ABiClever Junior
JF-Expert Member
- Dec 14, 2016
- 948
- 548
- Thread starter
- #821
tupo[emoji124] ...... wa pande za pangani tupo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tupo[emoji124] ...... wa pande za pangani tupo
Shabani robati primary na galanos sec scho
😎
Hahah hamruhusiwi
Mi nilisoma hapo shaban robert, enzi inaitwa mabawa primaryShabani robati primary na galanos sec scho
Hata Morogoro wanawaita hivyohivyo watu kutoka mikoa mingine wakiwatofautisha na watu wanaotoka Morogoro na mikoa ya pwaniEti watu wa Tanga nao wanawaita Watu wa Mikoani ,,wa kutoka Bara", hili lilinishangaza sana, nilifikiri ni msemo wa watu wa Dar tu!
ukifika unakaribishwa ukiondoka upewi kwaheri kwasababu utarudi tyu
Ruksa. Kama mmeoa dada zetu basi nyie ni walowezi au walowezi watarajiwa wa Tanga.
Sky Eclat utakua mzuri sana ktk mapenziYap tupo mkuu
waite vizur bana wajeShunie emmyta sky eclat lady Aj mbon hampiti huku