Wawili niliowabakisha kama marafiki nao nimewafuta!

Wawili niliowabakisha kama marafiki nao nimewafuta!

kiukweli kabisa kwa nature ya binadamu alivyoumbwa hawezi kuwa na 'marafiki' persee.........

kikubwa ukibahatika kupata mwenza ambae ni zaidi ya mwenza shukuru Mungu, thats all you will get......

sema ubaya tunaangalia mattercore[emoji1746]
 
Ukiachana na wale wa mbali kidogo kama washikaji ambao huibuka mara kadhaa pale tu wanapokuwa na shida, nilibakisha watu wawili ambao niliamini ni wa kweli ila sasa nimefikia hatua ya kuwafuta pia.

1. Huyu wa kwanza yeye huwa karibu sana pale anapokuwa na matatizo ya kifedha, atakuwa na mawasiliano ya mara kwa mara hata kuja nyumbani na vitu kama hivyo, uchumi ukikaa sawa anapotea na inafika wakati hata ukipiga simu mchana atakuja kutafuta usiku kabisa au atume tu text ya "Vipi kaka?" hapo imeisha.

2. Huyu wa pili yeye ana matatizo kwenye ndoa yake, huwa anavurugikiwa sana anapokuwa na changamoto za kimahusiano, basi huwa anakupigia simu hata mara 10 kwa siku mjadili na umsaidie mawazo jinsi ya kutatua matatizo yake. Mimi humpa full support lakini yeye nikijaribu kumueleza yangu kwanza anayadogolesha na hana muda wa kuyasikiliza, anakejeli pia.

Sasa nimeona msela wangu atakuwa mke wangu tu. Jambo ambalo sitaweza kuongea nalo nitabaki nalo mimi mwenyewe. Kwasasa mimi sina rafiki zaidi ya mke wangu.
Rafiki wa kweli ni wewe mwenyewe. Mkeo na familia yako kwa ujumla ni ndugu.
 
Back
Top Bottom