Wazanzibar: Muungano unatuumiza, unatupausha!

Wazanzibar: Muungano unatuumiza, unatupausha!

Hapo Zanzibar wataipata freshi hawana mashamba kule wanategemea Tanzania tukitengana ndio basi tena

Hilo la kuhusu mashamba, kasema wao hawataki sembe, maharage wala maugali yenu... Hawana shida na mazao yenu na chakula chenu.... Hujamsikia ?

Tanganyika ndio tunajikomba kwenye Muungano, tunajiona kama tutaachwa na mke vile...

Hata li mkataba bovu la DP World halifui dafu kwa limkataba alilotuingiza Nyerere

Rais Nyerere alikuwa kalewa chakali siku anatuingiza li mkenge la Muungano


nyerere pombe 3.jpg
 
Si wajiripue na kujitoa muhanga sasa km wameuchoka wanataka watanganyika tuwasaidieje

Wao ni wajaidina na sifa ya wajaidina ni misimamo wawe na misimamo km hamas kule palestina wajiripue
 
Tatizo huu Muungano kuna watu wana maslahi nao binafsi na hao ndiyo wanaong'ang'ania huu Muungano lakini wajue tu huko mbele utaleta balaa kubwa watu wakisema sasa imetosha liwalo na liwe.
Rai yangu kwao wakubali tu hivi sasa kukaa chini ili kutengeneza muundo mpya utakaoondoa manung'uniko kwa pande zote mbili za Muungano.
Asilimia kubwa ya wapemba wamejazana Tanzania bara biashara Zanzibar hazilipi.kwao Pemba Wala unguja

Kule Zanzibar na Pemba kumejaa tu watu wa swala Tano na kupiga miyowe ya Takbiriiii na Allah Akbar lakini Hela hawana za kununua bidhaa ndio maana wapemba wengi wamekimbizia biashara zao Tanzania bara baada ya kuona Takbiriiii na Allah Akbar Allah Akbar haziwaingizii pesa Zanzibar bidhaa zinawadodea
 
Kauli ya mmoja ni kauli ya wengi. Kufuatia sintofahamu iliyojitokeza hivi karibuni, wananchi wa Zanzibar wameamua kupaza sauti zao. Wananchi hawa wamekuwa wakivumilia kwa muda mrefu lakini sasa uzalendo umewashinda, hivyo wameamua kutoka waziwazi na kusema jinsi wanavyokandamizwa na muungano huu wa Nyerere na Karume ambao, kwa namna yoyote ile, hauna tija kwao.

View attachment 2891578
Taabu hii haipo kwa wazaznzibar peke yao bali hata watanganyika wanahisi muungano huu umekuwa ukiwaletea shida za hapa na pale, huku serikali na chama chake wakiwa wameziba nta na pamba masikioni. Tazama jinsi watanganyika wanavyonyanyaswa nchini Zanzibar kwa kunyanganywa vifaa vyao vya kiutamaduni na kuwadhalilisha hadharani. Hii sio sawa hata kidogo.

View attachment 2891579
MAONI YANGU
Mimi nafikiri sasa ni wakati muafaka watanganyika tuondokane na huu utumwa wa kunyanyaswa na wazanzibar kila kukicha kwa kuchukua hatua madhubuti. Hatua ya kwanza ni kuwasaka wapemba waliotapakaa hapa nchini na kulipiza kisasi kama watanganyika wanavyonyanyaswa huko Zanzibar. Na hatua ya pili ni kutaifisha mali zao kwa maslahi mapana ya umma wa watanganyika.

Nawasilisha.

Tatizo ni CCM
Nje ya CCM, Muungano ni mzuri na imara kwa sababu tutasikilizana na kuelewana kama ndugu kuliko hivi sasa ambapo Muungano ni mwendo wa mtutu
 
Kwani Zanzibar , Ukerewe na Mafia Kuna tofauti gani?
Si kote huko viongozi wanateuliwa Dodoma?
 
Mwalimu alikuwa mtu wa kupenda ''Tujisahihishe'' na wosia wake kwa viongozi wa sasa, Ni Kuendeleza Mema TU yaliyofanywa na awamu zilizopita.

Umeitwa ni Muungano ila mizani haiko balanced, A analalamika B anamkandamiza na vice versa.

Serikali ilipe uzito hili jambo, maoni ya Wananchi yafanyiwe kazi. Hii itasaidia Ustawi wa pande zote.

Ni ngumu kufanikiwa kwa baadhi ya vitu kama Taifa, ikiwa baadhi ya Wananchi mioyo yao imejaa sononeko.
 
Kauli ya mmoja ni kauli ya wengi. Kufuatia sintofahamu iliyojitokeza hivi karibuni, wananchi wa Zanzibar wameamua kupaza sauti zao. Wananchi hawa wamekuwa wakivumilia kwa muda mrefu lakini sasa uzalendo umewashinda, hivyo wameamua kutoka waziwazi na kusema jinsi wanavyokandamizwa na muungano huu wa Nyerere na Karume ambao, kwa namna yoyote ile, hauna tija kwao.

View attachment 2891578
Taabu hii haipo kwa wazaznzibar peke yao bali hata watanganyika wanahisi muungano huu umekuwa ukiwaletea shida za hapa na pale, huku serikali na chama chake wakiwa wameziba nta na pamba masikioni. Tazama jinsi watanganyika wanavyonyanyaswa nchini Zanzibar kwa kunyanganywa vifaa vyao vya kiutamaduni na kuwadhalilisha hadharani. Hii sio sawa hata kidogo.

View attachment 2891579
MAONI YANGU
Mimi nafikiri sasa ni wakati muafaka watanganyika tuondokane na huu utumwa wa kunyanyaswa na wazanzibar kila kukicha kwa kuchukua hatua madhubuti. Hatua ya kwanza ni kuwasaka wapemba waliotapakaa hapa nchini na kulipiza kisasi kama watanganyika wanavyonyanyaswa huko Zanzibar. Na hatua ya pili ni kutaifisha mali zao kwa maslahi mapana ya umma wa watanganyika.

Nawasilisha.

Sasa mtanganyika ajitokeze waziwazi aseme haya uone kama hajatiwa ndani
 
Sasa mtanganyika ajitokeze waziwazi aseme haya uone kama hajatiwa ndani
Kwa kuwa Zanzibar ni koloni la Tanganyika ndio maana watanganyika hawataki wazanzibar wagutuliwe kutoka usingizini. Aliyelala usimuamshe, akiamka utalala wewe.

Wazanzibar wanateswa sana na huu muungano ila hawana wa kuwasemea. Ngoja Tanganyika iendelee kuwanyonya hadi Yesu atakaporudi.
 
Wazanzibar kuoitia DC kwa kitendo cha kuwalazimisha Wamasai wavae T-Shirt na Jean eti wanabadilika ni kuwadhalilisha sana. Hivi Mzanzibar akiambiwa avae kapelo na si zile kofia zau asivae kanzu hilo ni jambo la busara!

Video, Wamasai walichokozwa kwa kunyang'anywa silaha zao na mmoja wao kuburuzwa, wakajitetea
Kutembea na fimbo au rungu au sime si tatizo. Mbona wapo huku Tanganyika hatujawahi kuona tatizo?
Ni utamaduni wao, kuwalazimisha wauache ni kuwanyanyasa

Hili linakumbusha tukio la Mama kunyang'anywa ndizi zake kwa kisingizio zinatoka nje ya nchi yaani Tanganyika.
Wao wanapoleta bidhaa wanadai Wasilipe kodi kwasababu ni nchi mmoja, tena baada ya JPM kupiga marufuku sasa hivi ni uchochoro tu wa kukwepa kodi kwa kuingiza bidhaa chini ya viwango huku Tanganyika. Wamerhusiwa!

Tukio la Mama wa ndizi na hili la Wamasai limefumbiwa macho na Rais SSH na Mwinyi kwasababu Wazanzibar wana haki zaidi ya kufanya lolote bila kuulizwa au kuhojiwa ndani ya Muungano.

Utashangaa Kauli ya Mwenyekiti Mbowe ya kuonya kuhusu Mkataba wa DP iliitwa ya kibaguzi kwasababu tu alitaja waliosaini mkataba ni Wazanzibar katika jambo lisilo la Muungano na hilo lingeleta picha mbaya

Lakini pia Watanganyika mna la kujilaumu, kwanini ninyi hamsimamii au kutetea masilahi yenu!
Mtavumilia ubaguzi na unyanyaswaji hadi lini!

Wazanzibar wamefika mahali wanawafurusha Wamasai kwasababu tu hawawataki!
Wanatukana tamaduni kwasababu tu ni Watanganyika. Nani atakayewazungumzia au kuwasemea ninyi wa Tanganyika! Hamna mahali wala chombo cha kuwatetea! Bila Tanganyika nani atawanusuru!
 
Wazanzibar kuoitia DC kwa kitendo cha kuwalazimisha Wamasai wavae T-Shirt na Jean eti wanabadilika ni kuwadhalilisha sana. Hivi Mzanzibar akiambiwa avae kapelo na si zile kofia zau asivae kanzu hilo ni jambo la busara!

Video, Wamasai walichokozwa kwa kunyang'anywa silaha zao na mmoja wao kuburuzwa, wakajitetea
Kutembea na fimbo au rungu au sime si tatizo. Mbona wapo huku Tanganyika hatujawahi kuona tatizo?
Ni utamaduni wao, kuwalazimisha wauache ni kuwanyanyasa

Hili linakumbusha tukio la Mama kunyang'anywa ndizi zake kwa kisingizio zinatoka nje ya nchi yaani Tanganyika.
Wao wanapoleta bidhaa wanadai Wasilipe kodi kwasababu ni nchi mmoja, tena baada ya JPM kupiga marufuku sasa hivi ni uchochoro tu wa kukwepa kodi kwa kuingiza bidhaa chini ya viwango huku Tanganyika. Wamerhusiwa!

Tukio la Mama wa ndizi na hili la Wamasai limefumbiwa macho na Rais SSH na Mwinyi kwasababu Wazanzibar wana haki zaidi ya kufanya lolote bila kuulizwa au kuhojiwa ndani ya Muungano.

Utashangaa Kauli ya Mwenyekiti Mbowe ya kuonya kuhusu Mkataba wa DP iliitwa ya kibaguzi kwasababu tu alitaja waliosaini mkataba ni Wazanzibar katika jambo lisilo la Muungano na hilo lingeleta picha mbaya

Lakini pia Watanganyika mna la kujilaumu, kwanini ninyi hamsimamii au kutetea masilahi yenu!
Mtavumilia ubaguzi na unyanyaswaji hadi lini!

Wazanzibar wamefika mahali wanawafurusha Wamasai kwasababu tu hawawataki!
Wanatukana tamaduni kwasababu tu ni Watanganyika. Nani atakayewazungumzia au kuwasemea ninyi wa Tanganyika! Hamna mahali wala chombo cha kuwatetea! Bila Tanganyika nani atawanusuru!
Zanzibar wamechoka na mkoloni mweus full stop
 
Back
Top Bottom