Nelson Jacob Kagame
JF-Expert Member
- Dec 26, 2022
- 9,576
- 13,545
WEWE UNAMUABUDU MUNGU WA KIARABU ALLAH.[emoji848]hyo yesu uungu nani kampa....na toka lini yesu akawa mungu....
Rafiki wa kweli ni MUNGU tu.Ukiachana na wale wa mbali kidogo kama washikaji ambao huibuka mara kadhaa pale tu wanapokuwa na shida, nilibakisha watu wawili ambao niliamini ni wa kweli ila sasa nimefikia hatua ya kuwafuta pia.
1. Huyu wa kwanza yeye huwa karibu sana pale anapokuwa na matatizo ya kifedha, atakuwa na mawasiliano ya mara kwa mara hata kuja nyumbani na vitu kama hivyo, uchumi ukikaa sawa anapotea na inafika wakati hata ukipiga simu mchana atakuja kutafuta usiku kabisa au atume tu text ya "Vipi kaka?" hapo imeisha.
2. Huyu wa pili yeye ana matatizo kwenye ndoa yake, huwa anavurugikiwa sana anapokuwa na changamoto za kimahusiano, basi huwa anakupigia simu hata mara 10 kwa siku mjadili na umsaidie mawazo jinsi ya kutatua matatizo yake. Mimi humpa full support lakini yeye nikijaribu kumueleza yangu kwanza anayadogolesha na hana muda wa kuyasikiliza, anakejeli pia.
Sasa nimeona msela wangu atakuwa mke wangu tu. Jambo ambalo sitaweza kuongea nalo nitabaki nalo mimi mwenyewe. Kwasasa mimi sina rafiki zaidi ya mke wangu.
Nioe chap bhana
Nataka nikufute machozi yote uliyoliaga na kukurudishia furaha uliyoikosa muda wote hadi yule jamaa aone thamani yako.Nioe chap bhana
Yule jamaa achana nae....kwanza nimemdustbin forever....furaha ni ukiwajibika kutunza familia ....baasNataka nikufute machozi yote uliyoliaga na kukurudishia furaha uliyoikosa muda wote hadi yule jamaa aone thamani yako.
Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
ulilolisema kwenye aya ya mwisho lina ukweli wote.Karibu kwenye utu uzima. Ukifanikiwa kupata mke/mume/partner bora huyo ndiye atakuwa rafiki yako.
If you are lucky enough, your childhood friends can be your forever friends.
Otherwise mtoto wako anaweza kuwa rafiki yako japo kuna vitu hawezi kukuelewa na pia akikua atachagua marafiki zake wengine na hatokuwa rafiki yako.
Mwisho jifunze kuwa mwenyewe kihisia (pale unapotafuta kuziba gape la urafiki). Zaidi sana kuwa na washkaji ambao hawahusiki kukukamilisha kihisia bali kijamii.
kabisa inabidi tubadilikePole! Jitahidi kuishi nao kwa akili sana namaanisha sana.
Kwani kuona marafiki ni tatizo ni kosa lako la kutojua maana ya urafiki. Wengi hutaka wanachowafanyia marafiki nao wawafanyie, jambo hilo hupelekea magomvi makubwa na ni kitu ambacho hakiwezekani.
Kumbuka urafiki huunganishwa na jambo moja, mfano, urafiki wenu unaweza kuunganishwa na kufanya kazi au tabia inayofanana kama biashara, kilimo, wezi, kuvuta bangi n.k.
Igawa mambo mengine havitafanana kabisa, Mfano
1. Wewe unapenda kupiga simu lakini rafiki yako yeye anapenda kutuma sms.
2. Wewe usipopigiwa simu unaumia lakini mwingine umpigie usimpigie wala siyo tatizo.
................................
Kwa kifupi usiwekeze muda wako mwingi kwa marafiki.
Lakini bro kwanini tunafanya maisha yawe magumu kiasi hiko?kwanini usimpigie tu hewani mkasikilizana maisha yakaenda.Huwa nakereka sana na tabia ya unamtumia mtu meseji asubuhi, anakujibu usiku. Eti ubize?!. Kawaida ya binadamu wakijua wewe ni mtu wa kuanza kuwapandia hewani, wanakuona unajipendekeza, hivyo wanareact wanavyotaka, mara wakujibu neno moja "P", mara wakate simu.
je,yule jamaa asipoyaona hayo utakayomtendea ex wake,siutashindwa kuendelea?.... "Namuwazisha mwalimu tu"Nataka nikufute machozi yote uliyoliaga na kukurudishia furaha uliyoikosa muda wote hadi yule jamaa aone thamani yako.
Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app