Forever living wanajua kumganda MTU khaaa! Mi pia kuna MTU alikua ananiganda wee....kuona ananiganda sana ...nikataka kujua zaidi kuhusu forever longing coz nilikua naijua tuu kawaida...nikaingia Google nikawanasoma habari zake, katika kusoma nikakutana na mzungu mmoja, yeye yuko forever nae...tukaendelea kuchati kuhusu forever....hapo nikagundua kumbe kuingia forever kumbe mnaandikiana hadi mkataba....akanitumia mkataba ktk ambao watu hupaswa kusaini wakitaka kujiunga forever living....nikausomaa....katika kifungu cha Tisa au kumi if I'm not mistaken kinasema hivi ukijiunga forever living "HUWEZI KUJITOA FOREVER LIVING UNTILL THE EVENT OF DEATH" nikamuuliza kuhusu hichi kifungu akawa nae hana majibu ya kujitosheleza. Nikarudi kwa yule alokua ananiganda nikamuuliza kuhusu hicho kifungu mbongo mwenzangu ( c unajua wabongo tulivyo waongo) akasema hicho kifungu hakipo OK nikamwambia nitumie huo mkataba...akasema atanitumia...mpaka Leo....!! Kwa hiyo tuwaonee huruma wameingia ktk kampuni na kusaini mikataba wasoijua kiundani...mtu huwezi kulazimishwa kukaa mahali ambapo hamna maslah....km MTU ameingia kwa hiari atoke kwa hiari....kwa hyo wanatafuta watu wa kusaini mikataba ya ki- bogus.