Sasa hii inaprove nini? kama alisahau iwe kwa mapenzi yake,ya mungu ya shetani ya Aisha mimi nachojua alisahau..
Kaka nilikuomba mara kadhaa tuache majadiliano ya hewani. Ukijua wako watu (wayahudi au si wayahudi) waliopewa Tuzo ya Nobel bila kuistahili, TAJA MAJINA NA SABABU.Sifa nyengine ya mayahudi ni kupenda kusifiwa na kujifakharisha hata kwa mafanikio madogo madogo.Twaweza kusema wala hawajui kula na kipofu.Mafanikio wanayotarajia kuyapata mwaka ujao wanaweza kuanza kuyatangaza leo ili kuwahi kusifiwa.Hivyo hata zawadi za Nobel zinazotelewa kwa mayahudi ni vyema zikaja kuchunguzwa tena hapo baadae kile kilichokuwemo kwenye nadharia hiyo na mkakati wa kutolewa.
Na Yesu na wengine.
Wako wengi tu na ni tangu hizi zawadi zilipoanzishwa.Sijui ni kwa nini wewe umezipa hadhi kubwa zisizostahili na umeziamini kuliko unavyomuamini Mwenyezi Mungu. Zaidi unajaribu kumfanya kila mmoja aziamini kama wewe.Kaka nilikuomba mara kadhaa tuache majadiliano ya hewani. Ukijua wako watu (wayahudi au si wayahudi) waliopewa Tuzo ya Nobel bila kuistahili, TAJA MAJINA NA SABABU.
Anasema Allah mtukufu :Thibitisha Yesu aliwalaani na thibitisha pia aliwaita Mayahudi.
Kwani ukimlaani mtu lazima udunishe na utu wake pia?
[emoji38][emoji38]imeandikwa kwa miaka hiyo mkuu...sio siku 1Quran Sura 2
Tatizo unamsifu baba aisha mpaka unapitilizanambie ambacho Mtume aliwahi kusahau
Ligi unahisi wewe tu lakini ukija na cha kunifunza ntajifunza lakini for now wew bado sana inabidi urudi madrassabahati mbaya wew hutaki kujifunza unaleta ligi na mimi vyote nipo ukitaka ligi au kujifunza
Kweli wayahudi wako vizuri lakini hivi ni nani muamuzi kwamba tumaward huyu tumuache huyu? Halafu wayahudi Wana Tabia wakimuona mtu ni potential wanamuita wakwao ref ObamaKaka tafadhali utumie ubongo kidogo. Kati ya wanasanyansi bora duniani waliopokea Tuzo ya Nobel takriban asilimia 20 ni Wayahudi, ingawa Wayahudi wenyewe ni kundi ndogo , si asilimia 1 ya binadamu wote.
Ukifika hospitali na kupata tiba nzuri, ni shauri ya kazi ya wataalamu wengi pamoja na hao Wayahudi.
Machoni pangu mtaalamu anayefanya utafiti kwa manufaa ya watu wote anajitolea akichangia jambo muhimu kwa binadamu wote.
Asilimia 20 ni Wayahudi 8ilhali Wayahudi wote ni kama milioni 15 pekee duniani kati ya bilioni 7.
Wayahudi wanasisitiza elimu kwa watoto wao, kushinda jumuiya nyingi za dunia. Kama wote wangeisisitiza vile, tungekuwa mbele zaidi. Zao moja ya juhudi hiyo ni idadi kubwa ya wataalamu wanaopokea Tuzo ya Nobel kwa kazi bora ya kisayansi.
Ukipenda kuwajua kwa undnai zaidi, tafuta habari za hao wanaNobel Wayahudi waliopokea Tuzo ya Nobel ya Tiba:
Élie Metchnikoff, Robert Bárány, Otto Fritz Meyerhof, Karl Landsteiner, Otto Heinrich Warburg, Otto Loewi, Joseph Erlanger, Ernst Boris Chain, Hermann Joseph Muller, Gerty Cori, Tadeusz Reichstein, Selman Waksman, Hans Adolf Krebs, Joshua Led
Waislamu wa kweli ni waarabuWatawachezea hao hao WAARABU lakini waislamu wa kweli wa IRAN kamwe hawatayumbishwa na mwanadamu yeyote yule.
Sent from my TECNO K8 using JamiiForums mobile app
Ligi unahisi wewe tu lakini ukija na cha kunifunza ntajifunza lakini for now wew bado sana inabidi urudi madrassa
Tatizo unamsifu baba aisha mpaka unapitiliza
The Prophet (ﷺ) prayed (and the sub-narrator Ibrahim said, "I do not know whether he prayed more or less than usual"), and when he had finished the prayers he was asked, "O Allah's Messenger (ﷺ)! Has there been any change in the prayers?" He said, "What is it?' The people said, "You have prayed so much and so much." So the Prophet (ﷺ) bent his legs, faced the Qibla and performed two prostration's (of Sahu) and finished his prayers with Taslim (by turning his face to right and left saying: 'As-Salamu `Alaikum- Warahmat-ullah'). When he turned his face to us he said, "If there had been anything changed in the prayer, surely I would have informed you but I am a human being like you and liable to forget like you. So if I forget remind me and if anyone of you is doubtful about his prayer, he should follow what he thinks to be correct and complete his prayer accordingly and finish it and do two prostrations (of Sahu
Waislamu wa kweli ni waarabu
[emoji38][emoji38]imeandikwa kwa miaka hiyo mkuu...sio siku 1
kurasa 10?kipande kimoja kilikua na urefu gani? ndio point yangu
kwanini sasa quran ilishuka kiarabu?waislam wa kweli ni wanaomwamini Mwenyezi na kufuata maelekezo kutoka kwa Mtume
kurasa 10?
kwanini sasa quran ilishuka kiarabu?