Wazanzibar kuongoza Wizara/Taasisi zisizo za Muungano imekaaje kisheria?

Ngoja,

Nchi ina serikali 2.
Moja ya Muungano, moja ya Zanzibar.

Sasa mambo ya kiserikali na kiutawala yasiyohusu muungano na yasiyo ya zanzibar, ni ya serikali ipi au uongozi upi?
 

Katiba mpya, narudia tena katiba mpya.

Zanzibar kuna wizara ya fedha. Masauni anakuwaje tena huku kama waziri wa fedha?

Iko fyongo kwa wizara iliyoko Zanzibar kuwa na waziri au waajiriwa katika wizara ya kufanana huku.

Jipu hili laelekea kubaya.
 
Usiwe mgumu kuelewa mkuu.

Kuanzia April 27 1964 hakujawahi kuzaliwa Mtanganyika.
 
na baya zaidi wana sheria kandamizi ambayo inakinzana na tamaduni za watanganyika walio wengi, mfano watanganyika wanawake wanatamaduni ya kuvaa nguzo fupi' Zanzibar wakikutwa wanapigwa bakora, sisi watanganyika nikawaida yetu mwezi wa ramadhani kula hadharani na kunywa pombe, zanzibar ukikutwa unafungwa na kupigwa.
 
Nakataa.

Watanganyika hawana tabia hizo za kwenda uchi
 
ila na sisi tumewashika hao wazenji kwenye jeshi na polisi [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
Hakuna Jeshi la Zanzibar sio?..kuna kambi moja hapo dsm kuna wapemba na waunguja tupu..huko zenji kuna kambi ambazo watanganyika ndo wengi?
 
Katiba ina mikanganyiko mingi. Nipo kwenye mashauriano na wanasheria tukianzia na hili la DC Iringa.

Wakiona kuna mashiko nitasonga mahakamani kuomba tafsiri sahihi.

..all the best.

..vyovyote itakavyokuwa tunaomba utupe mrejesho wa suala hili.
 
Kwa mantiki hii serikali inabaki kuwa ya jamhuri ya muungano wa Tanzania na zanzibar inaenda kugawanywa kuwa miongoni mwa mikoa ya jamhuri ya muungano wa Tanzania, nashangaa miaka yote tulikuwa tunazunguka......na leo ndo tunafika hapa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…