Wayahudi na wasabato wanaendelea kuabudu sabato ya Jumamosi ambayo hata Yesu aliiabudu, ni nani aliibadili iwe Jumapili

Wayahudi na wasabato wanaendelea kuabudu sabato ya Jumamosi ambayo hata Yesu aliiabudu, ni nani aliibadili iwe Jumapili

Usilete visingizio, Ushaambiwa iabudu siku ya sabato, Na hio ni amri sio ombi
Sawa,
Kuabutu siku ya sabato sio utakatifu ujue.
Kuna watu wana swali kila baada ya masaa kadhaa.
kuvaa bomu na kwenda kuua watu sio hofu yake wala dhambi zake
 
Sawa,
Kuabutu siku ya sabato sio utakatifu ujue.
Kuna watu wana swali kila baada ya masaa kadhaa.
kuvaa bomu na kwenda kuua watu sio hofu yake wala dhambi zake
Ni sehemu moja wapo ya kumtukuza Mungu alietoa Amri ya kuitukuza Sabato
 
MARI YA NNE: Ikumbuke siku ya Sabato uitakase, Siku sita fanya kazi, utende mambo yako yote; lakini siku ya saba ni Sabato ya Bwana, Mungu wako

Tusiingie sana kwenye hizi dini na sheria zao bali tuzungumzie siku ya kuabudu.

Siku ya Jumamosi ndio iliyotengwa kuwa ya kisabato tangu zamani kwa wayahudi, nikimaanisha ya kwamba kina Musa hadi Yesu ndio waliiabudu hio siku na kuitakasa kuwa siku takatifu, Ni mpaka leo ukienda Israel siku ya Jumamosi maduka mengi na ofisi nyingi hufungwa kuruhusu watu waiabudu siku ya sabato.

Na hata kwa wasabato hata wa hapa kwetu, wengi wenye biashara huwa hawafungui jumamosi

Ilikuwaje ikabadilishwa kuwa jumapili ?
Maana ya Sabato ni nini? Ni kwamba ni siku ambayo Mungu alipumzika katika kalenda yetu hii ya Jumatatu hadi Jumapili au Sabato ni siku ambayo watu hukusanyika kumwabudu Mungu na siku hiyo inaweza kuwa kati ya hizo siku? Swali langu linauliza sabato maana yake ni kuhesabu (1 hadi 7) then unapumzika au sabato ni siku waumini wanayokusanyika kumwabudu Mungu?
 
Ni Kweli sabath ni Jumamosi.

Wasabato mnakosea kuabudu siku.

Siku haitakiwi kuabudiwa. Anaabudiwa Mungu, siku hiyo ni kumbukumbu ya kukumbuka Uumbaji wa Mungu.

Siku hiyo ni siku ya KUFUNGA. Baasi.
 
Sabato inayofuata matendo ya mwilini ilipitwa na wakati wake ikaja sabato ya rohoni. Agano la kale na agano jipya pambanua hapo. Ukisema ni warumi ndio walioanzisha sabato jumapili na ikapokelewa hivyo mpaka leo itakuwa haina maana kwani sabato ya sasa haiangalii siku
Tupe msitari wa biblia kuthibitisha usemacho.
 
Back
Top Bottom