Wauzaji wa bidhaa za forever living mnaboa sana!

😀😀😀😀
 
Weee Oriflame ni wale wale tu...tena nimewablock na msg zao za vikao visivyoishaa
Sijawahi kuona watu wa Oriflame wanatumia nguvu hivi na udanganyifu wa hali ya juu.... Sijui asee labda, forever living ni too much
 
Sijawahi kuona watu wa Oriflame wanatumia nguvu hivi na udanganyifu wa hali ya juu.... Sijui asee labda, forever living ni too much
Au na wewe ni oriflame nn mkuu, niletee lotion, ya dry skin na body spray
 
KAMA VILE KUINGIA MKATABA NA bayport, UNAJUTA UKITAKA KUTOKA, WALE NAO UNAJISAINISHA KIFO NA NDOA ZA LAZIMA.
 
Au na wewe ni oriflame nn mkuu, niletee lotion, ya dry skin na body spray
😀😀😀😀
Sijawahi kuwaza hizo biashara asee
Kumuuzia mtu wa kawaida lotion ya laki tatu inahitajika ujitoe ufahamu kama watu wa forever living
 
Unawezaje kumshawishi mtu ambaye ujamweka wazi from the beginning ili awe willing kuchakua kusuka au kunyoa?? WTF i hate lies and i hate the way lies do... DAMN IT
 
Cha ajabu zaidi unakuta mtu ambae ni graduate with fresh thinking nae amefall kwa huu upumbavu.
Yaani nilishangaa kukuta graduate wanne ktk semina pale ACACIA VICTORIA
Ila nikakumbuka uelewa while at college [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Sijawahi kuona watu wa Oriflame wanatumia nguvu hivi na udanganyifu wa hali ya juu.... Sijui asee labda, forever living ni too much
Mimi niliwahi kumla dada mmoja wa forever living. Kila siku alikuwa ananisisitiza nijiunge.

Nikaenda kwake kupata somo, mwisho nikatenda dhambi ya zinaa.
 
Cha ajabu zaidi unakuta mtu ambae ni graduate with fresh thinking nae amefall kwa huu upumbavu.
Yaani nilishangaa kukuta graduate wanne ktk semina pale ACACIA VICTORIA
Ila nikakumbuka uelewa while at college [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Hizi biashara zinashusha heshima teh
Jamaa mwingine nae mtu wa maana, yupo kwenye ofisi kubwa tu serikalini nikashangaa siku moja kanitumia video ndeefu kufungua nakuta ni rifaro
Nikajiuliza "hadi huyu"???
Kuna vitu sio vya kufanya asee
 
mie kuna dada mmoja wa hizo living product kidogo anigombanishe na mke wangu, asubuhi tuu simu ooh tuna product hizi ,mke wangu akahisi mmhh anaibiwa
 
kwahiyo biashara yoote kaambulia gari tu?.alafu blandina tu ndio katoka na wengine ambao hawazidi 20%?.
basi probability ya kutoka ni 30% less. Maana blandina kila miaka namsikia na ile jeep yake ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…