PlayBoyMwema
JF-Expert Member
- Jul 27, 2014
- 1,714
- 1,829
[emoji23][emoji23][emoji23] Wanahitaji msaada wa watu wa marekani labdaComrade.....
Vijana wa skuizi wanaona ingawa hawatazami...[emoji2] [emoji2] [emoji2]
pole sana mapenzi yanajua kuvurugaHahahahahhahahahahahhahaahahaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nilijifariji kwa kuweka "kiulizo" [emoji2] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji119]
Nimejiona Mzee. Hii roho naweza hata kusajiliwa na Boco haramu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji119]Duhh......[emoji45] [emoji45] [emoji45]
Una roho ngumu kama jiwe...[emoji2] [emoji2]
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12][emoji23][emoji23][emoji23] Wanahitaji msaada wa watu wa marekani labda
Amina sana Rafiki. I appreciate mchango wako, Umenifanya niwe mtu mpya.Ndo hvyo nmesonga najiamini naamini ntapata mwanamke bora zaid mwenye upendo Ila mkuu now jikeep busy mazoez nini eeh enjoy time na family yako friends wako saka hela mpk akaunt yako iwe na hela. Kama namba za CMU nakwambia success is a best revenge I wish you all the best friend
[emoji13] [emoji13] wemsamehe tuNimejiona Mzee. Hii roho naweza hata kusajiliwa na Boco haramu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji119]
Ila Enough is Enough, Sio kwa kuvumilia huko.
This must come to an end. Ingawa roho inauma, nikikumbuka mautamu yake, Nachanganyikiwa kabisa
inabidi uelewe sasaTunaona tunajifanya hatuelewi.[emoji134] [emoji24]
Mkuu nilimaanisha hv.... Kama ww kweli sio mwanafunz ungekwisha utendea haki ushauri wa wadau hapa ndan... Fanya hivi mwache aende..Kwani kila mtu ni Mwanafunzi Mkuu??
Au kila mtu ni mwalimu?
Pole sana Mkuu, pole kwa kipindi ukipitiacho.Wakuu hii kitu sio rahis kama mnavodhani...unampenda mtu afu yeye haonyeshi kukujali inauma sana
Me nimetoka kumpiga kibuti demu kama huyo asubuh ya leo haiwezekan natoka nae out (bar) afu hataki kukaa na mimi
anataka akae na rafik zake tu muda wote...pia nikimtumia msg anachelewa kujibu anaweza kukaa hata dakika 20 ndio akakujibu cha kushangaza hana kazi unayoweza sema inamuweka bize..me nimelivua pendo bwana hata kama moyo unashindwa kukubaliana na maamuz yangu..ipo siku haya maumivu yatakwisha tu
Yaani kwa sababu najua tabia zetu sisi wa upande wa pili.[emoji15] [emoji134] Naamini mawazo ya wewe Dadangu, najua unaongea from inside yours.
Basi jiongeze.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] . Vitu nampelekeaga,Zawadi zawadi nampaga.
Ila Hela mkononi sijawahi kumpa.
Nimekukubali, some time nzuri Kama humpendi sema inauma Kama ndio umebase kwake tuMzee baba goma la hivyo ndiyo zuri unamega na hakuna kufuatiliana
True that.Kabla hajakuzid... Anza kutafta Kimwana wa kiwango chake au aliyemzid uzur.... Hopely ukjituma kufkia jumpil jion utakuwa umefanikiwa kupata mpya.... Af Yule mkaushie...... Kwamaana kwasasa huwez mbadilisha kitu..... Hata wazazi wake wamshaur hawez kukurudia.....