The Dark Father
JF-Expert Member
- Oct 9, 2017
- 1,144
- 1,408
Habari wanajamvi,
Wiki hzi tatu au mwezi huu tumekuwa na mijadala mingi hasa inayohusu uteuzi na teuzi mbalimbali.
Kinacholeta mjadala kingine ni katika masuala ya Muungano, Nacho nauliza kama ifuatavyo:
1. Je, inaruhusiwa kwa Mzanzibari kuongoza Wizara/taasisi ambayo haipo katika masuala ya Muungano, mfano Afya?
2. Kama ni sahihi, je mbona Watanganyika hatupewi nafasi za kuongoza wizara/taasisi zisizo za muungano kule Zanzibar?
3.Kama si sahihi, je ni kwa nini kinafanywa na nini kifanyike?
Katiba ina mikanganyiko mingi. Nipo kwenye mashauriano na wanasheria tukianzia na hili la DC Iringa...Rais Samia Suluhu ndiye waziri wa Tamisemi.
..Je, suluhisho ni kuundwa kwa serikali ya Tanganyika?
Usiwe mgumu kuelewa mkuu.Aisee,
Mkuu hivi ndo ilivyokaa ama umeamua wewe?
Mambo ambayo siyo ya Muungano ni mambo yanayohusu Tanganyika japo yatakuwa chini ya Rais wa muungano na hayahusu Zanzibar. Inakuwaje Mzanzibar ni Mtanzania lakini Manganyika si Mtanzania wakat Zanzibar ni sehemu ya Tanzania.
Zanzibar wanatumia currency ipi vile!?Wizara ya Fedha na Mipango.
Mara ya mwisho JPM alimteua Naibu Waziri - Mhe. Mwanaidi Ali Hamis.
Wakati kule Zanzibar kuna wizara pia ya Fedha na Mipango.
Hii ni crapTunafaidika na suala la Ulinzi wa Tanzania kutokana na jiografia ya visiwa hivyo vwili
na baya zaidi wana sheria kandamizi ambayo inakinzana na tamaduni za watanganyika walio wengi, mfano watanganyika wanawake wanatamaduni ya kuvaa nguzo fupi' Zanzibar wakikutwa wanapigwa bakora, sisi watanganyika nikawaida yetu mwezi wa ramadhani kula hadharani na kunywa pombe, zanzibar ukikutwa unafungwa na kupigwa.Nimejikuta nikicheka Kama kichaa, Yani kwa lugha nyepesi TANGANYIKA ni koloni la Zanzibar ndani ya Muungano , wao kila pembe ya nchi Katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ruksa, ila Mtanganyika Zanzibar tumewekewa vitanzi , unaingia Zanzibar Kama vile unaenda USA,
Zanzibar tupeni Tanganyika yetu, vinginevyo twende sawa kwenye Muungano,
HahaahahahahahahHivi zanzibar kwenye serikali ya muungano ni mkoa au ni nchi?
Jipe muda kidogo uisome ibara ya 4 (3) ya katiba ya Tanzania.Usiwe mgumu kuelewa mkuu.
Kuanzia April 27 1964 hakujawahi kuzaliwa Mtanganyika.
Mkuu why inakuuma sasa??Wazanzibar idadi yao ni sawa na wilaya moja kati ya wilaya 120 za Tanganyika lakini bado wanatukimbiza sana inaniuma sana hii
Kila la kheri mkuuKatiba ina mikanganyiko mingi. Nipo kwenye mashauriano na wanasheria tukianzia na hili la DC Iringa.
Wakiona kuna mashiko nitasonga mahakamani kuomba tafsiri sahihi.
Nakataa.na baya zaidi wana sheria kandamizi ambayo inakinzana na tamaduni za watanganyika walio wengi, mfano watanganyika wanawake wanatamaduni ya kuvaa nguzo fupi' Zanzibar wakikutwa wanapigwa bakora, sisi watanganyika nikawaida yetu mwezi wa ramadhani kula hadharani na kunywa pombe, zanzibar ukikutwa unafungwa na kupigwa.
Kuvaa nguzo fupi sio kutembea uchi, Nani kakuambia watanganyika wanatembea uchi?Nakataa.
Watanganyika hawana tabia hizo za kwenda uchi
Hakuna Jeshi la Zanzibar sio?..kuna kambi moja hapo dsm kuna wapemba na waunguja tupu..huko zenji kuna kambi ambazo watanganyika ndo wengi?ila na sisi tumewashika hao wazenji kwenye jeshi na polisi [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
jeshi ni moja (jwtz), polisi ni moja hadi zenjiHakuna Jeshi la Zanzibar sio?..kuna kambi moja hapo dsm kuna wapemba na waunguja tupu..huko zenji kuna kambi ambazo watanganyika ndo wengi?
Katiba ina mikanganyiko mingi. Nipo kwenye mashauriano na wanasheria tukianzia na hili la DC Iringa.
Wakiona kuna mashiko nitasonga mahakamani kuomba tafsiri sahihi.
Hakuna Jeshi la Zanzibar sio?..kuna kambi moja hapo dsm kuna wapemba na waunguja tupu..huko zenji kuna kambi ambazo watanganyika ndo wengi?
Will do...vyovyote itakavyokuwa tunaomba utupe mrejesho wa suala hili.