Waungwana naomba mnishtue usingizini, mapenzi haya

Wakuu hii kitu sio rahis kama mnavodhani...unampenda mtu afu yeye haonyeshi kukujali inauma sana

Me nimetoka kumpiga kibuti demu kama huyo asubuh ya leo haiwezekan natoka nae out (bar) afu hataki kukaa na mimi

anataka akae na rafik zake tu muda wote...pia nikimtumia msg anachelewa kujibu anaweza kukaa hata dakika 20 ndio akakujibu cha kushangaza hana kazi unayoweza sema inamuweka bize..me nimelivua pendo bwana hata kama moyo unashindwa kukubaliana na maamuz yangu..ipo siku haya maumivu yatakwisha tu
 
Kabla hajakuzid... Anza kutafta Kimwana wa kiwango chake au aliyemzid uzur.... Hopely ukjituma kufkia jumpil jion utakuwa umefanikiwa kupata mpya.... Af Yule mkaushie...... Kwamaana kwasasa huwez mbadilisha kitu..... Hata wazazi wake wamshaur hawez kukurudia.....
 
pole sana mapenzi yanajua kuvuruga
 
Duhh......[emoji45] [emoji45] [emoji45]
Una roho ngumu kama jiwe...[emoji2] [emoji2]
Nimejiona Mzee. Hii roho naweza hata kusajiliwa na Boco haramu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji119]

Ila Enough is Enough, Sio kwa kuvumilia huko.
This must come to an end. Ingawa roho inauma, nikikumbuka mautamu yake, Nachanganyikiwa kabisa
 
Amina sana Rafiki. I appreciate mchango wako, Umenifanya niwe mtu mpya.

Ubariiwe sana.
 
[emoji13] [emoji13] wemsamehe tu
Wenzio huwa tukizinguliwa hatusemi, maana roho ikiuma sana huwa tunajikuta tunarudi kulamba matapishi....[emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
Pole sana Mkuu, pole kwa kipindi ukipitiacho.

Mara nyingine bora maamuzi magumu, yenye furaha mbeleni
 
True that.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…