Wavulana siku hizi hawajui Kutongoza. Wanachefua sana

"Dakika 4-10 zinatosha" Kwa niaba ya wanangu wa tako mbili wazungu hawa hapa naamuru sanamu lako lijengwe Posta
 
Emoji zimewaharibu
 
Mi huwa nachezesha funguo za ndege sio huto tugari twao njoo kwangu..hata dk 1 huwa simalizi wazungu tayari.
 
asipokuelewa basi kichwa chake kina shida
 
Mimi niliwaambia humu jukwaani, dakika 20 zote kifuani kwa mwanamke unatafuta nini? Wakaniambia nisiwapangie. Afadhari umezungumza, na waaipokuelewa hapa basi waachane na mapenzi wafanye mambo mengine

Kama wote tungelifuata hii principle, kusingekuwa na haja ya kuhangaika na madawa ya nguvu za kiume mtandaoni, "Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa'

Tuacheni kuwachosha wanawake wa watu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ