Yung_sammy
Member
- Sep 11, 2015
- 78
- 89
Kwa mimi
Inategemea na aina ya mchele ila sana huwa nachukua grade ya kati ambao nanua kwa 2000 hadi 2100 kilo
Silipi cash nauza nalipa hela
Grade zote zinatembea ila kwa upande wangu nauza sana grade 2
Ndio ukiwa mzuri tani 10 week 3 mpaka mwezi
Kuanzia mwezi wa 10 Moshi wanategemea kuvuna hivyo hupunguza kununua mchele ukiwa bei sawa
Kwa mimi
Inategemea na aina ya mchele ila sana huwa nachukua grade ya kati ambao nanua kwa 2000 hadi 2100 kilo
Silipi cash nauza nalipa hela
Grade zote zinatembea ila kwa upande wangu nauza sana grade 2
Ndio ukiwa mzuri tani 10 week 3 mpaka mwezi
Kuanzia mwezi wa 10 Moshi wanategemea kuvuna hivyo hupunguza kununua mchele ukiwa bei sawa
1700 .mpk 1800
Hapo kwenye kuuza kwanza ndio ulipe huwa nu mbaya sana kwa mustakabari wa anaekupa huo mzigo, mimi huwa naona ni afadhali mtu alipe nusu kisha hiyo nyingine ailete akiuza.Kwa mimi
Inategemea na aina ya mchele ila sana huwa nachukua grade ya kati ambao nanua kwa 2000 hadi 2100 kilo
Silipi cash nauza nalipa hela
Grade zote zinatembea ila kwa upande wangu nauza sana grade 2
Ndio ukiwa mzuri tani 10 week 3 mpaka mwezi
Kuanzia mwezi wa 10 Moshi wanategemea kuvuna hivyo hupunguza kununua mchele ukiwa bei sawa
Ni mfumo wa biashara wa duniaHapo kwenye kuuza kwanza ndio ulipe huwa nu mbaya sana kwa mustakabari wa anaekupa huo mzigo, mimi huwa naona ni afadhali mtu alipe nusu kisha hiyo nyingine ailete akiuza.
Hata nusu ni mbaya kikubwa cash cash kila mtu akafie mbaliHapo kwenye kuuza kwanza ndio ulipe huwa nu mbaya sana kwa mustakabari wa anaekupa huo mzigo, mimi huwa naona ni afadhali mtu alipe nusu kisha hiyo nyingine ailete akiuza.
Umeonaee...uaminifu now daiyz ni zirooooHata nusu ni mbaya kikubwa cash cash kila mtu akafie mbali
Ni maeneo gani hayo kiongozi...? Ndio wanavuna huko sahizi...?Habari wakuu kwa anae hitaji tufanye kazi nimekuja tena shamba mchele huku bado upo chini 1700,1750,1800,1900- super kwa 2000 karibuni
Walioweka store si ndio wanauza sahivi au?Ni maeneo gani hayo kiongozi...? Ndio wanavuna huko sahizi...?
Ni maeneo gani hayo kiongozi...? Ndio wanavuna huko sahizi...?
Tukizipata ni madungu tuuKazi ni kipimo cha utu
Vip boss mbingu ni senta kubwa, usafirishaji vip unapatkana?Habari wakuu kwa anae hitaji tufanye kazi nimekuja tena shamba mchele huku bado upo chini 1700,1750,1800,1900- super kwa 2000 karibuni