Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rafiki wa kweli ni wewe mwenyewe. Mkeo na familia yako kwa ujumla ni ndugu.Ukiachana na wale wa mbali kidogo kama washikaji ambao huibuka mara kadhaa pale tu wanapokuwa na shida, nilibakisha watu wawili ambao niliamini ni wa kweli ila sasa nimefikia hatua ya kuwafuta pia.
1. Huyu wa kwanza yeye huwa karibu sana pale anapokuwa na matatizo ya kifedha, atakuwa na mawasiliano ya mara kwa mara hata kuja nyumbani na vitu kama hivyo, uchumi ukikaa sawa anapotea na inafika wakati hata ukipiga simu mchana atakuja kutafuta usiku kabisa au atume tu text ya "Vipi kaka?" hapo imeisha.
2. Huyu wa pili yeye ana matatizo kwenye ndoa yake, huwa anavurugikiwa sana anapokuwa na changamoto za kimahusiano, basi huwa anakupigia simu hata mara 10 kwa siku mjadili na umsaidie mawazo jinsi ya kutatua matatizo yake. Mimi humpa full support lakini yeye nikijaribu kumueleza yangu kwanza anayadogolesha na hana muda wa kuyasikiliza, anakejeli pia.
Sasa nimeona msela wangu atakuwa mke wangu tu. Jambo ambalo sitaweza kuongea nalo nitabaki nalo mimi mwenyewe. Kwasasa mimi sina rafiki zaidi ya mke wangu.
mke sio ndugu mkuu, wala watoto sio ndugu!Rafiki wa kweli ni wewe mwenyewe. Mkeo na familia yako kwa ujumla ni ndugu.
Ukiona kila mtu ni mbaya wako jua mbaya ni wewe.
Wengine wanatuchokoza wennyewe tu [emoji23][emoji23]
Mmh [emoji23]
Unakuwaje rafiki na kitu ambacho ni nadharia za kutungwa?Wewe unamfanya mswahili rafiki? Rafiki wa uhakika ni Yesu japo haonekani kwa macho ya nyama ila ni 100%
Kitu kilichoniaminisha kuwa Yesu Kristo yupo ni uwepo wa nguvu za giza na uwezo wa jina la Yesu Kristo kutatua matatatizo yanayohusiana na Nguvu za gizaUnakuwaje rafiki na kitu ambacho ni nadharia za kutungwa?
bin'Adam ni wabaya nyie..Sina rafiki nipo nipo tuu na maisha yangu.
Hamna kitu hapo. Kuna natural power inayo influence kila kitu ila sio huyo yesu mnaemtaja.Kitu kilichoniaminisha kuwa Yesu Kristo yupo ni uwepo wa nguvu za giza na uwezo wa jina la Yesu Kristo kutatua matatatizo yanayohusiana na Nguvu za giza
Yesu huyo huyo anatuasa tuwapende waswahili wenzetuWewe unamfanya mswahili rafiki? Rafiki wa uhakika ni Yesu japo haonekani kwa macho ya nyama ila ni 100%
Sio lazima kuamini mkuu..Hamna kitu hapo. Kuna natural power inayo influence kila kitu ila sio huyo yesu mnaemtaja.
Bro bufa 🤣🤣🤣😂😂😂Ukiona kila mtu ni mbaya wako jua mbaya ni wewe.
Ametuasa tuwapende na siyo kuwafanya marafiki. Akija na shida asaidiwe lakini Siyo kuelezwa A,B, C za maishaYesu huyo huyo anatuasa tuwapende waswahili wenzetu
Wengi walikuwa wanalidharau jina la Yesu Kristo. Lakini walipokosa suluhisho la matatatizo pote, wakalipenda hilo jinaHamna kitu hapo. Kuna natural power inayo influence kila kitu ila sio huyo yesu mnaemtaja.
Oooh sawaAmetuasa tuwapende na siyo kuwafanya marafiki. Akija na shida asaidiwe lakini Siyo kuelezwa A,B, C za maisha
YESU NI MUNGU,,,Wengi walikuwa wanalidharau jina la Yesu Kristo. Lakini walipokosa suluhisho la matatatizo pote, wakalipenda hilo jina
Bro bufa 🤣🤣🤣😂😂😂
So yawezekana mshikaji ndio ana matatizo??