Waweke hapa Wasanii wa Bongo Waliozaliwa / Kuishi Familia za Kishua

Waweke hapa Wasanii wa Bongo Waliozaliwa / Kuishi Familia za Kishua

Kwa miaka ya 80, 90 mpaka early 2000 kua na gari nyumbani, tv, geti na friji. Watoto wakaenda shule za private huo ni ushua tosha.
labda kuanzia 2000 ndio ushua ila miaka ya 80 na 90 kwenda private haikuwa ushua bali ilikuwa unaonekana umefeli kila mtu alikuwa ana fight asome shule ya serikali na ndio maana watoto wengi wa kishua kwa mujibu wa wachangiaji wengi humu yaani watoto wa maafisa wandamizi walisoma shule za serikali za ada ya 5,000TZS kwa mwaka na hata primary wamesoma shule hizi za kawaida labda tofauti tu walikuwa wana lobby wanapata zile shule ambazo zipo location nzuri
 
labda kuanzia 2000 ndio ushua ila miaka ya 80 na 90 kwenda private haikuwa ushua bali ilikuwa unaonekana umefeli kila mtu alikuwa ana fight asome shule ya serikali na ndio maana watoto wengi wa kishua kwa mujibu wa wachangiaji wengi humu yaani watoto wa maafisa wandamizi walisoma shule za serikali za ada ya 5,000TZS kwa mwaka na hata primary wamesoma shule hizi za kawaida labda tofauti tu walikuwa wana lobby wanapata zile shule ambazo zipo location nzuri
Kipindi hicho kule Tanga kuna shule za wasichana zinaitwa Mazinde Juu na Kifungilo nakumbuka kipindi cha likizo yale mabus makubwa enzi hizo kama Akamba ndio yanakuja chukua hao watoto. Ingawa ni kweli hapo zamani kulikua na dhana private ni kwa vilaza ila haikua affordable kwa wengi
 
Sema miaka ya 90s hivi mtu kukuta nyumba breakfast kuna mkate wenye blueband na jam, chai ya maziwa ina milo,pembeni nyama ya kusaga na soseji hao walikuwa washua..hapo sijazungumzia mtoto ana kabaskeli kake..mdogo wake mchanga anavaa pampers.

Kwa sisi apeche alolo tunahesabu hao ni washua..ukipiga hesabu home asubuhi ni chai ya rangi sukari kwa mbali na maandazi mawili. Mnaobisha ni au mlikuwa hiyo class hapo juu au mlikuwa zaidi..[emoji23][emoji23]
Hawakua wamezaliwa hao,au walikua wa vijijini hukooo siye wa mwananyamala video kwa baba Eliza mtaa mzima na mzee ng'umba tunaelewa mbona!
=77694]JamiiForums mobile app[/URL]
 
Kipindi hicho kule Tanga kuna shule za wasichana zinaitwa Mazinde Juu na Kifungilo nakumbuka kipindi cha likizo yale mabus makubwa enzi hizo kama Akamba ndio yanakuja chukua hao watoto. Ingawa ni kweli hapo zamani kulikua na dhana private ni kwa vilaza ila haikua affordable kwa wengi
Na sio zotee km kifungilo,mazinde juu,shaban Robert na mzizima zilikua za kishua!
 
Wasanii wa kisua wa kwanza best naso baba ake anashamba Na Ana nyumba ya kupangisha,dudubaya baba ake alikua mtu anayemiliki tv kitaani pale nyegezi afu kuna sister p yeye shemeji yake ni Askari police pale central
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Tatizo nyie hamjamuelewa mtoa mada amezungumzia ushua upi,wasanii wengi wametoka kwenye maisha magumu ya kuishi chumba kimoja familia nzima tena hapo wamepanga,wengine wametoka mikoani wamekuja dar hawana pa kulala wanalala stendi,mitaroni,kariakoo shimoni au wakibahatika ndio ile wanaishi maisha ya ghetto chumba kimoja mtu sita yaani kifupi wametaabika sana hadi kufika hapo walipo.Sasa kuna wasanii wachache ambao angalau wazazi wao walikuwa na nafasi ya kuwahudumia kila kitu ambacho ni basic mfano kuwasomesha shule private za hela,milo mitatu kwa siku ya uhakika a.k.a mboga saba yaani kifupi kwenye ukuaji wao hawajakumbana na suluba za maisha HAO NDIO WA KISHUA na mfano ni hao waliotajwa,huwezi linganisha life alilokulia mtu kama linex na jux ni wasanii wawili tofauti katika suala la makuzi na hassling

Sent from my TECNO_W4 using JamiiForums mobile app
Umenena vyema hio ndo tafsiri nayoijua sio lazima uwe kama mengi au bakheresa ndo uwe mshua
 
Eti ushuwa...

Ushuwa manake nini kwani???

Ova
 
Ndo akina Dola .Dola Sasa hivi yupo USA ni Injinia .mwenzake mmoja anafanya kazi UN shirika la afya duniani.Ni Dr kafkia levo ya uprofesa.Yule jamaa ni shida analindwa kama Rais Mana yupo kitengo Cha Utafiti kuhusu dawa ya UKIMWI.Ana watu wengi na kumuona inabdi upitie mlolongo mrefu Sana on short jamaa ni mtu mkubwa Sana hapa DUNIANI.Wa tatu ndo sijui anafanya nini lakini nae yupo USA.DOLA babake alikuaga anafanya kazi shirika moja wapo la umoja wa mataifa .kwa Hawa wasanii ni kweli walikua wakishua kweli.

Sent using Jamii Forums mobile app
umemsahau Saigon alikujaga na msemo wa "ebana dahh!" na alikuwa na hitsong inaitwa "Rudia" alichukuliwa na EATV miaka mingi iliyopita baada ya kurudi kwa muda nchini Bongo kutoka Uingereza alipokuwa kwa ajili ya masomo akawa kwenye kipindi flani cha cha "Street Hip-Hop" baadae akaacha kazi akarudi Ulaya tena akawa hasikiki... mzee wake mmoja alikuwa serikalini ila baada ya kufariki jamaa akarudi Bongo akawa mtu wa Dini ile mbaya!

Sasa hivi ni bonge la Sheikh anatangaza Redio na TV Imaan ila washkaji zake kina balozi bado wapo intouch sana! Kuna siku moja nilikutana nae Sinza msikitini siku ya Eid akaniambia "Sometimes inabidi uachane na njia zisizo na kheir ufuate zenye kheir ingawa utapoteza watu wengi sana na channel za pesa za haraam ila ni bora zaidi kuwa kwenye kheir. Marafiki zangu hawajanisahau wala kunitupa Alhamdulillah naishi kwa support yao kwa kiasi kikubwa na anytime nikitaka kwenda Ulaya au Marekani kutembea nawacheki zinatumwa invitation naruka zangu ila muziki tena NO!... Maisha mafupi sana!"

Maneno mazito sana aliniambia ila hajaacha vituko na uchangamfu ila kiimani na kimuonekano kabadilika kwa kiasi kikubwa sana! 🙌🏾
 
nimepita miaka ya karibuni nyumbani kwao mtoto wa dandu ni kijiji fulani kinaitwa shilanona nadhani,ni njia ya kwenda wilaya ya Ngudu
yule alikuwa ni wa kishua maana center ya kijiji ndio nyumbani kwao yani mashine za kusaga,maduka na mtataka taka yote ni yao
atakayebisha hili ana tatizo la akili,mtoto wa Dandu yule alikuwa wa kishua sana maana imagine vijiji vya Tanzania nzima sidhani kuna kama wao familia yao yani center nzima ni mali yenu na hii ni miaka na miaka ,sio matajiri saaana ila ni washua kwa maisha ya kijijini na hata ki mjini jamaa aliishi uswizi nadhani
Ni sweden sio Uswizi. Na yeye ndo alikuwaga Mastermind kwao, saiv hamna kitu tena ingawa ni kweli usemayo.
 
Usingizi Sina...naona tumo wengi humu...[emoji19][emoji19][emoji19]
 
Back
Top Bottom