Wavulana siku hizi hawajui Kutongoza. Wanachefua sana

Aisee una takoooooo
 
Sasa mbona sioni uhusiano wa kichwa cha habar na mada husika!

Naona hata mods wameshindwa kulitambua hili! Anyway ngoja niishie hapa.
 
Shidaa mmekuwa cheap Sana kwahio huyu akisema katongoza dk 3 kagongwa na mwigineanagongwa same style
waonye wakomae Zaman ni 5 bk APOKEIm2
leohii bk 3 anaikagua kama kocha wa NGADA fc na ahsante juu
 
Wanawake Bana.....!
Ulivyoandika hapa utadhani ni Mtu........
 
Mbona nakupigia hupatikani ndo ume ni block tayari [emoji28][emoji28]
 
Amekusikia Dada.
Amekoma huyo, harudii tena.
 
Tuseme nini sasa hapa 😆😆😆 ila huo mwandiko kama naufanansha ivi
 
Sasa ungemwambia ili ajifunze si unajua elimu haina mwisho
 
Nimecheka sana, nilitaka kukuandikia inbox ila umefunga PM bhana, hapo nimeguzunika mnoooo!
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
mungu akubariki
 
Pole, mimi siyo kijana ila siku hizi hawatongozi wanauliza tuu "bei gani"!
Unaonaje hii iko sawa?
 
Pole sana, weka picha yako upewe miongozo...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…