Wazanzibar hatuutaki Muungano na Tanganyika

Wazanzibar hatuutaki Muungano na Tanganyika

Hawa wazenj waduanz kweli,wanadhan wakijtoa cc watanganyika 2tatetereka,wao ndo watakao umia as wenyewe ndo wana2tegemea sisi watanganyika 2pge mzigo tuwalishe na wao!wenyewe kutwa kazi kukaa kwenye vijiwe vya kahawa kupga umbea 2!jitoeni hata leo muone ka tanganyika itayumba kwa lolote.

Kwanini mnaandikia mate na wino upo. Vunjeni kisha muone nani ni nani
 
..njia rahisi ya kuuvunja muungano ni Wazanzibari kususia shughuli zote za serikali ya muungano.

..pia Wazanzibar wawa-recall wabunge wao walioko ktk bunge la muungano.

..watumishi wa Kizanzibar walioajiriwa ktk serikali ya muungano nao waache kazi na kurudi Zanzibar.

..hayo yakitokea muungano utakuwa umefikia mwisho wake.

..kinachofuatia baada ya hapo ni kutafutwa msuluhishi wa kimataifa aje ku-sort out masuala ya mgawanyo wa mali za iliyokuwa serikali ya muungano.
 
haha ntafurai kuna mpemba analoga watu mtaani kw2 bora arudi zenji akakutane na walimu wake wa kulogo. Cjui atalogo wajukuu zake?
 
Naona hoja nyingi zisizo ma mashiko, mara, "kwa nini wazanzibari hawataki muungano." au "mwanasheria mkuu ZNZ akataa muungano."

Lakini nijuavyo mimi watanganyika hatuutaki kabisa muungano huu na hii sio hoja ya znz bali iliwahi kujitokeza bungeni kwetu na g55 enzi za Njelu Kasaka. Wazenji kaeni kimya, mnajifanya hamuutaki muungano wakati mmeukumbatia.

Yatawatokeeni puani tukifanikisha kuyashinda majini yenu yanayolazimisha muungano!!!!
 
nahisi kama ulistahiki kua fb sio jf, hatwendi ivo mkuu, hoja, ushahidi na kutofuata upepo ndio nguzo yetu jf, unakurupuka tu sjui usha-le-wa au sijui, kajipange tena, nakuhisi unaweza kua na point ila uwasilishaji wako huna tofauti na mtoto wa chekechea.
 
hata sisi watanganyika hatuutaki muungano kabisa wanao utaka muungano ni ccm bara na ccm znz
 
hata sisi watanganyika hatuutaki muungano kabisa wanao utaka muungano ni ccm bara na ccm znz
Ni vizuri basi tumwombe Mzee Mwanakijiji aandae makala za kutushajihisha watanganyika kuidai Tanganyika yetu. Kama anavyowaonesha njia nyepesi na rahizi wazanzibari kutoka katika muungano.

Atueleze njia rahisi za kuipata Tanganyika yetu.

Ninajiuliza masuali mengi kwa nini Mzee wa kijiji anaelekeza nguvu nyingi kuwaelimisha wazanzibari na kutuacha sisi tukiwa hatuna mtetezi wakati sisi pia tunaona muungano unatutia hasara tu, tunabeba kiroba cha misumari.

Mzee Mwanakijiji, tusaidie mawazo, njia vipi tutairejesha Tanganyika yetu na serikali ya Tanganyika?
 
Mzanzibar shiriki katika harakati za kudai uhuru wa zanzibar kutoka mikononi mwa mkoloni TANGANYIKA. ORODHA YA MAADUI NA WATU WANAOKWAMISHA UHURU WA ZANZIBAR.

1-VIONGOZI WA MAKANISA NA MISIKITI INAYOONGOZWA NA BAKWATA.
2-VIONGOZI WA CCM.
3-WANACHAMA WA CCM.

Wazanzibar tukifanikiwa kumwaga dam za maadui wa zanzibar hawa ni lazima tutapata UHURU WA ZANZIBAR. wazanzibar tujitolee kwa hali na mali kumwaga damu za maadui hawa kimya kimya sio njia ya kutumia maandamano.
 
Mzanzibar shiriki katika harakati za kudai uhuru wa zanzibar kutoka mikononi mwa mkoloni TANGANYIKA

Sema wewe huutaki muungano na itaeleweka. Acha watu wengine watumie akili na uhuru wao. Don't domesticate them!
 
Mzanzibar shiriki katika harakati za kudai uhuru wa zanzibar kutoka mikononi mwa mkoloni TANGANYIKA

Zanzibar ni kisiwa cha Tanganyika kama ilivyo Mafia! Tunayoiita Zanzibar ni matokeo ya kuvamiwa na waarabu toka Oman. This is clear with no doubt! Kwanza tunawafukuza wote wenye asili ya Oman. Africa South Of Sahara hakuna rangi nyeupe , ukiikuta ni ya watu waliowavamia waafrika weusi. Hivyo nyie Uamsho tulia tukae tumekubali kuwahifadhi sababu ya historia msichokonoe mengi ambayo tuliamua kuyafunika ili mwanaharamu apite!
 
Hizi kelele za Zanzibar zinakera kusikiliza kila siku. Mliambiwa Zanzibar si nchi, hamkuelewa tu? Kusikia mtasikia lakini hamtaelewa!
 
Zanzibar ni eneo la wahamiaji na halina mwenyewe,hivyo hakuna mtu ambaye ana hisa nalo mpaka kuanza kulidai
 
Foolish guys who told you that we Tanganyikan needs you?. After all you're getting a lot of previlleges from Tanganyika I'm sure that you'll regret yourself after breaking this muungano, all of you 'll find that you are not belong to Zanzibar, and you will start seekin asylum in Tanaganyika. Shame of you.
 
Hiyo damu mnayomwaga itahesabiwa juu yako na juu ya hao wajinga wenzio!

Nawaiteni wajinga sababu hamjui hasa mnachokihitaji, wazanzibari hamjui mnashida gani na nini mnahitaji kwa ajili ya utatuzi wa shida zenu. kwa mtu yeyote mwenye ufahamu na akili timamu akisoma oroza ya hao unawahita maadui wa zanzibar atakuoneni ni wajinga sana na wapuuzi!

Zanzibar
ni nchi yenye raisi, makamu wawili wa raisi, mawazili, wawakilishi, wakurugenzi, inajeshi - KMKM na vitu gani sijui, wizara zote kamili hispokuwa mbili tu za muungano. Dini ya kiislam ni zaidi ya 95%. Sasa kinachowafanya mpige kelele na kuanza kuua watu ni hizo wizara mbili za muunganino au 5% ya watu ambao si waiislam? ....ama ujinga tu. Je mnataka nn wajinga nyie?

Kwa ufupi zanzibar haina tofauti na nchi kama Rwanda, Zanzibar ni nchi ndogo inaserikali kamili kama Rwanda, tofauti iliyopo na nchi kama Rwanda (nchi inayoonekana kupiga maendeleo vizuri) ni UJINGA tu! Ujinga wa Wazanzibar na viongozi wenu!
 
Ndugu zanguni acheni ujinga nyie fanyeni tuu maisha mengine la sivyo mkijifanya wajanja mtamwagwa damu bureee wakati uhuru mshaupata acheni kudanganywa na hao wakubwa zenu na nyie bila hata kufikiria mnaandamana mtakuja kupoteza familia zenu kijinga kwa sababu ya ujinga wa nyie kina baba tulia kaka...
 
Kwani muungano unawataka? Nani aliwalazimisha kuja kuomba tuungane nanyi ili msipinduliwe na masultani wa kiarabu? Sasa mmesahau kirahisi hivi na kuanza kuota jeuri siyo? Think twice wanangu walalamishi.
 
Na sisi wa huku bara tunawaona ni kero na mzigo. Tuko tayari kuwasaidia mjitenge ili na sisi tuishi kwa amani yetu.
 
Back
Top Bottom