REKODI YA RAIS JOHN POMBE MAGUFULI.
Kufufua reli ya kutoka Dar es salaam-Tanga-Kilimanjaro-Arusha
Upanuzi wa Bandari ya Dar, Tanga, Mtwara
Ujenzi wa gati Mafia
Ukarabati wa vivuko, Mv Pangani, New Mv Butiama hapa kazi Tu, nakadhalika
Mradi wa rada airport ya Dar, Mwanza, Songwe, KIA ....
Elimu bila ada
Vituo vya afya vya kila halmashauri
Hospitali za wilaya, mikoa, na kanda: Serengeti, Hospitali ya kumbuku ya Mwalimu Nyerere, Uhuru Dodoma, nakadhalika
Barabara za mitaa Dar na katika majiji mengine, na miji mingine
Ujenzi wa kota za gorofa Magomeni
Ujenzi wa masoko makubwa: Soko la Job Ndugai Dodoma, Chief Kingalu Morogoro, soko la Kisutu, soko la Magomeni, soko la Mbagala, na ya mikoa na wilaya nyingine
Ujenzi wa standi za kisasa: Mbezi Lous, Dodoma, Morogoro, Korogwe, nakadhalika
Ujenzi wa majengo ya makao makuu ya Halmashauri: Kigamboni, Mkalama, nakadhalika
Daraja la mto Kilombero, na mengine mengi
Madaraja ya waenda kwa miguu: Dar na Mwanza
Ukarabati shule kongwe na vyuo: Pugu, Galanos, Tunduru, Msalato Girls, nakadhalika