Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Yesu ni mungu? Inakuwaje hii? Si yesu ni mtoto wa mungu au? Anawezaje kuwa mungu?YESU NI MUNGU,,,
FULL STOP
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yesu ni mungu? Inakuwaje hii? Si yesu ni mtoto wa mungu au? Anawezaje kuwa mungu?YESU NI MUNGU,,,
FULL STOP
WEWE SIO MKRISTO FUATA QURAN.Yesu ni mungu? Inakuwaje hii? Si yesu ni mtoto wa mungu au? Anawezaje kuwa mungu?
Rafiki anaenda kuwa rafiki na adui yako utajisikiaje?
Yes Nyani Ngabu!... Go Nyani Ngabu goooooooSie wengine tulishaachaga huo upuuzi wa urafiki.
Rafiki yangu ni mwanangu tu, basi.
Ipoje personality yako? Is that why you called yourself Xi Jinping?Njoo niwe rafiki yako mm!! maana namm nishashindikana sinaga rafiki[emoji3][emoji3]
Personality yangu ngumu sana kumatch na marafiki
Unakosea. Wa kwanza na wa mwisho ni mmoja tu, Mungu.Hamna kitu hapo. Kuna natural power inayo influence kila kitu ila sio huyo yesu mnaemtaja.
dah we upo kama mimi. yaani mimi sina tabia ya kuwapigia watu cm. mpaka ndugu wanasema dah. ila mara moja moja sana ila wakipiga cm kama kuna changamoto natatua.Mimi nina marafiki 3 na tunaweza tusiwasiliane hata miezi 6 na hatuwaziani tukiwa na shida tunatafutana tunaweka ushirikiano tunatatua zaidi ni kuangalia status,ku comment kwenye social network imeisha
Kwasababu mi huwa sina muda wa kumpigia mtu na kumsalimia nikikupigia simu tunaongea mishemishe sio salamu na ndugu na wazazi.wangu walishanizoea sipendi kuongea kwnye simu
PerfectUkiachana na wale wa mbali kidogo kama washikaji ambao huibuka mara kadhaa pale tu wanapokuwa na shida, nilibakisha watu wawili ambao niliamini ni wa kweli ila sasa nimefikia hatua ya kuwafuta pia.
1. Huyu wa kwanza yeye huwa karibu sana pale anapokuwa na matatizo ya kifedha, atakuwa na mawasiliano ya mara kwa mara hata kuja nyumbani na vitu kama hivyo, uchumi ukikaa sawa anapotea na inafika wakati hata ukipiga simu mchana atakuja kutafuta usiku kabisa au atume tu text ya "Vipi kaka?" hapo imeisha.
2. Huyu wa pili yeye ana matatizo kwenye ndoa yake, huwa anavurugikiwa sana anapokuwa na changamoto za kimahusiano, basi huwa anakupigia simu hata mara 10 kwa siku mjadili na umsaidie mawazo jinsi ya kutatua matatizo yake. Mimi humpa full support lakini yeye nikijaribu kumueleza yangu kwanza anayadogolesha na hana muda wa kuyasikiliza, anakejeli pia.
Sasa nimeona msela wangu atakuwa mke wangu tu. Jambo ambalo sitaweza kuongea nalo nitabaki nalo mimi mwenyewe. Kwasasa mimi sina rafiki zaidi ya mke wangu.
Karibu sana
[emoji848]hyo yesu uungu nani kampa....na toka lini yesu akawa mungu....YESU NI MUNGU,,,
FULL STOP
Wewe ni mimi kabisa. Yaani mimi nilishashidwa hii hali ya kupigiana simu mara kwa mara na kuchat. Tutaonana kwenye changamoto na mambo muhimu yanayotaka ushirikiano.Mimi nina marafiki 3 na tunaweza tusiwasiliane hata miezi 6 na hatuwaziani tukiwa na shida tunatafutana tunaweka ushirikiano tunatatua zaidi ni kuangalia status,ku comment kwenye social network imeisha
Kwasababu mi huwa sina muda wa kumpigia mtu na kumsalimia nikikupigia simu tunaongea mishemishe sio salamu na ndugu na wazazi.wangu walishanizoea sipendi kuongea kwnye simu
HAhahaha......Sasa nimeona msela wangu atakuwa mke wangu tu. Jambo ambalo sitaweza kuongea nalo nitabaki nalo mimi mwenyewe. Kwasasa mimi sina rafiki zaidi ya mke wangu.