Waweke hapa Wasanii wa Bongo Waliozaliwa / Kuishi Familia za Kishua

Waweke hapa Wasanii wa Bongo Waliozaliwa / Kuishi Familia za Kishua

Tatizo nyie hamjamuelewa mtoa mada amezungumzia ushua upi,wasanii wengi wametoka kwenye maisha magumu ya kuishi chumba kimoja familia nzima tena hapo wamepanga,wengine wametoka mikoani wamekuja dar hawana pa kulala wanalala stendi,mitaroni,kariakoo shimoni au wakibahatika ndio ile wanaishi maisha ya ghetto chumba kimoja mtu sita yaani kifupi wametaabika sana hadi kufika hapo walipo.Sasa kuna wasanii wachache ambao angalau wazazi wao walikuwa na nafasi ya kuwahudumia kila kitu ambacho ni basic mfano kuwasomesha shule private za hela,milo mitatu kwa siku ya uhakika a.k.a mboga saba yaani kifupi kwenye ukuaji wao hawajakumbana na suluba za maisha HAO NDIO WA KISHUA na mfano ni hao waliotajwa,huwezi linganisha life alilokulia mtu kama linex na jux ni wasanii wawili tofauti katika suala la makuzi na hassling

Sent from my TECNO_W4 using JamiiForums mobile app
Wameelewa sana ila chuki tu na husda, mtu anakwambia "kuishi Marekani ndio Ushua gani" lol,
Wakati yeye hapo tangu azaliwe hajawahi kutoka hata nje ya Mkoa wake[emoji23]

Kuna mdau mmoja humu aliwahi kuja na Mada ya kuwasema Maskini, japo aliileta kwa ukali sana na akapokea mashambulizi mazito lakini wenye akili timamu tulimuelewa.
 
Hicho ulichoandika kwa wanamuziki wengi wa Bongo sio kweli, yaani hali zao kiuchumi ni kawaida sana kwa mfano kua afisa wa ubalozi unakua wa kishua kivipi?
unasema???? [emoji23][emoji23] ah labda huku JF kwakua matajiri wengi!!
Ila Amin Amin nakwambia kama umeangalia Tv kwa jirani au kwenye mabanda na kwenu choo cha makuti utaelewa mleta mada anazungumza kwahabari ya nini?

Yani mtu anazaliwa dhikini, wazazi wako wametoka Sitimbi huko nako dhiki tupu! unaachaje kuona hao wa kishua? mi kwa upande wangu ni kwakishua tena wakishua hasa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
unasema???? [emoji23][emoji23] ah labda huku JF kwakua matajiri wengi!!
Ila Amin Amin nakwambia kama umeangalia Tv kwa jirani au kwenye mabanda na kwenu choo cha makuti utaelewa mleta mada anazungumza kwahabari ya nini?

Yani mtu anazaliwa dhikini, wazazi wako wametoka Sitimbi huko nako dhiki tupu! unaachaje kuona hao wa kishua? mi kwa upande wangu ni kwakishua tena wakishua hasa

Sent using Jamii Forums mobile app
Umezaliwa kwenye nyumba ya kupanga na mpaka leo unaishi nyumba ya kupanga bado unamuona mtoto wa balozi sio wa kishua........ndio maana watu walimfurahia sana masikini mwenzao magu pasipo kujua madhara yake..
 
Nimejiuliza hivo kwa sababu mimi nafanya kazi huko panapoitwa pa kishua na sioni hiyo tofauti yan, kuna watu wapo taasisi ndogo tu na wana maisha mazuri kuliko Maafisa wengi wa Bandari

Hizi hisia potofu hata Rais Samia anazo, anaamini kabisa watumishi wa bandari wana maisha mazuri kuliko yeyey[emoji3]
We kumbe ndio uko bandari asaiv, bhas wewe nimchumia tumbo tu miaka yanyuma pale bandarin hata mlinz nimshua napesa nizakumwaga
 
Sema miaka ya 90s hivi mtu kukuta nyumba breakfast kuna mkate wenye blueband na jam, chai ya maziwa ina milo,pembeni nyama ya kusaga na soseji hao walikuwa washua..hapo sijazungumzia mtoto ana kabaskeli kake..mdogo wake mchanga anavaa pampers.

Kwa sisi apeche alolo tunahesabu hao ni washua..ukipiga hesabu home asubuhi ni chai ya rangi sukari kwa mbali na maandazi mawili. Mnaobisha ni au mlikuwa hiyo class hapo juu au mlikuwa zaidi..[emoji23][emoji23]
Wana wivu tyuuh hao [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Boss miaka ile, huyo ni wa kishua kabisa. Ukumbuke majority uchumi ulikuwa bado sana..kwa hao wachache hata kama walikuwa wanapata mnachoita kidogo basi hawakuwa sawa na familia karibu 6 au 7 mtaani. Of which walihesabika wa kishua..

Hapo hata watoto wao mkicheza nao rede mnawarushia mpira kidogo kidogo wasiumie[emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Humu kuna ubishi wa kijinga sana

Achana na miaka ya 80's 90's hata sasa kwA Maisha ya mtanzania kuwa mtoto wa balozi, wazee kuwa bandari, kusoma shule binafsi huyo wa kishua.

Maisha ya watanzania 90% ni magumu mno, hawana uhakika na mlo mmoja ila tukinunua simu janja tuna anza ligi na kuona kula milo 3 ni kawaida (sisi tunaila kupitia insta, twita ) ila kiuhalisia hata humu wala milo 3 wako wachache mnoooo.

Wote mlio wataja kwA ushahidi mimi kwangu ni wa kishua tena sanaaa nacho weza ni kubisha tu kujipa faraja ya moyo nione na wao ni wa kawaida kama mimi tu
Umemaliza kila kitu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wameelewa sana ila chuki tu na husda, mtu anakwambia "kuishi Marekani ndio Ushua gani" lol,
Wakati yeye hapo tangu azaliwe hajawahi kutoka hata nje ya Mkoa wake[emoji23]

Kuna mdau mmoja humu aliwahi kuja na Mada ya kuwasema Maskini, japo aliileta kwa ukali sana na akapokea mashambulizi mazito lakini wenye akili timamu tulimuelewa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
wewe kweli u
Sema miaka ya 90s hivi mtu kukuta nyumba breakfast kuna mkate wenye blueband na jam, chai ya maziwa ina milo,pembeni nyama ya kusaga na soseji hao walikuwa washua..hapo sijazungumzia mtoto ana kabaskeli kake..mdogo wake mchanga anavaa pampers.

Kwa sisi apeche alolo tunahesabu hao ni washua..ukipiga hesabu home asubuhi ni chai ya rangi sukari kwa mbali na maandazi mawili. Mnaobisha ni au mlikuwa hiyo class hapo juu au mlikuwa zaidi..[emoji23][emoji23]
wewe kweli ulikuwepo miaka hiyo, hadi kina inspector Harun wakawa waimba "mtoto kwao maini maini tambi kolonya..." yani tambi maini ilikuwa jambo kubwa sanaaa
mimi nakumbuka nilikuwa naenda kwao rafiki yangu nakuta li mkate lizima mezani halijafunguliwa na lingine lipo nusu najiuliza so hawa watu kwao mkate unabaki!!! yani ilikuwa ni jambo la ajabu kuona hivo vitu vinazagaa but as time went on na nyumbani kwetu tukaacha kuwa extended family ikafikia wakati maziwa yanazagaa kweny fridge na tunamwaga chai ya maziwa iliyobaki!!
 
Kuna marehemu mtoto wa dandu na bushoke hao pia wamo kwenye list ya washua
nimepita miaka ya karibuni nyumbani kwao mtoto wa dandu ni kijiji fulani kinaitwa shilanona nadhani,ni njia ya kwenda wilaya ya Ngudu
yule alikuwa ni wa kishua maana center ya kijiji ndio nyumbani kwao yani mashine za kusaga,maduka na mtataka taka yote ni yao
atakayebisha hili ana tatizo la akili,mtoto wa Dandu yule alikuwa wa kishua sana maana imagine vijiji vya Tanzania nzima sidhani kuna kama wao familia yao yani center nzima ni mali yenu na hii ni miaka na miaka ,sio matajiri saaana ila ni washua kwa maisha ya kijijini na hata ki mjini jamaa aliishi uswizi nadhani
 
Back
Top Bottom