ibn Kathir akimnukuu swahaba Ibn Abbas anasema hivi :

Having mentioned the blessings with which He favored Dawud, Allah follows this by mentioning what He gave to Dawud's son Sulayman (Solomon), may peace be upon them both. He subjugated the wind to him, so that it would carry his carpet one way for a month, then back again the next month. Al-Hasan Al-Basri said, "He set out from Damascus in the morning, landed in Istakhar where he ate a meal, then flew on from Istakhar and spent the night in Kabil.'' Between Damascus and Istakhar is an entire month's travel for a swift rider, and between Istakhar and Kabul is an entire month's travel for a swift rider.

﴿وَأَسَلْنَا لَهُ عَيْنَ الْقِطْرِ﴾​

(And We caused a fount Qitr to flow for him,) Ibn `Abbas, may Allah be plased with him, Mujahid, `Ikrimah, `Ata' Al-Khurasani, Qatadah, As-Suddi, Malik from Zayd bin Aslam, `Abdur-Rahman bin Zayd bin Aslam and others said, "Qitr means copper.'' Qatadah said, "It was in Yemen.'' Allah brought forth all the things that people make for Sulayman, peace be upon him.

﴿وَمِنَ الْجِنِّ مَن يَعْمَلُ بَيْنَ يَدَيْهِ بِإِذْنِ رَبِّهِ﴾​

(and there were Jinn that worked in front of him, by the leave of his Lord.) means, `We subjugated the Jinn to work in front of him,' by the permission of his Lord, i.e., by Allah's decree and subjugation, they built whatever constructions he wanted, and did other work as well.

﴿وَمَن يَزِغْ مِنْهُمْ عَنْ أَمْرِنَا﴾​

(And whosoever of them turned aside from Our command,) means, whoever among them tried to rebel and disobey,

﴿نُذِقْهُ مِنْ عَذَابِ السَّعِيرِ﴾​

(We shall cause him to taste of the torment of the blazing Fire.) which means, burning.

﴿يَعْمَلُونَ لَهُ مَا يَشَآءُ مِن مَّحَـرِيبَ وَتَمَـثِيلَ﴾​

(They worked for him as he desired on Maharib, Tamathil,) Maharib refers to beautiful structures, the best and innermost part of a dwelling. Ibn Zayd said, "This means dwellings.'' With regard to "Tamathil,'' `Atiyah Al-`Awfi, Ad-Dahhak and As-Suddi said that Tamathil means pictures.

Mwisho wa kunukuu.
Aya imeweka wazi majini yakatengeneza masanamu , usizunguke Sana jibu kwa nini walitengeneza masanamu
 
Halafu Roman Catholic ni kwaajili ya Italy tu. Mmakonde, Mmachinga, Mmsai, Mchagga au Mnyakyusa na Catholic wapi na wapi !.Umewahi kuona au kusikia Pope Mwafrika au Mungu wa wa Catholic ni Mungu kwaajili ya wazungu pekee yake.
Catholic ni neno lenye asili ya kigiriki lenye maana ya Universal”
 
Sijabisha kwamba Allah alimtengenezea Suleiman masanamu ila swali ni kwa nini

Na kwanini Allah anakwambia ubusu jiwe?

Unajua ni muhimu ujibu maana waislamu



Mnadai wakristo wanabusu sanamu na mnapinga Sana
Ila nyie , mnabusu jiwe na kulisujudia na mnaona sawa kabisa

Allah anatengeneza masanamu anaweka msikitini mni nimeshakujibu. Leta ufafanuzi.

Sijabisha kwamba Allah alimtengenezea Suleiman masanamu ila swali ni kwa nini

Na kwanini Allah anakwambia ubusu jiwe?

Unajua ni muhimu ujibu maana waislamu



Mnadai wakristo wanabusu sanamu na mnapinga Sana
Ila nyie , mnabusu jiwe na kulisujudia na mnaona sawa kabisa

Allah anatengeneza masanamu anaweka msikitini mnaona ni sawa kabisa
Nimeshakujibu swali langu. Ngoja nitakuelekeza hadi kwa picha. Kichwa chako hakielewi maandishi. Nipe ufafanuzi wa hii aya. Haujajaribu kujibu hata mara moja


1 Wakorintho

25 Kwa maana huu upumbavu wa Mungu una hekima zaidi kuliko hekima ya wanadamu, na ’udhaifu’ wa Mungu una nguvu ipitayo nguvu ya wanadamu.
 
Sijabisha kwamba Allah alimtengenezea Suleiman masanamu ila swali ni kwa nini

Na kwanini Allah anakwambia ubusu jiwe?

Unajua ni muhimu ujibu maana waislamu



Mnadai wakristo wanabusu sanamu na mnapinga Sana
Ila nyie , mnabusu jiwe na kulisujudia na mnaona sawa kabisa

Allah anatengeneza masanamu anaweka msikitini mnaona ni sawa kabisa
Nitakuwa nakuwekea picha na video. Maana bichwa lako halijui kuchambua maandiko. Papa akiliomba sanamu la Brian Deacon
images (1).jpeg
 
Nitakujibu kama hivi,Eeh Mungu niongoze.

Kwanza ieleweke wakatoliki hatumuabudu Maria bali tunamuheshimu,mtu asije akadanganya kwamba mama Maria anaabudiwa ndani ya Kanisa Catholic ieleweke haabudiwi.

Sala ya salamu Maria inasaliwa na waamini kama kumuomba yeye atufikishie kwa Mungu sala zetu na toba zetu kutokana na ule ukaribu aliokuwa nao na Mungu toka mwanzo Mungu alipomtuma malaika kumpa taarifa za yeye kuteuliwa kumzaa mkombozi kwa sababu tunaamini kwa dhambi zetu na madhaifu yetu hatujui kusali na kuomba kwa usahihi hata Mungu akatusikia.kwa wenzetu wapo watu wanaojikweza kwamba wanajua kusali sana hili kiimani siyo sahihi tumekatazwa kujikweza hakuna anayejua kuwasiliana na Mungu kisawa sawa sometimes mtu anaweza kujiona anasali kumbe anapiga makelele tu.

Kitendo cha Bikira Maria kubarikiwa na kupewa na Mungu uwezo wa kuileta Nafsi yake ya pili duniani moja kwa moja kinamfanya kuwa Mtakatifu na hata sasa Mama Maria yupo na Mungu so kiimani Catholics tunaamini lolote gumu akilibeba yeye anao uwezo wa kulifikisha kwenye kiti cha enzi na likasikilizwa.

Huu muunganiko unahitaji utulivu na neema kuuelewa na kuuamini.
Nani aliwapa ruhusa ya kupitisha maombi kwa Maria bikira ili yafike kwa Yesu wakati Yesu mwenyewe alisema Yeye ndiye njia. Mnafikiri kama Yesu angetaka tupitishe maombi kwa Bikira Maria asingelisema?

John 14:6
[6]Jesus saith unto him, I am the way, the truth, and the life: no man cometh unto the Father, but by me.
Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi.
 
Sijabisha kwamba Allah alimtengenezea Suleiman masanamu ila swali ni kwa nini

Na kwanini Allah anakwambia ubusu jiwe?

Unajua ni muhimu ujibu maana waislamu



Mnadai wakristo wanabusu sanamu na mnapinga Sana
Ila nyie , mnabusu jiwe na kulisujudia na mnaona sawa kabisa

Allah anatengeneza masanamu anaweka msikitini mnaona ni sawa kabisa
Binti mdogo anakushinda akili ya kuchambua maandiko.
 
Jibu 2. Kwa nini Allah alituma majini yakatengeneza masanamu kwa Suleiman?
Sijaona wapi Allah aliwatuma majini watengeneze masanamu.

Hili nilikuomba wewe ushahidi lakini mpaka muda huu hujaweka huo ushahidi.
Jibu 1. Kwa nini mnabusu jiwe? ......
Hili nishakujibu katika mada nyingine na ni zaidi ya mara moja. Sasa najiuliza kwanini unarudia swali ambalo nimeshakujibu ?
Jibu 3. Masanamu yalikuwa ya nini?
Nionyeshe kwanza wapi Allah aliwatuma majini watengeneze masanamu.
Pili hakuna muislamu ameshajibu kwa nini Allah alitengeneza masanamu na kuyaweka msikitini kwa Suleiman
Wapi Allah alitengeneza masanamu na msikiti alio kuwa anatumia nabii Suleyman unajulikana, tuonyeshe masanamu yako wapi katika huo Msikiti.
 
Aya imeweka wazi majini yakatengeneza masanamu , usizunguke Sana jibu kwa nini walitengeneza masanamu
Ndiyo maana nilikuuliza hapo mwanzo hayo masanamu yalikuwa yanaabudiwa ? Je yalikuwa msikitini kama unavyo dai ? Sababu masanamu yapo ya sampuli kadha wa kadha, na huwekwa popote. Sasa sijajua kwanini unalazimisha yawepi msikitini na wakati huna ushahidi wa kuonyesha kwamba yapo msikitini ?

Kuna muda nakuona una matatizo ya akili. Kosa unalo fanya wewe ni kulazimisha ushirikina mnao ufanya nyinyi kwamba na sisi tunaufanya.
 
Ahsante kwa mwongozo mkuu.

Sasa wengine wanatema shudu tu hapa bila kuongea jambo linalo make sense
Hahahaaa halafu wewe unakuta ni frateli kabisaa na unasema Roman empire haina uhusiano na Roman Catholic. Unamjua kaizari Kostantino wewe..yeye ndo alipanga ni namna gani kanisa la Roma liongozwe. Yeye kaizari Kostantino ndiyo aliita mtanguso mkuu wa kwanza. Pia Kaizari Kostantino ndiye alifanya calculations za siku haswa ya Pasaka katika kalenda.
Kaizali Teodosius aliifanya dini ya R.C kuwa dini rasmi ya dola ya Roma.
 
Catholic
1.Universal owneship of the Church
2.Services to humanbeing(health,education,spiritual,)
3.Transparency
4.Useja
Hivyo vinne ndo vimelifanya kanisa kuwa imara...wengine hivyo vitu wameshindwa kuviishi...
 
Back
Top Bottom