Wazanzibar hatuutaki Muungano na Tanganyika

Wazanzibar hatuutaki Muungano na Tanganyika

Unaongelea Nyerere huyu aliyepinduliwa na wanajeshi akarudishwa madarakani Na waingereza Na kutumika Kama kibaraka wao kuivamia Zanzibar Na kuwapa waingereza uhuru wa kupora almasi Na dhahabu kama shukrani kwao?
 
Unataka kutulisha matango pori kutuaminisha ya kwamba Iddi Amini Dadaa aliivamia Tanzania akitokea Zanzibar, harikazarika wanaopenya nakushamburia Tanzania kule kusini wanatokea Zanzibar, waesiopia wanaokamatwa katikati ya Tanzania wanatokea Zanzibar, Hamza wa CCM aliwaua polisi mchana kweupe anatokea Zanzibar.

Una kasumba za yule Waziri Lkuvi aliekwenda hubiri Kanisani maneno hayo hayo ambayo yanaonekana kama umenukuu.

Wanaong'ang'ania Muungano ni MaCCM wawe kutoka Zenji au Chogoland, wanajua fika Muungano ndio unaowaweka madarakani, CCM ni donda ndugu la Mataifa haya mawili Tanganyika na Zanzibar.
 
Hakika.....

Wengi wanaoupinga na kuukosoa vibaya muungano ni WATU WANAOANGALIA MAMBO KIFUPI/WAROHO WA MADARAKA/WABAGUZI NA WASIOPENDA UMOJA WETU WA KITANZANIA NA KIAFRIKA!!!

Siempre JMT

Umoja wa kiafrika upi ? Nenda South Africa Kama hutonyofolewa korodani Na miafrika myenzio usisahau Sabaya aliwafanya kitu gani wale binadamu wenzake au walikuwa wahindi wa Kenya ?
 
Nyerer aliipigania uhuru nchi kwa hio yafaa aheshimiwe, maamuzi aliyofanya yalikuwa ya kimkakati zaidi kuja kutufaiasha...
Kwani Uhuru umetusaidia nini mpaka Leo hii. Miaka 60 ya uhuru bado umasikini umeongezeka, maji umeme na elimu duni. Nasema hivi hata Mwl Nyerere mwenyewe alikuepo binadam kumkosoa sio mbaya Ila. Kwa haraka Sana muungano umesaidia kuiendeleza Zanzibar na kuirudisha nyuma Tanganyika huo ndio ukweli ambao haupingiki.

Hata hivyo wapigania Uhuru walikuepo wengi na vyama vingi hata bila Nyerere Uhuru tungeupata tuu hata kama tungeendelea kutawaliwa inawezekana kabisa tungekuepo na maisha Bora zaidi kuliko huu utawala wa CCM ya Leo hii
 
Nadhani baba wa taifa angekuwa Kambona, hadi sasa nchi ingekuwa imefika ilipofikia kwa mawazo ya Kambona
Ni kweli kabisa mkuu. Hata kambona asingekuwa kiongozi mwingine angekuwepo tu na tungekuwa wananchi mahali. Hii ya kumtukuza mtu mmoja saana kama vile Mungu wakati mikono yake hata sio safi sana Mimi linanipa ukakasi sana
 
Kama Kuna kitu ambacho nyerere binafsi naona alibugi basi ni huu muungano.

Ati Kuna watu wanasema tusingeungana ukanda wa pwani ungechukuliwa na Zanzibar wakati hiyo ishu wajerumani walishamalizana na sultani.

Ishu ya ulinzi haina mashiko kabisa, cha msingi ni kuishi vizuri na majirani zako tuu
 
Kwa Wazanzibar walio wengi leo hii ni kuona kwamba Zanzibar kama Nchi inajitawala wenyewe huku ikiongoza tawala zake kama vile historia ya kweli unavyotufahamisha, jinsi ya utawala halali wa kIzanzibar kabla ya kuja mapinduzi ambayo yamepelekea athari kubwa miongoni mwa Jamii ya Wazanzibar hadi leo hii...
Mwega ndio kitu gani?
 
1639974453984.png
.Mpaka kieleweke ,angazeni hapo.
 
Kwa Wazanzibar walio wengi leo hii ni kuona kwamba Zanzibar kama Nchi inajitawala wenyewe huku ikiongoza tawala zake kama vile historia ya kweli unavyotufahamisha...
Nyie wazanzibari anzeni kukichafua huko na sisi tutafuata.

Hata mimi muungano siutaki kwa kweli
 
Nyie wazanzibari anzeni kukichafua huko na sisi tutafuata
Hata mimi muungano siutaki kwa kweli
Kichafuliwe mala ngapi,waZenji tokea zamani wanaubomoa Muungano na wamefika mbali,tatizo huko mmerizika kukoloniwa na CCM, sasa mnaitwa magaidi.

Tayari Pemba CCM imeshafukuzwa na hairudi na Unguja nako wameshaishtukia wameanza kuimegamega. shombo mnalo wabara mnawaogopa sana CCM ,hivi wabara mlivyo wengi mnashindwaje kupambana ana kwa ana na miCCM.

Pemba wamepambana na miccm na polisi wao ,tunaona sasa CCM na polisi wao wakienda Pemba wanakwenda kwa heshima na adabu ,huku mmezubaa mpaka Miccm inawaparamia.

Imefikia kule Pemba utasikia polisi wamewapiga risasi wanachama wa chama fulani idadi fulani na wananchi nao wamechinja mmoja,ndipo walipofikishwa wapemba hawaoni shida kulipiza kisasi hata kwa hesabu ya moja.

Wabara mnachokolewa na CCM mpaka mnaitwa magaidi,itakuwa mmemkosea kitu Mungu.
 
Kichafuliwe mala ngapi,waZenji tokea zamani wanaubomoa Muungano na wamefika mbali,tatizo huko mmerizika kukoloniwa na CCM ,sasa mnaitwa magaidi...
Binafsi nawakubali sana wazenji kwa kukichafua lakini ndio hivyo ila kiukweli kweli huu muungano umekaa kinyonyaji tu
 
Kwanza namwombea siha njema Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania, pili Rais wa Zanzibar, mimi mwenyewe na watanzania wote.

Watawala nawaombeni mtumie busara ambazo kila kukicha tunamuomba Mungu awajalie ili muungano huu ufike kikomo.
Hamna wa kuondoa manung'uniko haya zaidi yenu.

Hali ya kutaka muungano uvunjike upo kwa kila raia ila tu raia huyu akishika tu madaraka anasahau kabisa ndoto ya kuuvunja muungano.

Mie nawategemea sana sasa kipindi hiki cha amani kuvunja huu muungano ambao haupo sawa unaokula fedha za kutafuta suluhu kila wakati!
 
Nyerer aliipigania uhuru nchi kwa hio yafaa aheshimiwe, maamuzi aliyofanya yalikuwa ya kimkakati zaidi kuja kutufaiasha.

Najua watu wanalalamika na kusikia maumivu wanapoona wazanzibar inabidi wapewe asilimia 21 za ajira Tanzania, kupewa uongozi sekta / taasisi nyeti, kuwa na vitambulisho vyao, kumiliki ardhi, n.k. hivi ni vitu vidogo sana na ilibidi wapewe ili wakubali muungano.

Faida moja wapo kwa Tanganyika kwenye huu muungano ni ulinzi, Zanzibar ipo eneo ambalo limekaa kimkakati, inaweza kutumika kimkakati kuivamia Tanzania bara na kupora ardhi.

Nashangaa sana watu wanaompinga Nyerere

nani anataka kumvamia Tanganyika kwani?
 
Sasa kama hamuwataki watanganyika mnataka muungano na nani? Madagascar?
 
Sasa kama hamuwataki watanganyika mnataka muungano na nani? Madagascar?

Wanataka wa Oman hahahah wanajikuta waarabu kisa huo ushomeshombe afu sijui kwanini wanapenda kutuita Chogo au kisa vichwa vyao havina vichogo [emoji1787][emoji1787][emoji38]
 
Back
Top Bottom