Wavulana siku hizi hawajui Kutongoza. Wanachefua sana

Usitufokee pliz.Na tutaendelea kukutongoza mpaka utukubalie.
Hizo hasira zako zitaisha tu ngoja tutafute hela tuwe nazo kwanza.
 
Usitufokee pliz.Na tutaendelea kukutongoza mpaka utukubalie.
Hizo hasira zako zitaisha tu ngoja tutafute hela tuwe nazo kwanza.
 
kuna izo mtu zinajiona sna na huenda zaweza zisiwe tamu kw nanii....!!
NO OFFENSE
 
Una hoja ila una hasira sana...
 
Kumbe kashapelekewa moto?😳
 
Sasa hivi unaringa na kukosoa wanaume wanaokuja kukutongoza eti hawajui kutongoza ila Ukisha fikisha miaka 30+, utaacha ulimbukeni pamoja na kuringa taka usitake..
 
Kuna ulazima gani wa kumtongoza mwanamke ambaye mwisho wa siku atataka hela ,nikuomba mzigo lipa hela kula pita kushoto
 
Kuna wanawake wanaotaka hayo mambo ambao wameshakubuhu siyo wote. Dk 30 za nini kwenye kufanya mapenzi? 4 mpaka 10 zanitosha. Nakuwa nime enjoy na mwenzangu ame enjoy. Ninyi vijana mnadanganyana sana na pornographic.
📌🔨
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…