Wayahudi wazidi kuishangaza dunia, watengeneza gari linalotumia maji badala ya mafuta

If it emits water,why does it need refilling again,why not reuse the emitted water? And then we can have a perpetual machine
 
Hii habari ni ya zaidi ya miaka 5 iliyo pita.

Hapana. Utafiti umeanza kipindi kirefu ila gari linalotumia maji lilfanya safari yake ya kwanza wiki hii.
 
Kama hamna picha huu ni UMBEA
 
Hapana. Utafiti umeanza kipindi kirefu ila gari linalotumia maji lilfanya safari yake ya kwanza wiki hii.
Mkuu hii teknolojia ipo kwa zaidi ya miaka 40 iliyo pita sema ilikataliwa kuidhinishwa kwa sababu ya kunusuru usalama wa maji duniani.
Muwage mnapunguza ujinga.
 
Mkuu kwa hilo sio kweli hebu angalia Israel ameuwa masikini zaidi 40,000 na ni mkakati wa kuchukua ardhi yote ya Palestina
Kuhusu mafuta wao pia sio wajinga wameisha tahadharishwa zamani sana kuhusu hili la mafuta
Ila biashara ya mafuta haitakwisha labda kwa magari lakini viwanda vitaendelea kutumia mafuta na hata meli
Sio waarabu wote wana mafuta na hao wenye mafuta kama Qatari wameisha nunua nusu ya utajiri wa london

UAE wako vizuri bila mafuta na Saudia wana dhahabu nyingi sana

Kama ni njaa inakupelekea kuwa gaidi basi Africa tungeuana
 
Yawezekana ila kuna Mahojiano nilifuatilia vizuri ya British Engineer nafikiri ndiye aliyeidesign Burj Khalifa, akasema Dubai, Qatar, Saudi Arabia na nchi zingine za Kiarabu zinawekeza sana kwenye majengo mazuri nchini kwao lakini hawana guarantee ya Uchumi wao kwa miaka 50 mpaka 100 ijayo kwasababu Mafuta yakiisha hawana tegemeo lingine

From there ndio waarabu wanawekeza kwenye Transportation kwasababu ndio biashara ambayo itakuwepo milele...ila wanapata stiff challenge kwa Chinese
 
Wakati nakuwa niliwahi sikia Kuna mtu aligundua injini ya maji wakaamua kumzima, najua siyo jipya ila athari za kimazingira zimepush inventions za aina nyingi za injini ziwe wazi,naona Kila mwezi Kuna injini mpya imegunduliwa
 
Sasa hiyo teknolijia ikishika kasi na kusambaa haka ka ist kangu si wataniua kwa presha?
 
Atukuzwe Mungu Juu Mbinguni 🌹
Sasa huoni tatizo la kumalizika hewa ya oxygen ambayo ni asilimia 3? tu ya hewa ulimwenguni? Hydrogen ni nyingi asilimia 70? sasa tatizo ni hiyo hewa safi. Je ikishatumika inarudije? Hapa nafikiria dunia itakapokuwa na watu biloni 50 na kuendelea.ambayo itafikuwa si miaka mingi. Vitukuu wanaweza wakaona udadi hiyo.
 
Wapigwe ban haraka mno.
 
CC: Vladimir Vladimirovich Putin
 
Kw
KWa taarifa tu Israel ndio wa kwanza kusema S400 ya Putin si lolote si chochote.
 
Acha ujinga aisee , hiyo technology ya kuzalisha hydrogen kwa electrolyisis ya maji na kuitumia kama fuel kwenye propulsion na engines mbona ni kitu cha kawaida muda mrefu ?
Na wala si hao wayahudi feki wenu mnaowaabudu ninyi vilaza kwamba ndio waliodevelop hiyo concept ,mnawaona ka miungu wenu hao fraudsters toka khazaria aka wayahudi feki .
Muwe mnajiupdate kwenye internet kuhusu habari za technology na taarifa mbalimbali ,acheni kutumia bundle zenu kuangalia umbea na porn tu na kufuatilia manabii feki wenu hao .
Grow up you dumb niggas
Bastard !
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…