Waweke hapa Wasanii wa Bongo Waliozaliwa / Kuishi Familia za Kishua

Huyu huyu jux aliyekulia Kimara Baruti nyuma ya Bahama Mama .
Umebugi mazee
Nyuma ya bahamamaa??! acha uwongo mkuu.ungeniambia mitaa ya uwanjani kule sawa yaonekana umehadisiwa.nimekuwa naye nimesoma naye hadi maisha yake ya kimziki nayajua.inshort jux alikuwa wakishua.mtoa mada alimaanisha kwamba wakishua ni yule kwao wazee wake waliweza kuwa na nyumba nzuri,gari zuri, na watoto kusomeshwa shule nzuri....huo ndio ushua wa mtoa mada.
 

Kipind hiki cha mfungo kila siku Saa moja anatoa dawa clouds fm
 
Kipind hiki cha mfungo kila siku Saa moja anatoa dawa clouds fm
maisha safi yule jamaa... connection anazo nyingi sana! Nje na ndani ya nchi.

Maasha'Allah! Mungu amzidishie rizq na azidi kubadilika na kuwa kiigizo chema kwa vijana wa umri wake.
 
Kachoka kiafya au unamaanisha nini? Maana Kama ni mwili uko vilevile ni rasta tu ndo hazikuwepo

Mkuu huyu kijana kakulia Atown njiro home ni jumba la ghorofa, unamjua Nimrod Mkono wewe?
Nimrod Mkono ni tajiri kwelikweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…