Wauzaji wa bidhaa za forever living mnaboa sana!

kwahiyo biashara yoote kaambulia gari tu?.alafu blandina tu ndio katoka na wengine ambao hawazidi 20%?.
basi probability ya kutoka ni 30% less. Maana blandina kila miaka namsikia na ile jeep yake ?
Atakuwa yupo na mjengo na bizness nyingine,kuna siku nlimuona maeneo ya obay usiku mnene anakatiza na Jeep yake sijui alienda kula bata au ndio ananyuti kule maana ilikuwa ijumaa ya mwezi wa tisa mwishoni.
 
Wanagaramia hadi misosi ili tu uone bidhaa jinga sana, mie nlipewa ka fanta na vibagia nlivokua na hasira nkakanywa fasta tu gudugudugudu nkaweka chupa pembeni nikaendelea kununa
hhahahahahhhhahahhhahhahhahahahhahahahhhhahahaha uuuuwih!
kote huko sijacheka1
ILA HAPO PA GUDUGUDUGUDU ahahahhahahahhahahahhahahahahahhahahaha
 
hhahahahahhhhahahhhahhahhahahahhahahahhhhahahaha uuuuwih!
kote huko sijacheka1
ILA HAPO PA GUDUGUDUGUDU ahahahhahahahhahahahhahahahahahhahahaha
😀😀😀😀😀😀
 
Sipendi maneno yao,sipendi semina zao na historia za kina Trump ila napenda bidhaa zao kama: dawa ya meno, asali na pafyumu....mie mteja wao mzuri ila nawatahadharisha kabisa huwa sipendi kujiunga nao maana sipendi kuwa mwongomwongo na mwenye tamaa sijui safari ya Zanzibar, Afrika kusini mara Mombasa huko nitaenda kwa pesa ya kuuza magimbi na bamia
 
mie kuna dada mmoja wa hizo living product kidogo anigombanishe na mke wangu, asubuhi tuu simu ooh tuna product hizi ,mke wangu akahisi mmhh anaibiwa
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] pole mkuu
 
Yaan ulipotajs edmark umegusa patamu awa jamaa walinifanya nikope pesa ya nauli na chakula kutoka mbagala mpaka masaki wakaniambia wanatoa ajila baada ya kuwauliza hawakunijib majibu yanayoeleweka mzee nikajitupa kufata ajila nilicho kikuta aisee kidogo nianzishe timbwil
 
problemee ni kwamb watu wengi wanatk utajir wagafla.Na hao wengi wao "nisimple minds they cant reason logical.Izo bithaa mbona hawauzi kwenye maduka mpaka "wakabe"watu????!!!.These thiefs like az thiefs.
 
All a lieyers.And sm a thiefs.Weka mbali na pesa yako.
 
Awake?!
 
Kila nafsi itaonja umauti vitab vimeandika ww ukauze Forever living alaf mlokole au sheikh kabisa muumin akili zao sio bure
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…